kasyabone tall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 254
- 59
Siku ya leo Dr. Mwakyembe anatarajia kuhutubia wanakyela katika stend uwanja wa siasa Kyela mjini. Hivyo kwa mtu aliyepo kyela na anapenda kumsikiliza basi ni muhimu kupata taarifa hii, Mkutano utaanza saa 9.00 Alasiri. Lakini tujue kuwa yale aliyohaidi mwaka 2005 hajatekeleza yaliyo mengi. Tunapenda leo aruhusu maswali mengi na aendelee kutupa ahadi hewa za miaka mitano ijayo mithili ya Prof Jay.
Wanakyela walimchagua hasa kutokana na hasira ya kupigwa vita na mafisadi, na wengi wao wanatarajia kurudisha kadi za CCM ambazo wametumia kumpigia kura mwakyembe katika Mkutano wa Dr slaa.
Tukaribie wote tumuhoji, Ningependa wana JF waliopo kyela wahudhurie kwani mawazo yao ni muhimu sana kwa maendeleo ya kyela.
Sikonge,Inginia, Afande samwel-Nipo kyela. Masanilo tupo pamoja.
Wanakyela walimchagua hasa kutokana na hasira ya kupigwa vita na mafisadi, na wengi wao wanatarajia kurudisha kadi za CCM ambazo wametumia kumpigia kura mwakyembe katika Mkutano wa Dr slaa.
Tukaribie wote tumuhoji, Ningependa wana JF waliopo kyela wahudhurie kwani mawazo yao ni muhimu sana kwa maendeleo ya kyela.
Sikonge,Inginia, Afande samwel-Nipo kyela. Masanilo tupo pamoja.