engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
- Thread starter
- #21
mkuu mbona mapovu yanakutoka?wapi nimeandika mwakyembe ni fisadi?soma uelewe sio kukurupuka chooni bila kutawaza..
hahahahahaha
sasa asipotawaza unafikiri kikao kitakalika kweli? vipi kuhusu nguo ya ndani kwa mfano house girl ndio mfuaji atakutana na nini?
haya bana yangu mbavu