Dr. Mwakyembe aweka hadharani ugonjwa wake

Sitta na Mwakyembe ni wanafiki, walilidanganya Taifa Waziri mkuu mchapa kazi kipenzi akajiuzulu ili kumchafua asiwe raisi 2015, wanaendelea kutunga uwongo kutuaminisha kuwa waziri mkuu wa zamani anahusika na ugonjwa wa Mwakyembe, sick. Malipo ni hapa hapa duniani, Mwakyembe tayari bado Sitta
 
Hapo juu watu wameconclude eti siyo sumu, wemetafuta difinition ya ugonjwa tuu!
 
Mwakyembe ameshasema tuwaachie polisi wakamilishe uchunguzi. Nahisi kuna taarifa anazo kuhusu ugonjwa wake ambazo hapendi kuziweka hadharani. Nadhani ni wakati muafaka wa kuusoma na kuujua huu ugonjwa vyema ili siku akijisikia kusema tena tuweze kuelewa vyema.
 
Ndio maana nimejaribu kuutafuta ugonjwa na kujua posible causes ndio hizo hebu soma
 
Nimewahi kumuuliza prof mmoja mtaalam wa mambo ya immune systems kuwa ni kitu gani huweza kusababisha chembe hai na immune system kwa ujumla zisizalishwe? Akasema kikubwa ni "exposure to radiation", radioactive material yeyote huangamiza hizi pamoja na vinasaba vyake. Athari zake ni kama hizo za Dr. Kwahiyo, bado inawezekana aliwekewa hiyo Polonimu.

Inaonekana Jk amefanya juhudi binafsi kutaka kulimaliza suala hili kimya kimya kwa ajili ya manufaa ya serikali yake na ndio maana Dr. ameziba mdomo. Pia, analinda nafasi yake.
 
labda huelewi lugha hakuna sumu kwenye ugonjwa huo. hapo ni sawa na mlinzi kumpiga risasi boss wake. white cells zinachemsha na kushambulia cells zingine.

hizo toxic exposure ni madhara ya muda mrefu ambayo taratibu yanabadili behaviour ya cells. sumu inaua au kuharibu hapo hapo. hayo tunakuambia sisi madaktari tena sio wale wa shule za kata.

mlimtukana pasco bure. huenda mheshimiwa sana alikuwa anatumia madawa muda mrefu na yamesababisha mchanganyiko kwenye cells zake.
 
Hapo juu watu wameconclude eti siyo sumu, wemetafuta difinition ya ugonjwa tuu!

nani kakwambia watanzania wanapenda kusumbua bongo zao kufikiri? Ndugu zangu, hata hamuwezi kujiuliza kwa nini MwaKyembe aseme anasubiri tume ya waziri imhoji ili awapatie kilichomo kwenye report ya daktari? Hawa taki kufikiri kuwa si vyema kutoa kauli yoyote wakati kuna tume inayochunguza kitu hicho hicho. Watanzania tusiwe wavivu wa kufikiri na kujiuliza maswali mengi kabla hatujaconclude.
 
"Nimesoma darasa moja Kitivo cha Sheria Mlimani na DCI Manumba. Baadaye IGP Mwema alikuwa mwanafunzi wangu wa sheria Mlimani" - Mwakyembe .....HII INAMAANA ANAUJUA SANA UWEZO WAO WA KIAKILI ULIOWAFANYA WAFIKE HAPO WALIPO
 
Nimewahi kumuuliza prof mmoja mtaalam wa mambo ya immune systems kuwa ni kitu gani huweza kusababisha chembe hai na immune system kwa ujumla zisizalishwe? Akasema kikubwa ni "exposure to radiation", radioactive material yeyote huangamiza hizi pamoja na vinasaba vyake. Athari zake ni kama hizo za Dr. Kwahiyo, bado inawezekana aliwekewa hiyo Polonimu.

Inaonekana Jk amefanya juhudi binafsi kutaka kulimaliza suala hili kimya kimya kwa ajili ya manufaa ya serikali yake na ndio maana Dr. ameziba mdomo. Pia, analinda nafasi yake.

amini nakwambia mwakyembe hajapona na atarudi india.....
 
Watu waache uvivu wa kufikiri......haingii akailini Sita mbele ya Mwakyembe mwenyewe aseme amepewa sumu......leo hii watu wanakurupuka wanasema hajapewa sumu......na yeye anawaambia acheni tume ifanye kazi yake!!!!!......Jaribu muwe mnajifikirisha japo kidogo....Kumbuka hawa ni watu wazima sio watoto......
 
Ok Dr nimekuelewa ila unajua unaposema long term exposure ni nini? Je ukiwa subjected na sudden expossure kinatokea nini? hata kwenye cancer cases kuna long term exousure sometimes, kwamba wataalamu wanavya calculate risk huwa wanatoa muda maalum ambao mtu akiwa subjected na certain amount ya rays anapata madhala, pia chemicals ina this case madhala ni yaleyale! Lakini kama kinu cha nuc kikipasuka hiyo ni case nyingine hata chemicals zikiwa directly subjected nazo ni hivyohivyo hujaelewa nini?
 
mwakyembe mwenyewe kasema tuachane naye,
haisaidii kutumia nguvu kumsemea yeye, ni gamba kama magamba mengine tu.
 
Nimewahi kumuuliza prof mmoja mtaalam wa mambo ya immune systems kuwa ni kitu gani huweza kusababisha chembe hai na immune system kwa ujumla zisizalishwe? Akasema kikubwa ni "exposure to radiation", radioactive material yeyote huangamiza hizi pamoja na vinasaba vyake. Athari zake ni kama hizo za Dr. Kwahiyo, bado inawezekana aliwekewa hiyo Polonimu.

Inaonekana Jk amefanya juhudi binafsi kutaka kulimaliza suala hili kimya kimya kwa ajili ya manufaa ya serikali yake na ndio maana Dr. ameziba mdomo. Pia, analinda nafasi yake.

Hata mimi naamini hivyo haiwezekani ghafla bin vuu aseme mjadala umefungwa. JK amemaliza kiaina.
 
Kwani na huyu Wassira naye ana ugonjwa wa ngozi?..........

huu wa kwake wasira ni wa kuzaliwa nao unaitwa 'popural antskin attractiveness' mara nyingi binadamu jamii ya tyson huwa wanashambuliwa ki urahisi sana na ugonjwa huu na unatokana na chembe chembe ndogo ndogo za ugonjwa wa kusinzia bungeni au wakati mwingine unatokana na ugonjwa wa kuropoka ropoka vikaoni na kukwiba wake za watu.
 
labda huelewi lugha hakuna sumu kwenye ugonjwa huo. hapo ni sawa na mlinzi kumpiga risasi boss wake. white cells zinachemsha na kushambulia cells zingine.

hizo toxic exposure ni madhara ya muda mrefu ambayo taratibu yanabadili behaviour ya cells. sumu inaua au kuharibu hapo hapo. hayo tunakuambia sisi madaktari tena sio wale wa shule za kata.

mlimtukana pasco bure. huenda mheshimiwa sana alikuwa anatumia madawa muda mrefu na yamesababisha mchanganyiko kwenye cells zake.

Ahsante, lakini kulingana na prof. mmoja mtaalamu wa immunology anasema radiation ndio chanzo kikubwa cha kuua hizo cell zinakotengenezwa- kwenye bone marrow. white cell kama inauua cell nyingine itatokea kwenye viungo vingine na itasababisha inflamation na sio kama ugonjwa wa mwakyembe. sumu-polonium itakuwa chanzo cha ugonjwa wake
 
Mwakyembe unamkosea Mungu wako hujasimama kwenye ukweli katika jambo kubwa kama hili la kulishwa au kupakazwa sumu. Sema ukweli kuhusiana na jambo hili may be God bless you brother
 
Back
Top Bottom