Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Jamani hapa tunataka kujadili nini sasa hii habari ianaelea hewani!
Tunajadili kuwa kasusia, kwa ushahidi hupi wa habari ya kususia? au tunajadili hakuwepo kwanini? au tunataka kujadili speculations! hii habari haijakamilika mleta habari lete source ya kususia
Tunajadili kuwa kasusia, kwa ushahidi hupi wa habari ya kususia? au tunajadili hakuwepo kwanini? au tunataka kujadili speculations! hii habari haijakamilika mleta habari lete source ya kususia