Jamani
Mahakama ya Rufani Tanzania imetoa ukumu ya Naibu waziri Maua Daftrai kumlipa mdeni wake 100.7M aliyemtapeli.
Je kwa hili anastahili kubaki waziri. Kosa ni wizi wa kujiaminisha.
Kumradhi wakuu,Jamani
Mahakama ya Rufani Tanzania imetoa ukumu ya Naibu waziri Maua Daftrai kumlipa mdeni wake 100.7M aliyemtapeli.
Je kwa hili anastahili kubaki waziri. Kosa ni wizi wa kujiaminisha.
Kumradhi wakuu,
Dr. Maua Daftari alifanya kosa gani hasa? Ningependa kujua kwa undani na kesi hii ilifunguliwa lini... Huenda nimepoteza kumbukumbu lakini naamini kwa manufaa ya wengi tuwekeeni hali halisi ili tuelewe hii habari ikoje
Mkubwa, wizi upo kwenye mashauri ya madai pia, si lazima jinai. Kisheria waita kwa kiingereza conversion.angekuwa amefanyakosa la wizi angestakiwa criminal case, hii ilikuwa civil kesi, so huwezi ukasema ni wizi.
Kama serikali ingekua na tabia uwajibikaji wa pamoja kwa kuwa aliyetapeli ni waziri maana yake ni kwamba barara la mawaziri ni tapeli na hivyo halipaswi kuaminiwa. Kitendo pekee cha kuitakasa hii cabinet ni kwa Maua kujiuzulu. Na kama atakaidi inapaswa mkuu wake wa kazi kumwajibisha ikiwa naye atakuwa hataki kufanya kazi na matapeli.
Utapeli wa kutolipa kodi kwa marafiki wasio na diplomatic immunity = conflicts of interests!
- Waziri Daftari Maua alitaka kununua vifaa hivyo huko nchi za nje bila kulipa kodi!
- Waziri Maua Daftari alitaka kusafirisha vifaa hivyo kutoka nchi za nje hadi Dar bila kulipia ushuru wa forodha.
- Waziri Maua Daftari Maua alitaka kuingiza vifaa hivyo bila kulipa ushuru wa forodha Tanzania.