Kiranga,
..kwa kweli nikupongeze kwa moyo uliokuwa nao ktk kuitetea hoja yako.
..anayekupinga hapa ama ni mgumu wa kuelewa au ana lake jambo.
..hakuna maelezo ya kutosha kueleza kwanini Tume ya Mwakyembe haikumhoji Edward Lowassa.
..ni bahati tu kwamba Lowassa naye alikurupuka akajiuzulu. kitendo hicho kimeficha a big flaw ikaonekana Mwakyembe na timu yake wamefanya kazi nzuri.
..Lowassa angeweza kukomaa ktk nafasi yake kwa kisingizio kwamba hakuhojiwa, na "amejipima" akaona hana sababu ya kujiuzulu.
mtu wa madili na mishen town kama lowassa hainiingii akilini kuwa alikurupuka kujiuzuru sema tu na ww umepokea vijisent
ndugu yangu muda bado upo na anao arudishe hiyo mada tena bungeni jamani mbona wagumu wa kuelewa mambo lol, dual process was not completed because aliona mziki mzito akajiuzuru
kama alionewa kama anavyosema kila siku kwenye tv na makanisani kwa nini asiende hata kesho aseme alionewa bungeni then ansard ivutwe issue irudi tena bungeni?