Mh,hiyo kitu ya kwenda kupima kwa ma-specialist siku hizi watu wanaogopa kama wanavyoogopa kwenda kupima ngoma(HIV),maana wanahofia iwapo itadhihirika mmoja wao ndo mwenye tatizo hatima ya uhusiano wao itakuwa mashakani sana.Inategemea umejaribu wa miezi mingapi? ila kwa ushauri nendeni kwa Dr. specialist wa magonjwa ya kina mama though hata kama ww ndio mwenye tatizo atagundua.