"DR" Shayo the plagiarist

Wapo wengi. Mnamkumbuka yule waziri Nundu aliyeletwa na JK toka Canada akagombea Ubunge akapewa uwaziri.

Akaanza kupingana na naibu wake kwenye magazeti, redio na TV.

Hawa wabangaize huko nje Tz kiboko!
 
Can we give him a chance to respond to this issue? Mod mtafute aseme wazi kwa nini amefanya hayo yanayosemwa. Isije ikawa huckers wamefanya kazi yao (sheer apology) kumcook aonekane si kitu. Let give him a room if possible.

Hawezi kuthubutu kuja humu kichwa kichwa. Some comments za mwanzo za thread hii, utajua sababu zake.
 
shayo.jpg


Kuna kipindi kulikuwa na thread humu iliyomtuhumu Dr Shayo kuwa ni Plagiarist aliyebobea na kuna watu waliquestion mpaka authenticity ya kuitwa "Dr"

Well...Juzi kamwaga article kule Michuzi Blog ( JF hatii mguu maana huku kuna wale arm chair critics ambao they enjoy nothing but kunyambua makala kama za akina Shayo). Jamaa aliandika article Michuzi on Libya kumbe si yake na haku acknowledge source

Sasa wenye article yao ni gazeti hili la Egypt wamescan wakakuta kuwa huyu Dr wa Michuzi alinyofoa article kwao bila kutoa reference:

Al-Ahram_Weekly_logo.jpg


Nimeona bora niiwahi kabla Dr wa Michuzi hajaamka akaomba iondolewe katika ile style ya kuchomoa kama anazofanya Mange kwenye blog yake kule.

nimeshindwa ku copy na kuleta hiyo allegation humu lakini mwenye uwezo naomba awahi kabla Michuzi hajaifuta.

The conspiracy in me kinda thinks hii ni set up ya the other dude by the name of JOHN MASHAKA


article aliyoiiba SHAYO hii hapa:

Al-Ahram Weekly | Opinion | The end of change from abroad

na akaenda kuibandika michuzi hapa:


http://issamichuzi.blogspot.com/2011/03/democracy-at-barrel-of-gun-doesnt-work.html#comments


Al Ahram wenyewe naona kuna SNITCH kaenda kuwaaambia kuhusu huu wizi wanataka maelezo toka kwa michuzi hapa:


http://issamichuzi.blogspot.com/2011/03/authenticity-of-article-dr-shayo.html

kwa kuongezea tuu ni kuwa in 2008 alishawahi kuchambuliwa vilivyo hapa JF kwenye thread iliopo hapa:

https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/21236-dr-hildebrand-shayo.html


kwenye ile thread inasemekana mwenyewe au mtu wake wa Karibu alikuja kuweka records sawa na kumwaga wasifu wake kwa kusema hivi:





jamani kama reference yake ni Dr NCHIMBI then we have a problem kwa sababu Nchimbi naye PhD yake jamaa wamei question sana



[/COLOR][/U]

Tunahitaji wasomi kama hawa waliobobea ili kujenga taifa letu changa. Dr.Shayo anastahili kupewa kazi ya Gavana wa BOT, Profesa Ndulu akistaafu.
 
Kweli Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo, yaani Mwakyembe alichukua galasa akaliweka limsaidie kazi? Anyway mpaka sasa kidogo kuna kamwelekeo, tusubiri yaliomo yawemo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom