Kiungani
JF-Expert Member
- Feb 2, 2007
- 274
- 71
Daud Ballali alisema hivyo hivyo, na akaacha video na documents kibao. Walionavyo walipima upepo, wakaona yote ya nini wakati mtu tayari yuko futi 6 chini? Wanakula bata kwa kwenda mbele. Hujawahi kujiuliza wapi alipo Anna Mganda-Ballali, na kwa nini hasemi kitu? Mkono na Maregesi je?