Dr. Mwakyembe, David Mattaka hakuwa Mstaafu alipoteuliwa kuwa CEO wa ATCL?

Hi Kanga!
Nakushukuru kwa Mchango wako Jamvini
Naomba kutofautiana na wewe kama ifuatavyo:
1.Kipi ni Kikubwa Sheria au matendo ya Mtangulizi ? Kuna sheria ya kazi na mahusiano Kazini na Kuna Uteuzi wa Mataka kuwa CEO wa ATCL (chukulia alikuwa amestaafu)?Tunahitaji kuwa "Objective" hata kama watangulizi wetu wali "mess up" mahali fulani kwa mazoea tu. 2. Kama sikosei David Mataka alistaafishwa na Mkapa kwa manufaa ya Umma si kwa Umri hivyo hizi ni kesi mbili Tofauti! 3. Wewe kama Mtanzania Mpenda maendeleo, muuminii wa utawala bora (good Governance) unaona afadhali huyo angeachwa aendelee kuua ATCL,Kukodisha ndenge ovyo ovyo ,Kununua Unifomu kwa 49,0000 USD na Kuzisubiri china kwa siku 45 n.k? utawala bora niujuwavyo mimi una nguzo zake kama Uwazi,uwajibikaji nk vyote hivi vinafaminyika kwa maslahi ya wengi na si ya wachache kama Lowasa ulivyodokeza. yawezekana Mwakyembe pia kama binadamu kafanya pia kwa maslahi yake lakini maslahi yake na ya umma katika hili yame "
intersect!" Ahsante "I stand to be corrected"

Sidhani kama nina haja ya ku-coment tena:confused2:
 
Kwani we ulitaka Mwakyembe amsimamishe vipi kazi Makata wakati ule hakuwa waziri wa wizara husika?
Naheshimu sana maamuzi aliyoyafanya Mhe:Mwakyembe hata kama wengi watakuwa active sana kwa sasa ukizingatia
2015 is just arround the corner.
 
Mwakidondo pamoja na ufafanuzi wako mzuri,Mimi sina maslahi na Chizi ya aina yoyote ile ila napigania Corporate good governance ,rejea barua ya Wizara ya kutengua uteuzi wa Eng.Chizi kuwa CEO wa ATCL,Sababu kubwa iliyotolewa ni utaratibu wa ajira yake haukufuata taratibu,haya mengineyo ya ufisadi wa Bima ya ndege ya Kigoma ni mengineyo na tayari ufafanuzi wake umeanza kutolewa na weledi wazuri tu.Katika Corporate good governance principles Mwakyembe hajafanya la maana hata kidogo na kama anauhakika kuwa kuna fraud yoyote ilikuwa jukumu la ofsi yake kuwasilisha maelezo yake kwenye vyombo vya mamlaka ambavyo ni POLISI,TAKUKURU na OCAG.Kuunda tume ya watu watatu siyo sahihi maana report yao siyo conclusive ikizingatia kuwa kuna elements za criminal offences ambazo kisheria zinashughulikiwa na vyombo nilivyotaja.TUSUBIRI REPORT HIYO KAMA .......................

Mkuu nchi yetu iko kwenye matatizo makubwa sana ya ukosefu wa uwajibikaji na ukosefu wa uadilifu, sisemi haya ndiyo matatizo pekee yanayokwaza maendeleo yetu bali kwa uhakika kabisa naweza kusema haya ndiyo matatizo ya msingi yanayotukwamisha. Unaweza kutaja mengi tu lakini nakuhakikishia yanatokana au ni zao tu la haya mawili. Unazungumzia tuhuma kupelekwa TAKUKURU kwa uchunguzi, ndg yangu Kanga! uchunguzi gani unataka ufanywe na TAKUKURU? lini TAKUKURU imeanza lini au imewahi kufanya uchunguzi wa tuhuma za ufisadi? Kama mtanzania mzalendo unajua fika TAKUKURU ni igizo la gharama sana kwa maisha ya watanzania wote, nasema hivi kwakuwa wote tunalazimishwa kulipia(kwa njia ya kodi) gharama za uendeshaji(mavazi, magari,posho,umeme,samani nk) za huyu film producer aitwaye TAKUKURU. Hivyo mtu makini kama Mwakyembe kupeleka kesi TAKUKURU ni ndoto. Kumbuka TAKUKURU walisema mkataba wa RICHMOND haukuitia serikali hasara yoyote, huku ikiwa dhahiri walilipwa Tsh 152m daily for power that was never generated.

Umezungumzia good corporate governance principle, ndg yangu good corporate governance principle namba moja ni kutengeneza faida ili kuhakikisha corporate inakua. Mengine yote(principles) ni blah blah tu lakini zenye lengo la kusaidia shirika kukua. Hivi kupeleka faili TAKUKURU huku tayari ukijua majibu yake kuna lengo la kuhakikisha ATCL inatengeneza faida na kukua? Tafakari!
 
Yaani kwasababu kosa lilifanywa kwa Mataka ndo lihalalishe kwa Chizi? Mnapiga majungu ya bure! Mwacheni Mwakyembe apige kazi nzuri aliyoianza!
 
Nimepata wasiwasi na utendaji wa viogozi wetu jinsi wanatoa maamuzi katika masuala mbalimbali.Sakata la kufukuzwa kazi kwa CEO wa ATCL hivi karibuni Eng,Chizi kwa sababu ya ukiukaji wa taratibu za ajira yake kunaacha maswali mengi kuliko majibu yanayotolewa na ofisi ya Mwakyembe.
Sababu moja kubwa ambayo Mwakyembe ameitoa akiongea na watumishi wa ATCL ni kwamba Eng. Chizi alikuwa amekwisha staafu kazi hivyo hakusathili kuajiriwa na ATCL.Sababu hii naona ni nyepesi sana kuzingatia mifano mbalimbali ambayo ipo kwa jinsi wastaafu wengi wameendelea kuajiriwa kwa mikataba ya ajira kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu.Mfano mmojawapo ni uteuzi wa DAVID MATTAKA ambaye aliteuliwa kuwa CEO wa ATCL wakati huo alikwisha staafu kama CEO wa PPF.David Mattaka ndiye alimwachia ofisi Chizi kama mrithi wa ofisi yake kama CEO je swali kwa Mwakyembe Uteuzi wa Mattaka na Chizi una tofauti gani?.Kinachoonekana hapa ni mambo binafsi sana ndiyo yanaleta kelele zote hizi.Na kama kuna sababu nyingine ni ufisadi katika ATCL wakati wa CEO Chizi vyombo vya dola kama TAKUKURU na CAG wanatakiwa waagizwe kufanya ukaguzi maalum na siyo kuteua tume.
Inaonekana Mwakyembe ni mtu asiye jifunza na anapenda umaarufu rahis kwa vitu vyenye kuhitaji uchambuzi wa kina.Na hapa Mwakyembe akionekana ameboronga Lowasa atachekelea vizuri akimaanisha na kuthibitisha Mwakyembealitumika kwenye Kamati ya Richmond kumuonea na nia ilikuwa UWAZIRI MKUU WAKE.:majani7:

Haya ndio madhara ya kuwa na serikali iliyo na viongozi wasiojua wajibu wao (business as usual) kwa muda mrefu Matokeo yake anapotokea kiongozi anayewajibika wanatokea watu kama wewe. Katika uongozi inaminika kwamba ni afadhali kiongozi akatoa uamuzi wenye makosa (mkarekebisha) kuliko kutotoa kabisa au kama ilivyo sasa hivi viongozi wetu, hasa wajuu, unasubiri upepo unaelekea wapi then nawe unatoa maelezo yako ambayo unajua hatawaudhi watu wengi. UONGOZI NI KUONYESHA NJIA NA SIO KUMFURAHISHA KILA MTU.
 
Nimepata wasiwasi na utendaji wa viogozi wetu jinsi wanatoa maamuzi katika masuala mbalimbali.Sakata la kufukuzwa kazi kwa CEO wa ATCL hivi karibuni Eng,Chizi kwa sababu ya ukiukaji wa taratibu za ajira yake kunaacha maswali mengi kuliko majibu yanayotolewa na ofisi ya Mwakyembe.
Sababu moja kubwa ambayo Mwakyembe ameitoa akiongea na watumishi wa ATCL ni kwamba Eng. Chizi alikuwa amekwisha staafu kazi hivyo hakusathili kuajiriwa na ATCL.Sababu hii naona ni nyepesi sana kuzingatia mifano mbalimbali ambayo ipo kwa jinsi wastaafu wengi wameendelea kuajiriwa kwa mikataba ya ajira kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu.Mfano mmojawapo ni uteuzi wa DAVID MATTAKA ambaye aliteuliwa kuwa CEO wa ATCL wakati huo alikwisha staafu kama CEO wa PPF.David Mattaka ndiye alimwachia ofisi Chizi kama mrithi wa ofisi yake kama CEO je swali kwa Mwakyembe Uteuzi wa Mattaka na Chizi una tofauti gani?.Kinachoonekana hapa ni mambo binafsi sana ndiyo yanaleta kelele zote hizi.Na kama kuna sababu nyingine ni ufisadi katika ATCL wakati wa CEO Chizi vyombo vya dola kama TAKUKURU na CAG wanatakiwa waagizwe kufanya ukaguzi maalum na siyo kuteua tume.
Inaonekana Mwakyembe ni mtu asiye jifunza na anapenda umaarufu rahis kwa vitu vyenye kuhitaji uchambuzi wa kina.Na hapa Mwakyembe akionekana ameboronga Lowasa atachekelea vizuri akimaanisha na kuthibitisha Mwakyembe alitumika kwenye Kamati ya Richmond kumuonea na nia ilikuwa UWAZIRI MKUU WAKE.:majani7:


Two wrongs does not make it right. Wastaafu watulie wale pensheni zao nchi hii ina watu wa kutosha wa kuyaendesha mashirika yetu pamoja na ofisi za umma kwa ujumla. Hii tabia ya kuwa recycle wataafu inakera na kama Mwakyembe ameamua kuikomesha tunamuunga mkono kwa asilimia 100.

Hili nalo atakayelilalamikia ni yule mwenye maslahi binafsi na chizi ambaye kuondoka kwake ATCL kutakuwa kumemuathiri kwa namna yoyote ile.
 
Mataka hata kama alikuwa msataafu alikuwa mteule wa Rais fursa ambayo ilimpatia kuwa mkurugenzi Mkuu wa ATCL kwa mujibu wa sheria za uteuzi wa Rais lakini chizi hakuwa mteule wa Rais bali kaimu Mkurugenzi mkuu lakini pia chizi alistaafu miaka mingi kama nina kumbukumbu mwaka 2003 ni kwa nini alirudi kukaimu tu wakati nafasi ya kukaimu ingeweza kutoka ndani ya ATCL????.

Tuwe wakweli Chizi alikuwa rafiki wa karibu wa Waziri wa uchukuzi, Omar Nundu na hapo ndipo wakatumia ukaribu wao kukiuka taratibu.
 
Nimepata wasiwasi na utendaji wa viogozi wetu jinsi wanatoa maamuzi katika masuala mbalimbali.Sakata la kufukuzwa kazi kwa CEO wa ATCL hivi karibuni Eng,Chizi kwa sababu ya ukiukaji wa taratibu za ajira yake kunaacha maswali mengi kuliko majibu yanayotolewa na ofisi ya Mwakyembe.
Sababu moja kubwa ambayo Mwakyembe ameitoa akiongea na watumishi wa ATCL ni kwamba Eng. Chizi alikuwa amekwisha staafu kazi hivyo hakusathili kuajiriwa na ATCL.Sababu hii naona ni nyepesi sana kuzingatia mifano mbalimbali ambayo ipo kwa jinsi wastaafu wengi wameendelea kuajiriwa kwa mikataba ya ajira kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu.Mfano mmojawapo ni uteuzi wa DAVID MATTAKA ambaye aliteuliwa kuwa CEO wa ATCL wakati huo alikwisha staafu kama CEO wa PPF.David Mattaka ndiye alimwachia ofisi Chizi kama mrithi wa ofisi yake kama CEO je swali kwa Mwakyembe Uteuzi wa Mattaka na Chizi una tofauti gani?.Kinachoonekana hapa ni mambo binafsi sana ndiyo yanaleta kelele zote hizi.Na kama kuna sababu nyingine ni ufisadi katika ATCL wakati wa CEO Chizi vyombo vya dola kama TAKUKURU na CAG wanatakiwa waagizwe kufanya ukaguzi maalum na siyo kuteua tume.
Inaonekana Mwakyembe ni mtu asiye jifunza na anapenda umaarufu rahis kwa vitu vyenye kuhitaji uchambuzi wa kina.Na hapa Mwakyembe akionekana ameboronga Lowasa atachekelea vizuri akimaanisha na kuthibitisha Mwakyembe alitumika kwenye Kamati ya Richmond kumuonea na nia ilikuwa UWAZIRI MKUU WAKE.:majani7:


Mataka hakukaimu Chizi alikuwa mstaafu aliyerushwa kukaimu? hapo kuna namna suala la mtumishi kustaafu na kukaimu lingeeleweka tu kama chizi angekuwa kastafuu na kaajiriwa kwa mkataba na ATCL na kisha akiwa katika mkataba angekuwa kaimu. Huwezi kutoa mtumishi nyumbani kwake tena aliyestaafu miaka kadhaa nyuma kuja kukaimu.......ni uuuupuupu huuuuu

Mwakyembe kasema kama chizi na wenzake wanajisikia kwamba wameonewa ruksa kwenda mahakamani.....tunasubiri kuona kama watadai fidia kwa kuonewa!!!!!!!!!!!
 
Mwakidondo pamoja na ufafanuzi wako mzuri,Mimi sina maslahi na Chizi ya aina yoyote ile ila napigania Corporate good governance ,rejea barua ya Wizara ya kutengua uteuzi wa Eng.Chizi kuwa CEO wa ATCL,Sababu kubwa iliyotolewa ni utaratibu wa ajira yake haukufuata taratibu,haya mengineyo ya ufisadi wa Bima ya ndege ya Kigoma ni mengineyo na tayari ufafanuzi wake umeanza kutolewa na weledi wazuri tu.Katika Corporate good governance principles Mwakyembe hajafanya la maana hata kidogo na kama anauhakika kuwa kuna fraud yoyote ilikuwa jukumu la ofsi yake kuwasilisha maelezo yake kwenye vyombo vya mamlaka ambavyo ni POLISI,TAKUKURU na OCAG.Kuunda tume ya watu watatu siyo sahihi maana report yao siyo conclusive ikizingatia kuwa kuna elements za criminal offences ambazo kisheria zinashughulikiwa na vyombo nilivyotaja.TUSUBIRI REPORT HIYO KAMA .......................
Ngonjera za namna hii hazitatufikisha popote hadi Yesu arudi.....Tunahitaji utendaji na sio upuuzi wa kutetea hata ufisadi unaoonekana wazi kama tuliousikia jana...Nasita kuamini kama wewe ni Mtanzania Mzalendo ama unatumiwa...au ni wale wale wanaotaka kuiua ATCL kwa maslahi wanayoyajua wao...Kama kaonewa aende yeye kwenye vyombo vilivyoundwa kwa ajili hiyo Mwakyembe songa Mbele tunataka kumwona twiga akipaa Africa nzima na duniani...
 
Nimepata wasiwasi na utendaji wa viogozi wetu jinsi wanatoa maamuzi katika masuala mbalimbali.Sakata la kufukuzwa kazi kwa CEO wa ATCL hivi karibuni Eng,Chizi kwa sababu ya ukiukaji wa taratibu za ajira yake kunaacha maswali mengi kuliko majibu yanayotolewa na ofisi ya Mwakyembe.
Sababu moja kubwa ambayo Mwakyembe ameitoa akiongea na watumishi wa ATCL ni kwamba Eng. Chizi alikuwa amekwisha staafu kazi hivyo hakusathili kuajiriwa na ATCL.Sababu hii naona ni nyepesi sana kuzingatia mifano mbalimbali ambayo ipo kwa jinsi wastaafu wengi wameendelea kuajiriwa kwa mikataba ya ajira kwa kipindi cha miaka miwili au
mitatu.Mfano mmojawapo ni uteuzi wa DAVID MATTAKA ambaye aliteuliwa kuwa CEO wa ATCL wakati huo alikwisha staafu kama CEO wa PPF.David Mattaka ndiye alimwachia ofisi Chizi kama mrithi wa ofisi yake kama CEO je swali kwa Mwakyembe Uteuzi wa Mattaka na Chizi una tofauti gani?.Kinachoonekana hapa ni mambo binafsi sana ndiyo yanaleta kelele zote hizi.Na kama kuna sababu nyingine ni ufisadi katika ATCL wakati wa CEO Chizi vyombo vya dola kama TAKUKURU na CAG wanatakiwa waagizwe kufanya ukaguzi maalum na siyo kuteua tume.
Inaonekana Mwakyembe ni mtu asiye jifunza na anapenda umaarufu rahis kwa vitu vyenye kuhitaji uchambuzi wa kina.Na hapa Mwakyembe akionekana ameboronga Lowasa atachekelea vizuri akimaanisha na kuthibitisha Mwakyembe alitumika kwenye Kamati ya Richmond kumuonea na nia ilikuwa UWAZIRI MKUU WAKE.:majani7:

Wewe unafikiri kwa kutumia Masaburi!!!
 
Swali: Dr. Mwakyembe, David Mattaka hakuwa Mstaafu alipoteuliwa kuwa CEO wa ATCL?

Huyu muuliza swali anamuuliza Dr. Mwakyembe swali la kijinga. Hivi Dr. Mwakyembe alikuwa Waziri wa Uchukuzi wakati anaajiriwa Mataka?
 
Nimepata wasiwasi na utendaji wa viogozi wetu jinsi wanatoa maamuzi katika masuala mbalimbali.Sakata la kufukuzwa kazi kwa CEO wa ATCL hivi karibuni Eng,Chizi kwa sababu ya ukiukaji wa taratibu za ajira yake kunaacha maswali mengi kuliko majibu yanayotolewa na ofisi ya Mwakyembe.
Sababu moja kubwa ambayo Mwakyembe ameitoa akiongea na watumishi wa ATCL ni kwamba Eng. Chizi alikuwa amekwisha staafu kazi hivyo hakusathili kuajiriwa na ATCL.Sababu hii naona ni nyepesi sana kuzingatia mifano mbalimbali ambayo ipo kwa jinsi wastaafu wengi wameendelea kuajiriwa kwa mikataba ya ajira kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu.Mfano mmojawapo ni uteuzi wa DAVID MATTAKA ambaye aliteuliwa kuwa CEO wa ATCL wakati huo alikwisha staafu kama CEO wa PPF.David Mattaka ndiye alimwachia ofisi Chizi kama mrithi wa ofisi yake kama CEO je swali kwa Mwakyembe Uteuzi wa Mattaka na Chizi una tofauti gani?.Kinachoonekana hapa ni mambo binafsi sana ndiyo yanaleta kelele zote hizi.Na kama kuna sababu nyingine ni ufisadi katika ATCL wakati wa CEO Chizi vyombo vya dola kama TAKUKURU na CAG wanatakiwa waagizwe kufanya ukaguzi maalum na siyo kuteua tume.
Inaonekana Mwakyembe ni mtu asiye jifunza na anapenda umaarufu rahis kwa vitu vyenye kuhitaji uchambuzi wa kina.Na hapa Mwakyembe akionekana ameboronga Lowasa atachekelea vizuri akimaanisha na kuthibitisha Mwakyembe alitumika kwenye Kamati ya Richmond kumuonea na nia ilikuwa UWAZIRI MKUU WAKE.:majani7:

Kama umefuatilia comments zote kufuatia mada yako; Mpaka hapa nafikiri Kanga umeshagundua kwamba watu wamechoka na ufisadi kwa hiyo mtu kama Dr. Mwakyembe anapokuwa na uthubutu wa kutenda kama alivyofanya ili kulinda maslahi ya umma, anastahili kupongezwa na kutiwa moyo badala ya vijembe na kutanguliza maslahi binafsi, tumefikia mahali turudie kama zamani tuwe "tunafikiri kwa Ubongo badala ya matumbo"
Pole sana, siku nyingine kabla hujapost mada yoyote jaribu kutumia mizania zaidi ya mmoja kuchambua jambo, jaribu kupanua scope yako kwa kufanya utafiti wa kitu kabla ya kwenda public the as a consequence wadau wanagundua kumbe wewe ni "small thinker badala ya kuchukuliwa kama great thinker. norrow mindedness sio sifa njema kabisa.
 
Tena tunakuomba Mwakyembe (au kama ni vibosile kwako basi Prezidaa) awachukulie hatua wale wote waliompa ajira Chizi kinyume na sheria za utumishi. Tumechoka na haya mambo ya kuendekeza urafiki na kulitia taifa letu hasara kiasi hiki.
 
Kwani we ulitaka Mwakyembe amsimamishe vipi kazi Makata wakati ule hakuwa waziri wa wizara husika?
Naheshimu sana maamuzi aliyoyafanya Mhe:Mwakyembe hata kama wengi watakuwa active sana kwa sasa ukizingatia
2015 is just arround the corner.
Umeielezea vizuri mkuu, kwenye red nafikiri ulitaka kumwongelea Mataka
 
Mwakidondo pamoja na ufafanuzi wako mzuri,Mimi sina maslahi na Chizi ya aina yoyote ile ila napigania Corporate good governance ,rejea barua ya Wizara ya kutengua uteuzi wa Eng.Chizi kuwa CEO wa ATCL,Sababu kubwa iliyotolewa ni utaratibu wa ajira yake haukufuata taratibu,haya mengineyo ya ufisadi wa Bima ya ndege ya Kigoma ni mengineyo na tayari ufafanuzi wake umeanza kutolewa na weledi wazuri tu.Katika Corporate good governance principles Mwakyembe hajafanya la maana hata kidogo na kama anauhakika kuwa kuna fraud yoyote ilikuwa jukumu la ofsi yake kuwasilisha maelezo yake kwenye vyombo vya mamlaka ambavyo ni POLISI,TAKUKURU na OCAG.Kuunda tume ya watu watatu siyo sahihi maana report yao siyo conclusive ikizingatia kuwa kuna elements za criminal offences ambazo kisheria zinashughulikiwa na vyombo nilivyotaja.TUSUBIRI REPORT HIYO KAMA .......................

Hivi nyie mnao kuwaga mnatetea watu wanaofuja mali za umma huwa mnaakili gani? Hahiitaji TAKUKURU ambayo sioni kama inamaana sana kwa nchi afadhari isiwepo kabisa. Hawa jamaa kwanza inatakiwa wafungwe ulishawahi kuona wapi uniform 15 zikanunuliwa kwa dollar 50000 tena kutoka China?

Unapouliza Mataka alipewa mkata kwakuwa naye alikuwa amestaafu huu ni upuuzi inatakiwa wale waliompatia wapigwe madongo sana. Hawa waliostaafu hawafai kwenye shughuli nyeti inatakiwa wakae pembeni hakuna cha uzoefu wowote zaidi ya kueiba tu. After all wanamiaka mingapi huko mbeleni?

Jamaa wafikishwe mahakani na usiendeleze kuuliza maswali why Mwakyembe
 
Embu muacheni Chizi mmeshaona ni Chizi then mnahoji kusimamishwa,wanampeleka ile hospitali Dom atarudi tu wakikuta sio chizi
 
Back
Top Bottom