huyu padri slaa kwanza anashikilia record ya usaliti alililisaliti kanisa,akamsaliti mke wake wa kwanza nawasiwasi nae hata tukimpa nchi atatusaliti
Ukweli huo wa Dr kuwa na uwezo mkubwa wa kiuongozi haupingiki. Mungu amlinde,amtunze na amfikishe salama ktk uchaguzi wa 2015 salama.
Dr Slaa kila la heri, nakutakia afya njema kuelekea kwenye ukombozi wa nchi ya Tz.
huyu padri slaa kwanza anashikilia record ya usaliti alililisaliti kanisa,akamsaliti mke wake wa kwanza nawasiwasi nae hata tukimpa nchi atatusaliti
Nyerere Jamani mna uhakika kuwa kila alichokiamini na kukisimamia alifanikiwa?Ujamaa wake uliipeleka wapi nchi?Haya turudi kwa Slaa,mtoa hija umemsifia sana muheshimiwa lakini hukutoa mifano hai ya ku-justfy uwezo wa Slaa katika kusimamia kauli zake!Naomba mifano hai iliunishawishi na kauli yako!Mfano amekuwa akinadi uthubutu wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya mambo ya msingi lakini so far sijaona maamuzi magumu yeyote wanayofanya licha ya akina Shibuda kupinga maamuzi ya kamati kuu ya CDM hadharani!Hebu nipe mifano hai tafadhali ndugu mtoa hoja!!!
Nawasilisha!!
Nyerere Jamani mna uhakika kuwa kila alichokiamini na kukisimamia alifanikiwa?Ujamaa wake uliipeleka wapi nchi?Haya turudi kwa Slaa,mtoa hija umemsifia sana muheshimiwa lakini hukutoa mifano hai ya ku-justfy uwezo wa Slaa katika kusimamia kauli zake!Naomba mifano hai iliunishawishi na kauli yako!Mfano amekuwa akinadi uthubutu wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya mambo ya msingi lakini so far sijaona maamuzi magumu yeyote wanayofanya licha ya akina Shibuda kupinga maamuzi ya kamati kuu ya CDM hadharani!Hebu nipe mifano hai tafadhali ndugu mtoa hoja!!!
Nawasilisha!!
wewe ni mfuasi wake unategemea ungesema nini kama si kumjaza masifa?
Nyerere Jamani mna uhakika kuwa kila alichokiamini na kukisimamia alifanikiwa?Ujamaa wake uliipeleka wapi nchi?Haya turudi kwa Slaa,mtoa hija umemsifia sana muheshimiwa lakini hukutoa mifano hai ya ku-justfy uwezo wa Slaa katika kusimamia kauli zake!Naomba mifano hai iliunishawishi na kauli yako!Mfano amekuwa akinadi uthubutu wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya mambo ya msingi lakini so far sijaona maamuzi magumu yeyote wanayofanya licha ya akina Shibuda kupinga maamuzi ya kamati kuu ya CDM hadharani!Hebu nipe mifano hai tafadhali ndugu mtoa hoja!!!
Nawasilisha!!
Usaliti wa kanisa huo ni uzushi maana kanisa lenyewe halijawahi kusema limesalitiwa, usaliti wa ndoa pia hayo ni madai yako maana mwenzi wake wa kwanza naye kasema hajasalitiwa na alimpa baraka zote.. sasa ndugu yangu tukirejea kwenye usaliti wa nchi yetu hakuna anayeweza kufikia rekodi ya viongozi wa ccm naogopa kuwataja majina usiku huu acha kupambazuke kesho ili ujue jinsi walivyo wasalitihuyu padri slaa kwanza anashikilia record ya usaliti alililisaliti kanisa,akamsaliti mke wake wa kwanza nawasiwasi nae hata tukimpa nchi atatusaliti
Mtu akiwa nje ya dola ni rahisi kujimbambanua na mazuri tu mabaya utayaona akishika dola
mkuu ameanza lini kuwa na uchungu? tangu alipokuwa CCM??
Pia amekisaliti/amekiasi chama chake cha CCM
Rozi Kamili, Mbunge wa viti maalum Chadema ni Mke wake, labda kama huna taarifa. Alifanya asaliti ndoa yake ni Josephine Mshumbuzi. Sheria inasema ukishaishi na mke au mme zaidi ya miezi sita hiyo ni ndoa halali, so KAMILI ni mke wake na kamsaliti kweli.
huyu padri slaa kwanza anashikilia record ya usaliti alililisaliti kanisa,akamsaliti mke wake wa kwanza nawasiwasi nae hata tukimpa nchi atatusaliti