kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
anahojiwa na marini hassan, anasema wamebadilisha system ili makosa kama yaliyotokea kwenye Islamic Knowledge yasikirudie.
anahojiwa na marini hassan, anasema wamebadilisha system ili makosa kama yaliyotokea kwenye Islamic Knowledge yasikirudie.
anahojiwa na marini hassan, anasema wamebadilisha system ili makosa kama yaliyotokea kwenye Islamic Knowledge yasikirudie.
Aanagalie manake jamaa wakiapa huwa hawarudi nyuma!
mwambie mcheza karate ponda anamsubiri nje
Huyu naye akifa ataitwa mwanaheri amewasaidia sana
acha kudanganywa na akina ponda, uislamu haujaanza leo na hakuna mwenye ubavu wa kuuondoa duniani, wewe na mimi tutaondoka lakini dini ya mwenyezi mungu itaendelea kubaki.kawaida yao makafiri, wanafanya kila namna kuudidimiza uislam lakini hawatofanikiwa.
kawaida yao makafiri, wanafanya kila namna kuudidimiza uislam lakini hawatofanikiwa.
kawaida yao makafiri, wanafanya kila namna kuudidimiza uislam lakini hawatofanikiwa.
Kwetu uislam ni ukafiri,sijui unazungumzia ukafiri gani,na huo uislam una kipi cha maana zaidi ya uvunjifu wa amani duniani.
hapo uko sawa mkuu!Kafiri ni yule asiyetaka kumwabudu mungu badala yake ana abudu sanamu