Mkuu ni saa 11 au saa 10? maana kuna mtu yuko mlangoni anasema wanaingia ukumbini saa kumiUWONGO!
Ni mpaka saa 11 jioni ya leo (mida ya Tanzania) ambapo CCM watampigia kura mmoja wa watatu ambaye ndiye atakuwa mwakilishi wa CCM kwenye uchaguzi wa urais wa Zanzibar 2010