yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
actually huyu ndiye ilikuwa awe rahisi si wahuni hawa..
Ndani ya chama kuna nuka, hamna aliye msafi.. Kuna tetesi mpango uliopo ni kukuomba mzee Salim Ahmed Salim ili kukinusuru chama.