Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Hi Kanga!
Nakushukuru kwa Mchango wako Jamvini
Naomba kutofautiana na wewe kama ifuatavyo:
1.Kipi ni Kikubwa Sheria au matendo ya Mtangulizi ? Kuna sheria ya kazi na mahusiano Kazini na Kuna Uteuzi wa Mataka kuwa CEO wa ATCL (chukulia alikuwa amestaafu)?Tunahitaji kuwa "Objective" hata kama watangulizi wetu wali "mess up" mahali fulani kwa mazoea tu. 2. Kama sikosei David Mataka alistaafishwa na Mkapa kwa manufaa ya Umma si kwa Umri hivyo hizi ni kesi mbili Tofauti! 3. Wewe kama Mtanzania Mpenda maendeleo, muuminii wa utawala bora (good Governance) unaona afadhali huyo angeachwa aendelee kuua ATCL,Kukodisha ndenge ovyo ovyo ,Kununua Unifomu kwa 49,0000 USD na Kuzisubiri china kwa siku 45 n.k? utawala bora niujuwavyo mimi una nguzo zake kama Uwazi,uwajibikaji nk vyote hivi vinafaminyika kwa maslahi ya wengi na si ya wachache kama Lowasa ulivyodokeza. yawezekana Mwakyembe pia kama binadamu kafanya pia kwa maslahi yake lakini maslahi yake na ya umma katika hili yame "
intersect!" Ahsante "I stand to be corrected"
Sidhani kama nina haja ya ku-coment tena:confused2: