Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Na wewe king'ang'anizi mno, wenziyo wamejenga hoja zenye mashiko lkn wewe unatupotezea muda na hoja zako zisizoeleweka. Sasa unataka kutuhamishia kulinganisha powers za ma-PM waliopita! Acha kuzungusha mada kijana.
Mwanakijiji, Kiranga na sasa Malecela wameku-preempt hoja zako zote.. kwanini usikubali yaishe ? Tuna mengi ya kujadili pia.
unataja majina ya akina mwanakiji yanakusaidia nini? huyo kiranga naye aliuliza kwa nini mwakyembe hakumhoji Lowasa naona naye unasema hoja yake ina mashiko!
uko bize? leo hii , hii ni post yako ya pili kwa siku nzima ya leo! jana umepost post tatu tu, yet uko bize mno na unasema nakupotezea muda!!! unafiki huu na kugawa watu makundi hakukufikishi popote pale na kunakuabisha tu
kama ni slow learner bear with me, kama ni low thinker nibebe tu, kama nina logic jibu, na ukishindwa potezea.. thread nyingi sana humu!
huyo malecela anatapatapa tu na CCM yake, wanataka kutuaminisha mwizi ni Lowassa wakati na mwakyembe ni hero! wote ni wezi tu , sikuwa na divert mjadala..umewaza hivyo...kutaka kukomaza unafiki wake anasema the powerfull PM?? this doesnot make sense at all?? tabia za kinafiki mbaya..sisi wengine tunawawasha tu na HUNA UWEZO WALA MAMLAKA YA KUNINYAMAZISHA labda uje unipokonye L/top yangu, ofisi yangu na ufunge cafe zote...niache kwa sababu umesema haiwezekani...na kwa haraka nimeishajua wewe unajikomba watu wenyewe hauwajui..tunashindana na hoja, wewe kaa pembeni kajadili tunda alilokula adamu na eva..that is your limit!