Madaktari wote waliokwenye mgomo na kuacha ndugu zetu wakifa hovyo nawaona kama mazuzu tu
Kweli mkuu. Tutawapoteza madaktari wengi vijana ambao wataondoka nchini kutafuta kazi wanapothaminiwa. Wengine wataachana kabisa na hii kazi. Wanafunzi wengi ambao bado wako shule za sekondar ambao walikua wanatamani kuwa madaktari watakatishwa tamaa. Inauma sana utawala dhaifu umelifikisha hapa taifa letu!Kinachoendelea sasa hivi ni kuuwa kabisa sekta ya afya.
Hivi wewe unajua sheria zaidi kuliko DPP na wengine? Ina maana serikali hawajaliona hilo?
Inakuwaje Mwenyekiti wa MAT kushtakiwa kwa kosa la Mwenyekiti wa Jumuiaya ya Maktari. Ina maana Polisi hawaoni kuwa anaweza kuwashinda na kama sheria ingekuwa inaruhusu angewadai fidia. Lakini sheria hairuhusu Mtuhumiwa kudai fidia ndio maana wamemfikisha mahakamani.
mwenye mpini anapopukutisha vidole anaonesha alivo hayawani kabisa! Aliyetusaliti ni yule anayeficha hela kule uswisi, aliyechukua hela za epa, mwenye matumizi ya anasa,....nk. Huku akitulazimisha kuamini kuwa selikali haina hela.Sasa ndio kitaeleweka kile kinachowasukuma kuwagomea waTanzania licha ya kuwasomesha.
Kama mliajiriwa kwa ajili ya kipato karibuni mitaani kuna pesa hata zaidi ya milioni kumi kwa mwezi.
Katika sakata hili tunasubiri tu kuokota vidole maana hamjui kuwa upande wa pili ndio umeshika mpini.
Juzi kulikua na sredi ya kifo aliyekuwa mkuu wa CCP Moshi,kamanda J. Mwesiga. Alikua na uwezo wa kwenda India,SA,hata Ulaya,lakini hakufika huko,alifia hapa kwa tatizo hospitali zetu zingekua na vifaa labda maisha yake yangeokolewa. Magonjwa mengine yanampata mgonjwa kwa kasi ya ajabu,kama hakuna huduma sahihi karibu anapoteza maisha bila kuangalia uwezo wake wa kifedha!Ndugu zangu wanawahishwa India sina tabu na hili tatizo
duuh!hiii kali yani mwenye kuitisha mgomo mwingine aliyekamatwa na kushitakiwa mwingine hakika hii haiitaji kuwa profesa kugunduwa kuwa kuna ushawishi wa kisiasa katika hili haya ngoja tuone mwisho wa picha hili itakuwaje
Kiongozi wa madaktari nchini Dr. Namala Mkopi (daktari bingwa wa watoto),amefikishwa katika mahakama ya Kisutu asubuhi hii kujibu shutuma za uchochezi na kupuuza amri ya mahakama ya kusitisha mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.
N.B. Mgomo huo haukunzishwa na MAT, ulianzishwa na inayoitwa Jumuiya ya Madaktari chini ya kamati inayoongozwa na Dr. Ulimboka, na kuungwa mkono na madaktari nchini.
Tusubiri kuona hili saga litakavyoendelea....
Keep your friend close and your enemies closer. Don Coleorne
Na hukumu ya mahakama iwe ni kukifuta hicho chama cha wahuni wachache wenye kuwa driven na political dreams za CDM
Majibu ya maswali unayouliza serikali inayo na uzuri Namala is verysmart guy so he will beat them up. Yaani hata sheria hawazijui au? Hivi hajaitisha mgomo na hana taarifa yeyote inayomweleza kuwa kuna wanachama wake walioko kwenye mgomo, atakurupukaje kuanza kusema mgomo batili, je akitoa taarifa hiyo na kumbe waliogoma ni kina Dr. Lucy Nkya (ambaye si mwanachama wa MAT atasemaje, si atakuwa kama Aminiel anayewaambia watu kuwa hamna mgomo wakati ukweli mgomo upo!
je mnafikiri madaktari wote ni wanachama wa MAT, je akisema mgomo umesitishwa kumbe wote wanaoripitiwa kufana kazi ndio wanachama wa MAT si inabidi awaambie wanachama kwa nini amewadhalilisha? Na kumbuka hawezi kutoa maamuzi bila kuitisha mkutano wa dharura je amefanya hivyo? mbona nyie ni mambumbumbu kiasi hicho.?
Ninachojua mahakama imemshitaki yeye kama yeye na si MAT (upumbavu mwingine), je hamna viongozi wengine wa MAT? kwa nini yeye tu?
BTW: I hope weye si mba--tia!
Watu wanadai vitendea kazi, nyie mnawashtaki.
Madaktari rudini tu kazini, kwani si kila mmoja anayo lap top,
nendeni tuwe tunabadilishana mawazo humu jf. Kama hakuna hata vya
kupimia homa nini zaidi.
Please rudini tu kazini.
ALIPEWA BARUA ikimuamuru kutangaza mbele ya waandishi wa habari akisitisha mgomo lkn hakufanya hivyo! ana kesi ya kujibu ya mauwaji. wagonjwa wengi wamefariki kutokana na mgomo ambao aliubariki kwa kukaa kimya
Kuna taratibu za kuacha kazi madr wazifuate basiJk alisema ayetaka 3.5milion aache kazi, mbona anawalazimisha sasa? Au yuko tayari kuwapa 3.5m?
He...ivi mahakama huwa inashitaki??
Kwa ufahamu wa namna hii angalieni huyu mnayemtetea asijelamba mvua ambayo hakuitegemea.....Chezea vitu vingine vyooote lakini sio mahakama.
Sitaki kuamini kama hii Move iko supported na CHADEMA na endapo itakuwa hivi for the first time nitawadharau sana.....ninachokiona humu jukwaani wapo wanaotaka kuiharibia CDM kwa kuihusisha na huu uvunjaji wa sheria, dharau kwa amri ya mahakama na umma wa walalahoi wa nchi hii kwa kodi zao zilizotumika kuwasomesha hao madaktari....i will be the last person kuamini kuwa chadema wanahusika na nikithibitisha hilo i will withdraw my love and support to CDMSafi sana utawala wa sheria uchukue mkondo wake, huo ndio utawala bora kwa hili huyu Dr Uchwara hachomoki, na liwe fundisho kwa ma dr uchwara wengine. Na hukumu ya mahakama iwe ni kukifuta hicho chama cha wahuni wachache wenye kuwa driven na political dreams za CDM
Kiongozi wa madaktari nchini Dr. Namala Mkopi (daktari bingwa wa watoto),amefikishwa katika mahakama ya Kisutu asubuhi hii kujibu shutuma za uchochezi na kupuuza amri ya mahakama ya kusitisha mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.
N.B. Mgomo huo haukunzishwa na MAT, ulianzishwa na inayoitwa Jumuiya ya Madaktari chini ya kamati inayoongozwa na Dr. Ulimboka, na kuungwa mkono na madaktari nchini.
Tusubiri kuona hili saga litakavyoendelea....
Keep your friend close and your enemies closer. Don Coleorne
Nafikiri ni vizur watu wa Tz kuelewa nchi yenu inaongozwa kwa Rules of Law. Kwa misingi hiyyo kila muhimili unajitegemea katika kuendesha nchi. yaani Mahakama, Serikali na Bunge. Na vyote haviwezi kungiliana katika maamuzi.
Fuateni sharia mlizojitungia wenyewe katika Katiba yenu