Alichonacho moyoni akiandike kama wosia na kama mungu atampenda zaidi akiwa huko basi usomwe kwa watanzania wote au awaite akina kubenea na wengine awaambie. sasa kama ana siri na anatishia kuitoa si ndio watammaliza kabisa!
Nami hapa ndiyo napata tatizo! Mwakyembe anakuwa kama sio PhD holder tena wa sheria basi! Kama kweli
ana SIRI nzito anataka watanzania tuifahamu wether DEAD or ALIVE, kwanini basi asimuite mwanasheria wake
akaiandika hiyo SIRI, kwa kufanya hivyo atakuwa kwenye safe side . Mungu akimjalia akapona basi ataieleza yeye
mwenyewe, lakini kama Mungu atampenda zaidi na kumuita basi watanzania tutaifahamu hiyo SIRi nzito kupitia kwa
lawyer wake. Na kama kweli kulikuwa na mpango wa kumudhuru basi utaahirishwa kwani itafahamika the truth is now
out. Lakini kwa kuficha ndiyo anazidi kujichimbia kaburi kwani wabaya wake watamumaliza because the truth bado
anayo yeye Mwakyembe.
Mimi ninaona hizi ni siasa za maji taka. Baada ya kifo cha gorvenor Balali (kama ni kweli alikufa) Mke wake alisema kwamba
Balali aliandika wosia kuhusu wezi wote wa EPA na kwamba wakati ukifika mjane atausoma lakini hadi hii leo kimya.
kama kweli Dr. Mwakyembe ameyasema hayo (which I still doubting) atakuwa basi amepotoka, na hili ni own goal la pili,
la kwanza likiwa lile la Richmond ambalo alisema kwamba madudu mengine imebidi wayafiche ili kuiokoa serikali na mzimu
huo ndiyo unamtesa sasa huko Apollo India.