"Dr" Shayo kuwania ubunge wa Afrika Mashariki!

Akale London South Bank Uni. huko....

Halafu siku hizi Tanzania kuna ma "Dr" wengi sana. Yaani humo serikalini ndo usipime kabisa! Raisi ni dokta, makamu wake ni dokta, raisi wa zenji ni dokta, bado Pinda tu! Naye muda si mrefu atakuwa dokta.

Kwenye baraza la mawaziri ndo balaa. Nadhani karibu robo tatu nzima ya mawaziri na manaibu wao wote ni madokta.

Mbona unalalamika? Ulishachonga uDr wa kweli nini?
 
Kichuguu, why are you giving this plagiarist a pass? Aren't you aware of his plagiarism?
Ninajua kuwa alikopi uchambuzi wa jambo fulani kutoka kwenye website moja akauandika kwenye blogu ya Michuzi 1-to-1 bila ku-acknowledge original source, na waswahili wakampgia dole kwa uchambuzi huo. Kabla ya siku nne mwenye website ile akamwandikia onyo Michuzi ambaye aliikwamua haraka haraka ili kumtunzia heshima shabiki wake huyo.

Hata hivyo, nadhani "Dr" Shayo na atakuwa ni bora kuliko hao "madokta" wengine tulio nao serikalini: Kikwete, Nchimbi, Kamala, Masaburi, Makongoro, Nangale, Nagu, na wengineo wengi tu...... At least yeye anajua lipi zuri la kukopi kuliko hao wanaokopoi lolote bila kujali ubora wake.
 
Dr.Shayo amenisikitisha sana yaani anatoka uingereza moja kwa moja anakwenda kujiunga na kundi la mafisadi ili nae aanze kuitafuna nchi ni masikitiko makubwa kwa watu kama hawa wanaojua ukweli jinsi CCM ilivyoanagmiza nchi letu wakaamua kuweka yote hayo pembeni ili ale nchi. ungetegemea kijana kama shayo angekuwa tayari kusimama imara na kuwaambia wahusika ukweli kuhusu kuzorota kwa uchumi wa nchi yetu ili tusonge mbele lakini ameamua kuwa sehemu ya mafisadi huku akijua wazi kuwepo kwake ndani ya chama hicho kilichozeeka hakuna tija yeyote. yaani ni masikitiko kwa mtu aliyesoma kama huyu kuangalia kwanza mkate na siagi huku akiliona taifa linateketea shame on you shayo.

Kwani pale Open University ameshaondoka???
 
hiyo ''Dr'' umeifungia kwenye hizo alama basi hata inanipa wasiwasi...

Nadhani simfahamu kivile kwa kweli. Ila ulivotikisa kichwa sasa ndo najiuliza kunani tena na Daktari mgombea ubunge?

Aah mie siasa na wanasiasa wake wamenichosha kwa kweli!
Angekuwa anagombea kupitia cdm sifa kedekede jamani jaribuni kuwa wa kweli shame on you viawavi wa cdm
 
Akale London South Bank Uni. huko....

Halafu siku hizi Tanzania kuna ma "Dr" wengi sana. Yaani humo serikalini ndo usipime kabisa! Raisi ni dokta, makamu wake ni dokta, raisi wa Zenji ni dokta, bado Pinda tu! Naye muda si mrefu atakuwa dokta.

Kwenye baraza la mawaziri ndo balaa. Nadhani karibu robo tatu nzima ya mawaziri na manaibu wao wote ni madokta.
most of them so called doctors in the TZ cabinet are plagiarists (if you seriously follow how they acquired their doctor ships).....especially the philosophy doctors.....mh! some of them...like JK have Honoris Causa ...what a joke!!....mere fakes.....
 
Huyu Dr. Shayo ameamua kufuata nyao za Dr. Mwakyembe. Kwani huo UBUNGE wa EA ndiyo unaonekana umekuwa stteping STONE ya kwenda kwenye UBUNGE wa JIMBO. Huyu Dr. Shayo hawezi kwenda CDM kule wapo safi tu. With all scandals za PLAGIARISM, CCM na Serikali yako wangemfumua fumua kama angekwenda CDM probably hata kumfikisha mbele ya sheria, lakini our learned Dr anajua wapi anapoweza kulindwa na kashifa zake.

NOTE: Huyo mwingine ni Makongoro Nyerere sio Makongoro Mahanga aliyekimnbia na masanduku ya kura, ambaye ubunge wako utatenguliwa hivi karibuni.
 
Jamaa ni ndumilakuwili ile mbaya , hana msimamo hata kidogo. Mpika majungu na msambaza majungu mzuri sana. Naona CCM patamfaa sana kuliko Chadema.
 
most of them so called doctors in the TZ cabinet are plagiarists (if you seriously follow how they acquired their doctor ships).....especially the philosophy doctors.....mh! some of them...like JK have Honoris Hausa ...what a joke!!....mere fakes.....

This is the kind of stuff we don't need. If you are a first class material you don't need to plagiarise. What is the need of plagiarism to get a good degree when you know very well you can't perform when given the chance?.
 
Wakuu,

Nadhani tuwe na staha kidogo. While Dr. Shayo anaweza kuwa amefanya madudu katika fani yake (plagiarism). Ni vema tukatambua na kukiri kwamba kuna watu wamehangaika kwa jasho lao kutafuta hizo PhD. And they deserve credit. Si kila anayeitwa Dr. kaghushi au amepata bure bure kama Kikwete na wenzake. And here I am talking watu kama akina Mwakyembe (University of Hamburg), Migiro (University of Konstanz), Prof. Kabudi (FU Berlin), Dr. Mvungi (Hamburg) nk. Hawa watu wamezisotea sana PhD zao. Kwa hiyo tukiwa tunawajadili the likes of Nagu, Kamala, Nchimbi, tutakuwa hatuwatendei haki wale wote ambao they have worked very hard to EARN their qualifications. In fact as a nation, hatuwezi kuwa taifa la wajinga. we should be proud na wasomi wetu. There some clean and hard working people out there.

Now, kwamba wenye PhD inabidi wabaki darasani, sidhani kama hiyo ndo tafsiri sahihi. Ukiwa na PhD you can do anything you want as long as mchango wako unaonekana katika hilo jambo. In fact mimi ningeshauri kama una PhD ya 'ukweli' nenda vyuoni, serikalini au kwingineko. Perhaps you can contribute to bring changes by infusing new ideas. MAANA hata kufundisha, ni vema lakini wengi tunawaona wanashinda kwenye consultancy za World Bank nk where they make Millions. Na wanatumia vyuo kama adress tuu.

Bottomline, PhD is an excellent qualification if you can do what it takes to EARN it. We should always encourage our young ones wasome mpaka wafike hiyo level. Tusitake kujenga tabia kwamba kila mwenye PhD kapewa bure au katafuta online kama akina Kamala na wenzake. Hao ni WAVIVU WA KUFIKIRIA. TUWAACHE. We shouldnt applaud medocrity za akina Nchimbi et al.
Swala la Shayo silijui sana. Kwamba alisoma chuo hakitambuliki au siyo kizuri, well, hilo wanajua wengine. Ila as long hajavunja sheria, kama alivyosema mwalimu Kichuguu, tumwache afaidi matunda ya uraia wake kama raia huru wa taifa letu.
 
This is the kind of stuff we don't need. If you are a first class material you don't need to plagiarise. What is the need of plagiarism to get a good degree when you know very well you can't perform when given the chance?.

Probably you will not be given that chance anyway..............
 
Wakuu,



Nadhani tuwe na staha kidogo. While Dr. Shayo anaweza kuwa amefanya madudu katika fani yake (plagiarism). Ni vema tukatambua na kukiri kwamba kuna watu wamehangaika kwa jasho lao kutafuta hizo PhD. And they deserve credit. Si kila anayeitwa Dr. kaghushi au amepata bure bure kama Kikwete na wenzake. And here I am talking watu kama akina Mwakyembe (University of Hamburg), Migiro (University of Konstanz), Prof. Kabudi (FU Berlin), Dr. Mvungi (Hamburg) nk. Hawa watu wamezisotea sana PhD zao. Kwa hiyo tukiwa tunawajadili the likes of Nagu, Kamala, Nchimbi, tutakuwa hatuwatendei haki wale wote ambao they have worked very hard to EARN their qualifications. In fact as a nation, hatuwezi kuwa taifa la wajinga. we should be proud na wasomi wetu. There some clean and hard working people out there.
.

Dr. John Pombe Magufuli is one of those few examples...
 
Kwa hiyo wakina Lipumba na Mgiro nao ni watupu?


Ushamuona Shivji anahangaika na siasa? Ushamuona Assad anahangaika na siasa? Ushamuona marehemu Haroub Othman anahangaika na siasa? na wengineo wengi tu. Au Marekani na Ulaya Ushamuona Eugene Fama (Nobel Laureate in Economics) anahangaika na siasa? Ushamuona Kenneth French anahangaika na siasa? Au Frank Wilsezeck (Nobel Laureate wa Physics bomba mbaya huyu jamaa) anahangaika na siasa. Au ushawaona maprofessor na Madoctor wa Harvard, MIT, Oxford na Cambridge wanasumbuka na siasa? Hivi mnajua kuwa kupewa PhD hawa jamaa wamezisotea sana. Wengine hufikia hata kujiua maskini. Sasa inasikitisha mtu ana PhD anaishia kuwa mwanasiasa sawa na mtu aliyeshindwa kumaliza hata darasa la saba (kwani wapo wabunge wetu hata la saba hawajamaliza maskini).

Mtu wa aina hiyo anayekubali kujidhalilisha reputation ujue ana walakini either hajiamini au ni msanii.
 
Let me laugh first!

Why do people take Tanzanians for fools? They live overseas eating roast turkey and cranberry sauce they dont know what are the day to day problems of mama mboga and mama mandazi back in the village then they want to go and be elected to be leaders!

If they want to be leaders let them go home right now and wait for the next general elections as they experience jua kali with their to-be constituents!
 
Habari zilizotufikia kwenye chumba chetu cha habari zinaeleza kuwa Dr.Shayo, anaweza kufukuzwa kazi wakati wowote kuanzia sasa pale Chuo Kikuu Huria kutokana na tabia yake ya kukopi kazi za wanazuoni wenzake bila kufuata utaratibu. Habari zaidi zinaeleza kuwa, Dr.Shayo aliamua kuomba likizo ya bila malipo mwaka 2010 pale Chuo Kikuu huria. Aidha, taarifa tulizonazo kwenye makabrasha yetu zinaeleza kuwa Dr.Shayo ameajiriwa katika kampuni binafsi, baada ya kuomba likizo ya bila malipo pale huria.
 
Habari zilizotufikia kwenye chumba chetu cha habari zinaeleza kuwa Dr.Shayo, anaweza kufukuzwa kazi wakati wowote kuanzia sasa pale Chuo Kikuu Huria kutokana na tabia yake ya kukopi kazi za wanazuoni wenzake bila kufuata utaratibu. Habari zaidi zinaeleza kuwa, Dr.Shayo aliamua kuomba likizo ya bila malipo mwaka 2010 pale Chuo Kikuu huria. Aidha, taarifa tulizonazo kwenye makabrasha yetu zinaeleza kuwa Dr.Shayo ameajiriwa katika kampuni binafsi, baada ya kuomba likizo ya bila malipo pale huria.

Mh! Plagiarist but kumbe addictive plagiarist ! Duh! But ni kweli unayosema haya Mwanamalundi au unamsingizia?
 
Mh! Plagiarist but kumbe addictive plagiarist ! Duh! But ni kweli unayosema haya Mwanamalundi au unamsingizia?

Yapi ambayo unaulizia kama ni kweli? Ya uwizi wa maandiko ya wengine au hayo ya Chuo Kikuu huria?
 
Back
Top Bottom