kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Nendeni mkamuwekee dhamana maana hana cha kujibu hapo, mahakama imeishaigiliwa na mhimili mwingine wa DOLA katika maamuzi.
Mahakama ikitaka kutenda haki itoe tamko juu ya DOLA kuingilia mhimili wake, inaonekana mahakimu wetu wanasukumwa na DOLA katika kutekeleza majukumu yao? Jaji mkuu alishasema kuwa serikali inaingilia mahakama.
Mwisho kinachotakiwa ni vitendea kazi mahospitalini siyo kuandama mtu mmoja mmoja kisa Daktari.
Kimsingi tafasiri ya kesi hii umegibikwa na utata,mahala kesi hii ilipofunguliwa na jaji anayesikiliza, atoe amri hii hiyo .napata shida amri ya kwanza imetolewa na mahakam kuu, hati ya kukamatwa kwake imetolewa na mahakama ya kisutu na kesi kuwa mahakama ya kisutu .tfasiri hii inanipa tabu kidogo.Jinai hiyo nafikiri ingeonekana kwenye mahakama kuu na si mahakama nyingine ambako kesii haikufunguliwa.Pia kama kuna utofauti wa MAT na jumuiya ya madakitari , hapa haki iko wapi?kesi inasema MAT huyu anayekamatwa ni wa jumiya ya madaktari , huku ni kulazimaisha kuwa raisi anataka kuua madaktari wote.Kimsingi raisi kapotoka suala hili mbona bado mahakam ya kazi haijatoa uamuzi polisi na mwendesha mashitaka wanaamza kesi nyingine, maake wameizalau kesi ya msingi basi.Pia ukiangalia bila ushabiki tatizo la mgomo huu haliwezi kumalizwa na mahakama, bali na hekima yenye busara maridhawa.hao wanazuoni wa madhehebu ya dini wako wapi nao wamepewa rushwa?