Elections 2010 Dr. Shein aibuka kidedea; kuiwakilisha CCM urais Zanzibar 2010

There are currently 204 users browsing this thread. (65 members and 139 guests)

Duh, hii kali. Je nani kashinda???
 
There are currently 204 users browsing this thread. (65 members and 139 guests)

Duh, hii kali. Je nani kashinda???
Tegemea alert within 30min... Ndio saa 11 kamili kwa mida ya Tanzania, tutajaribu kuwasiliana na jamaa zetu Dodoma muda si mrefu
 
Naona ingefika wakati tuka waachia Wazazibari wachague viongozi wanao wataka wao, badala ya kuwachangulia viongozi tunao wataka sisi.
 
Congruence Theory applies here?

Bilal ≅ Balali

Umenikumbusha hii Hesabu:
Side-Angle-Side (SAS)
Angle-Side-Angle (ASA)
Angle-Angle-Side (AAS)


Mkuu Obuntu!!!

Hii yote ni woza ya leo tu!!!
tehe tehe tehe tehe.....
 
Anynews waungwana maana huku bila bila nasikia ulinzi mkali siri isitoke hadi moshi mweupe ukitoka
 
Online Reporter, 9th July 2010 @ 09:15, Total Comments:

The CCM Central Committee (CC) has confirmed the media speculations on the three top candidates for Zanzibar presidency by forwarding Dr Ali Mohamed Shein, Mr Shamsi Vuai Nahodha and Dr Mohamed Gharib Bilal names to the NEC.

The National Executive Committee (NEC) will by the end of today pick the party's presidential candidate for Zanzibar in the October 31, general elections, from the three names.

The nomination process began midmorning today by the CC meeting, whose main task was to trim the list of eleven aspirants to only three.

Other aspirants were Mr Ali Juma Shamhuna, Mr Haroun Ali Suleiman, Mr Mohammed Raza Dharamshi; Mr Omar Sheha Mussa; Mr Hamad Bakar Mshindo; Mr Muhammadi Yussuf Mshamba; Ambassador Ali Karume and Mr Mohamed Aboud Mohamed.
 
Jamani.. basi muwe mnafuatilia ratiba ya kutangazwa wagombea.. lililofanyika leo ni kuwasikiliza watarajiwa, kuwachuja na kubakisha majina matatu ambayo yatapelekwa kwenye NEC kupigiwa kura na Mkutano Mkuu itakapofika J'pili ndiyo utatangaza for sure wagombea wake wote ikiwepo mgombea mwenza wa JK. Mimi niko interested zaidi kujua nani atakuwa mgombea mwenza kwa sababu kama Shein atakuwa mgombea wa Zanzibar Dr. Bilal anaweza kuwa Mwenza wa Kikwete.. sidhani kama watamtupa safari hii lazima atoke na consolation prize.

Binafsi naamini tunamhitaji Bilal zaidi kwenye Muungano kuliko wanavyomhitaji Zanzibar
 
There are currently 221 users browsing this thread. (61 members and 160 guests)
 
Jamani.. basi muwe mnafuatilia ratiba ya kutangazwa wagombea.. lililofanyika leo ni kuwasikiliza watarajiwa, kuwachuja na kubakisha majina matatu ambayo yatapelekwa kwenye NEC kupigiwa kura na Mkutano Mkuu itakapofika J'pili ndiyo utatangaza for sure wagombea wake wote ikiwepo mgombea mwenza wa JK. Mimi niko interested zaidi kujua nani atakuwa mgombea mwenza kwa sababu kama Shein atakuwa mgombea wa Zanzibar Dr. Bilal anaweza kuwa Mwenza wa Kikwete.. sidhani kama watamtupa safari hii lazima atoke na consolation prize.

Binafsi naamini tunamhitaji Bilal zaidi kwenye Muungano kuliko wanavyomhitaji Zanzibar
Kwa hiyo nini future ya Karume (raisi wa sasa wa Zanzibar)?
 
Mwanakijiji said:
Binafsi naamini tunamhitaji Bilal zaidi kwenye Muungano kuliko wanavyomhitaji Zanzibar

Mkkj,

..kwa tabia zake za upendeleo kwa wa-Zenj zilizojionyesha alipokuwa Katibu Mkuu wa wizara ya elimu ya juu ni bora Dr.Bilal akabakia hukohuko Zenj.
 
Back
Top Bottom