Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,264
- 105,428
Si lazima kuangalia au kuhoji mambo kwa upande mmoja wa shilingi.Mimi nietoa possble scenario ambayo inawezekana ilitumika kutoumhoji Lowasa kwa faida yake mwenyewe. Hakutendewa haki kivpi na Yeye ni waziri Muu na ripoti iisomwa bungeni. Kwa nini hakujibu au kujitungia maswali na kuyajibu bungeni ili wanachi wajue ukweli tofauti na uwongo wa tume uliosowa bungeni.
Badala yake yeye akaamua kuzira. Na ukungu wa maswali hata angehojiwa lowasa ulikupwepo na utakuwepo sababu kuna wengine walipewa rehersal laini tatizo ni offiacial document zipo.
May be ikifika sehemu Lowasa mwenyewe aombe hizo official document zake zote ziwe public
Tukienda kwa first principles, huwezi kuandika ripoti bila kumpa mtu nafasi ya kujieleza. Hiyo ni fundamental principle ya fair hearing, ina maana hiyo ripoti imeandikwa bila kumsikiliza Lowassa.
Sisemi kwamba Lowassa ni safi, nasema katika kuandika ripoti Mwakyembe alichemsha. Katika sheria unaweza ukawa una m prosecute mtu kafanya kosa kweli, lakini ukikosea steps katika kukusanya evidence unaweza kushindwa kesi mtuhumiwa akaachwa huru. kwa nini Mwakyembe hakumuhoji Lowassa? Regardless of the answer, Lowassa amepewa mwanya wa kusema hakutendewa haki, kwa sababu hakutendewa.