Dr. Mathayo's Degrees Are Authentic - TCU

Itazame hiyo thesis Title imeandikwaje?

"Quality of Information and Behaviour of Risk Around Information Events"

Suleiman Rashid Mohamed PhD (Finance)

That means his thesis is in Finance focusing in Quality of information and the investor behavior towards risk during information events. (Ukitype katika google lazima itakupeleka katika area husika na jamaa kama alipublish papers humo kama hajapublish ndio basi).

Njoo kwa Mathayo PhD (Either Agriculture or Animal Science)

Title- Unknown.

Chuo - Not Clear Free State University or University of Free State? (The first thing in a PhD is to learn about reputation sie tuliosoma masters tunalijua hili nashangaa aliesoma PhD halijui)

Jamani mie naenda zangu kulala usiku mwema nilikuwapo!!!!
mkuu usiende kulala. huyu Suleiman Rashid ni mkurugenzi pale IFM kijana mkali sana..

Mtoto wa nje ya ndoa wa Msuya huyu Mathayo David akiona moto huu atazidi kukonda.
watanzania tumeamka sio wajinga tena. inawezekana amekata kitu kidogo huko TCU kama ilivyo kwa TBS unaweza kuwa na bidhaaa mbovu ukawapa kitu kidogo wakapitisha bidhaa zako.kama alivyokuwa akifanya bwana Mengi NA MAJI YAKE YA KWENYE CHUPA. au dawa zake za miswaki.
 
Itazame hiyo thesis Title imeandikwaje?

"Quality of Information and Behaviour of Risk Around Information Events"

Suleiman Rashid Mohamed PhD (Finance)

That means his thesis is in Finance focusing in Quality of information and the investor behavior towards risk during information events. (Ukitype katika google lazima itakupeleka katika area husika na jamaa kama alipublish papers humo kama hajapublish ndio basi).

Njoo kwa Mathayo PhD (Either Agriculture or Animal Science)

Title- Unknown.

Chuo - Not Clear Free State University or University of Free State? (The first thing in a PhD is to learn about reputation sie tuliosoma masters tunalijua hili nashangaa aliesoma PhD halijui)

Jamani mie naenda zangu kulala usiku mwema nilikuwapo!!!!

Mkuu analysis zako zimejaa ushabiki na huwezi kuwa mwalimu mzuri

Kwa title ile kila mmoja anaweza kusema anavyoona yeye depending on which discpline you are and what do you know and what you want!

sijaona methodology uliyotumia au uliyonielekeza kuwa kujua tu title ya huyo mkuu, na nikijua chuo basi ndio degree yake iko sahihi? kwako wewe naona the best method ya kujua authenticity ya PhD ya mtu ni iwe kwenye internet??!!!

kwa hiyo vyuo vya malawi, zambia, namibia, achilia mbali DSM ambao PhD zao hawajapost kwenye internet basi ziko fake!! mkuu umeniacha hoi

Ulisema unaweza tu kuona title ya Mathayo na ukagundua kuwa amemaliza kiaina, mimi nikasema si kweli lazima ujue objective, problem statement na hypothesis, achilia mbali scope

Mfano ulioweka umejiweka pazuri kuwa hiyo title inaweza kutumika katika discpline nyingi tu na still kila mmoja akafanya anavyotaka yeye

Hakuna methodology ya kuhakiki reserach ya mtu kwa kujua title tu, kama ulivyotaka tuamini, ulikuwa unachangamsha baraza, we kalale tu

Mathayo bado anaweza kuwa kadanganya , wala siko kumtetea yeye hapa, hizi forum tunajifunza vingi, nilikuwa na hamu unipe hiyo style , ili nikiiona tu title ya mtu nijue kafoji cheti au la! duh! ningejua kuwa hutaweza kuthibitisha nisingeenda mbali hivi


ukisoma tu kuwa;

"Quality of Information and Behaviour of Risk Around Information Events"

Suleiman Rashid Mohamed PhD (Finance)

basi huyu jamaa ana akili sana; au mbovu sana!!!!

ndiyo maana sheikh yahaya anatamba sana
 
mkuu usiende kulala. huyu Suleiman Rashid ni mkurugenzi pale IFM kijana mkali sana..

Mtoto wa nje ya ndoa wa Msuya huyu Mathayo David akiona moto huu atazidi kukonda.
watanzania tumeamka sio wajinga tena. inawezekana amekata kitu kidogo huko TCU kama ilivyo kwa TBS unaweza kuwa na bidhaaa mbovu ukawapa kitu kidogo wakapitisha bidhaa zako.kama alivyokuwa akifanya bwana Mengi NA MAJI YAKE YA KWENYE CHUPA. au dawa zake za miswaki.

Kanda nakandamiza bado kitabu niko macho
 
Mkuu analysis zako zimejaa ushabiki na huwezi kuwa mwalimu mzuri

Kwa title ile kila mmoja anaweza kusema anavyoona yeye depending on which discpline you are and what do you know and what you want!

sijaona methodology uliyotumia au uliyonielekeza kuwa kujua tu title ya huyo mkuu, na nikijua chuo basi ndio degree yake iko sahihi? kwako wewe naona the best method ya kujua authenticity ya PhD ya mtu ni iwe kwenye internet??!!!

kwa hiyo vyuo vya malawi, zambia, namibia, achilia mbali DSM ambao PhD zao hawajapost kwenye internet basi ziko fake!! mkuu umeniacha hoi

Ulisema unaweza tu kuona title ya Mathayo na ukagundua kuwa amemaliza kiaina, mimi nikasema si kweli lazima ujue objective, problem statement na hypothesis, achilia mbali scope

Mfano ulioweka umejiweka pazuri kuwa hiyo title inaweza kutumika katika discpline nyingi tu na still kila mmoja akafanya anavyotaka yeye

Hakuna methodology ya kuhakiki reserach ya mtu kwa kujua title tu, kama ulivyotaka tuamini, ulikuwa unachangamsha baraza, we kalale tu

Mathayo bado anaweza kuwa kadanganya , wala siko kumtetea yeye hapa, hizi forum tunajifunza vingi, nilikuwa na hamu unipe hiyo style , ili nikiiona tu title ya mtu nijue kafoji cheti au la! duh! ningejua kuwa hutaweza kuthibitisha nisingeenda mbali hivi


ukisoma tu kuwa;

"Quality of Information and Behaviour of Risk Around Information Events"

Suleiman Rashid Mohamed PhD (Finance)

basi huyu jamaa ana akili sana; au mbovu sana!!!!

ndiyo maana sheikh yahaya anatamba sana

Hivi nipe definition ya methodology? nimekueleza katika thread zilizopita namna ya kufahamu umakini wa kazi ya mtu kama umezisoma badala ya kushabikia ni hivi kutwambia umefanya PhD ya Agriculture haitusaidii kitu kutambua ulichokifanya ni kama kutamba nina Masters Degree bila wadau umefanya nini Masters of Law (LLM) au Masters of Science, au Masters of Arts ushanifahamu!!!!

PhD ya Mtu kama Dr Suleiman Mohamed na wengineo hata Professor Lipumba huandikwa Title mzee itusaidie kuipata abstract ya muhusika thesis yake!!! (unless hujui maana ya abstract). Ndani ya abstract ndio utajua objectives za mtu kufanya huo utafiti, findings alizopata ili zitusaidie kufahamu contribution yake katika ulimwengu wa ufahamu (kama unafahamu nini maana ya contribution).

Sasa wewe ukienda kulibandika liPhd lako ubao kuwa

Mfano Weberoya PhD (Farming) then so what!!!! lazima utueleza ulifanya utafiti sehemu gani na watu walio makini hawaogopi kusema kwasababu ukienda utawakuta mkubwa. Watu wenye wasiwasi ndio huficha ficha wanaogopa wasikamatwe.
 
Kweli Weberoya unataka kuniambia kuwa PhD za watu mlimani hazijulikani Title zao??? Na kama hazijulikani basi kwanini wanafanya utafiti??? Kwanini asikurupuke na lijiproject lake akasema kuwa amefanya utafiti katika poverty au finance au wapi kwanini aseme title yake? Hebu nipe hoja zako nikujibu?? na sio kusubiri nikutafunie mie. Mimi sikubaliani na Mathayo hadi anithibitishie hivyo vitu otherwise naweza kusema PhD yake ni questionable na sababu nishazieleza mwanzoni;
a. Chuo gani amesoma Free State University au University of Free State?
b. PhD (Agriculture/Animal Science)
c. What is the Title (Intensive Farming?, sustainable agriculture etc)?
d. Kuna wadau wanauliza why now???
 
Kweli Weberoya unataka kuniambia kuwa PhD za watu mlimani hazijulikani Title zao??? Na kama hazijulikani basi kwanini wanafanya utafiti??? Kwanini asikurupuke na lijiproject lake akasema kuwa amefanya utafiti katika poverty au finance au wapi kwanini aseme title yake? Hebu nipe hoja zako nikujibu?? na sio kusubiri nikutafunie mie. Mimi sikubaliani na Mathayo hadi anithibitishie hivyo vitu otherwise naweza kusema PhD yake ni questionable na sababu nishazieleza mwanzoni;
a. Chuo gani amesoma Free State University au University of Free State?
b. PhD (Agriculture/Animal Farming)
c. What is the Title (Intensive Farming?, sustainable agriculture etc)?
d. Kuna wadau wanauliza why now???

umemaliza kila kitu hata mimi Kanda2 nimeelewa.naona nikuite Mwalimu Mdondoaji kama kuna email ya Mathayo na TCU tuwatumie ujinga wao waliofanya. labda Waberoye ndio Mathayo mwenyewe.
 
mkuu usiende kulala. huyu Suleiman Rashid ni mkurugenzi pale IFM kijana mkali sana..

Mtoto wa nje ya ndoa wa Msuya huyu Mathayo David akiona moto huu atazidi kukonda.
watanzania tumeamka sio wajinga tena. inawezekana amekata kitu kidogo huko TCU kama ilivyo kwa TBS unaweza kuwa na bidhaaa mbovu ukawapa kitu kidogo wakapitisha bidhaa zako.kama alivyokuwa akifanya bwana Mengi NA MAJI YAKE YA KWENYE CHUPA. au dawa zake za miswaki.

Sometimes kutudanganya kama vile watanzania hatujui kitu sio jambo la busara hata kidogo na zama hizi za utandawazi. Pesa serikali ziliwe kiujanja ujanja, na Taaluma nayo ipatikane kiujanja ujanja vilevile?? No wonder tuna 80% failures form 4 hii ni aibu nchi nyengine waziri anaresign kwa hili but kwetu waziri anaona jambo la kawaida kabisa.
 
Hivi nipe definition ya methodology? nimekueleza katika thread zilizopita namna ya kufahamu umakini wa kazi ya mtu kama umezisoma badala ya kushabikia ni hivi kutwambia umefanya PhD ya Agriculture haitusaidii kitu kutambua ulichokifanya ni kama kutamba nina Masters Degree bila wadau umefanya nini Masters of Law (LLM) au Masters of Science, au Masters of Arts ushanifahamu!!!!

PhD ya Mtu kama Dr Suleiman Mohamed na wengineo hata Professor Lipumba huandikwa Title mzee itusaidie kuipata abstract ya muhusika thesis yake!!! (unless hujui maana ya abstract). Ndani ya abstract ndio utajua objectives za mtu kufanya huo utafiti, findings alizopata ili zitusaidie kufahamu contribution yake katika ulimwengu wa ufahamu (kama unafahamu nini maana ya contribution).

Sasa wewe ukienda kulibandika liPhd lako ubao kuwa

Mfano Weberoya PhD (Farming) then so what!!!! lazima utueleza ulifanya utafiti sehemu gani na watu walio makini hawaogopi kusema kwasababu ukienda utawakuta mkubwa. Watu wenye wasiwasi ndio huficha ficha wanaogopa wasikamatwe.

Mdondoaji acha kupanic, nimeshakueleza sikutuma post zangu kujua ukweli au si uwongo wa thesis ya Mathayo , mimi hainihusu, ulisema ukijua tu title unaweza kuhakiki thesis ya mathayo kuwa ni halali au haramu, sasa haujanipa jibu mpaka sasa hivi unawezaje kuhakiki research ya mtu kujua titile tu? maana unachosema hapa kumbe ni kitu ambacho hakuna mtu JF anayeweza kukupa unless umuone Mathayo mwenyewe akupe title na kila unachokihitaji. Mkuu mimi sina cha ushabiki, wewe ni mjuaji mno!

Halafu kwepa hayo maneno kama("unless haujui abstract ni nini") haikusaidii wewe wala anayezisoma hizi post, sana sana zinakumulika jinsi ulivyo, Kumbuka hatujuani humu!

Halafu ukumbuke hamna zawadi ya kushinda ubishi humu, wengine tukona mtu mjuaji basi wewe ndie mshindi

Kweli Weberoya unataka kuniambia kuwa PhD za watu mlimani hazijulikani Title zao??? Na kama hazijulikani basi kwanini wanafanya utafiti??? Kwanini asikurupuke na lijiproject lake akasema kuwa amefanya utafiti katika poverty au finance au wapi kwanini aseme title yake? Hebu nipe hoja zako nikujibu?? na sio kusubiri nikutafunie mie. Mimi sikubaliani na Mathayo hadi anithibitishie hivyo vitu otherwise naweza kusema PhD yake ni questionable na sababu nishazieleza mwanzoni;
a. Chuo gani amesoma Free State University au University of Free State?
b. PhD (Agriculture/Animal Science)
c. What is the Title (Intensive Farming?, sustainable agriculture etc)?
d. Kuna wadau wanauliza why now???

Sijasema hivyo, PhD za mlimani hazina title what makes you to say that? nini nilichosema kupelekea wewe kusema hivyo. It seems your only way of authenticate someone's work is through internet!, nikauliza wa wale ambao kazi zao haziko kwenye internet inakuwaje? mzee una-digress issue purposely!

Mdondoaji wewe ni nani? mtu wangu hata ukiikataa wewe itamsaidia au kumuharibia nini mathayo?, mimi naona tunakichofanya ni jinsi gani yakuweza kuhakiki kazi ya mtu. Kwa hili mimi simsemei Mathayo kama nilivyosema kilichoniingiza mimi na wewe kudebate ni kule kusema ukiiona titile tu ya mtu basi una weza kuhakiki, unless ukatae sasa kuwa haukundika hivyo!

kwa hiyo kama hamna jinsi ya kuakiki kazi ya mtu based on internet only, naomna niishie hapa!

umemaliza kila kitu hata mimi Kanda2 nimeelewa.naona nikuite Mwalimu Mdondoaji kama kuna email ya Mathayo na TCU tuwatumie ujinga wao waliofanya. labda Waberoye ndio Mathayo mwenyewe.

Wenzako huwa wanakwepa sana kutafuta cheap ku-conclusion ambayo ina kudevalue wewe,

inaonekana umeingilia mjadala katikatia, my debate na Mdondoaji ni kuwa alisema akiipata tu title ya Mathayo anaweza kuhakiki kuwa ni PhD ya kweli au ya uongo.
sasa sijajua kusema Mathayo ndiye waberoya inakuja vipi na inaaanzia wapi, hakuna sehemu yoyote niliyomtetea Mathayo kwa namna yoyote, hata ile kujua kuwa alifanya kilimo ndiyo najulia hapa, mimi ni mhandisi wa ujenzi mtu wangu na sifichi hilo. Sijajau hiyo conclusion maana inamaana nyingi sana, labda ni kujikomba kwa mdondoaji au unaona ukikaa kwenye keyborad unaweza kupost kitu chochote kile!

Mdondoaji: naona tuishie hapa mkuu, Inaonekana sikukuelewa kabisa, maana nilitaka kujua jinsi ya kuhakiki kazi ya mtu kwa kujua title tu. kama nilikulewa vibaya lets end here! sikukuelewa mkuu kwenye post yako ya 67 paragraph ya nne sentensi ya kwanza, na post yako ya 81 paragraph ya kwanza sentensi ya kwanza. mimi nilitaka kujua tu utaalamu wako huo. Mathayo hanihusu mimi akiwa amefoji hajafoji shauri zake mimi haniumizi tumbo kabisa!
 
Naona hapa swali linalotakiwa lijibiwe ni unatumia njia gani au kigezo gani kusema flani hana PhD? Hili suala halijibiwi badala yake wanaingia humu akina Kanda2 bin GT nakuanza kurushia posts zisizo na kichwa wala miguu.
 
Naona hapa swali linalotakiwa lijibiwe ni unatumia njia gani au kigezo gani kusema flani hana PhD? Hili suala halijibiwi badala yake wanaingia humu akina Kanda2 bin GT nakuanza kurushia posts zisizo na kichwa wala miguu.

Kamanda PhD ni contribution to the body of literature kama ni sayansi au biashara zote sawa. Sasa tofauti na masters PhD unaanza tangia chini kuokota makaratasi hadi ukatengeneza kitabu ambacho wanataaluma wenzio watakitumia kuendeleza ulipoishia nadhani nimeshafahamika (naogopa kuitwa mjuaji nisameheni kwa niliowakosea mie ni binaadamu).

Sasa ishu inakuja quality ya kazi. Kitu kinachosababisha quality ya kazi yako isilete maana ni kwanza chuo chako husika kwasababu kama chuo hakieleweki tutajuaje hiyo kazi uliifanya wewe na sio mtu mwengine???

Pili Kama chuo dizaini tutajuaje kama hizo data ulizokusanya ni sahihi hasa kama unafanya utafiti wa kisiasa (qualitative research).

Tatu Tukija katika vyuo vya online they are questionable kwasababu wao they are just there to make business they do not care about the quality of the work. Ndio maana Unesco wana buku lao refu la accredited Higher Learning Institution lisaidie kufaa vyuo sahihi kwani vyuo vya chini mti au tovuti vina matatizo yake. Unakuta Chuo Kinaitwa Stanford University of Sweden (Wakati Stanford ipo US). Washington States University of Australia (wapi na wapi). Vyuo hivi mara nyingi vinaanzishwa for those people wanaokwenda ulaya kupata admission za kuombea visa and nothing else. Sasa kama chuo kibiashara unadhani kuna umakini wa PhD let alone hao wahusika wenyewe? But kwakuwa Watanzania tunapenda miteremko watu wanaenda.

Mie binafsi, rafiki yangu aliwahi kujaribu kupeleka kazi yake tukiwa undergraduate pale UD on behalf of mama mmoja alikuwa anasoma post-graduate diploma katika Chuo kinaitwa sijui Washington tukaambiwa yule mama amefaulu vizuri ana Masters. Tulicheka hadi mbavu zikatuuma. haya an asignment tu mtu kapewa masters sembuse dissertation si mtu atapewa PhD kabisa!!!
 
Kamanda PhD ni contribution to the body of literature kama ni sayansi au biashara zote sawa. Sasa tofauti na masters PhD unaanza tangia chini kuokota makaratasi hadi ukatengeneza kitabu ambacho wanataaluma wenzio watakitumia kuendeleza ulipoishia nadhani nimeshafahamika (naogopa kuitwa mjuaji nisameheni kwa niliowakosea mie ni binaadamu).

Sasa ishu inakuja quality ya kazi. Kitu kinachosababisha quality ya kazi yako isilete maana ni kwanza chuo chako husika kwasababu kama chuo hakieleweki tutajuaje hiyo kazi uliifanya wewe na sio mtu mwengine???

Pili Kama chuo dizaini tutajuaje kama hizo data ulizokusanya ni sahihi hasa kama unafanya utafiti wa kisiasa (qualitative research).

Tatu Tukija katika vyuo vya online they are questionable kwasababu wao they are just there to make business they do not care about the quality of the work. Ndio maana Unesco wana buku lao refu la accredited Higher Learning Institution lisaidie kufaa vyuo sahihi kwani vyuo vya chini mti au tovuti vina matatizo yake. Unakuta Chuo Kinaitwa Stanford University of Sweden (Wakati Stanford ipo US). Washington States University of Australia (wapi na wapi). Vyuo hivi mara nyingi vinaanzishwa for those people wanaokwenda ulaya kupata admission za kuombea visa and nothing else. Sasa kama chuo kibiashara unadhani kuna umakini wa PhD let alone hao wahusika wenyewe? But kwakuwa Watanzania tunapenda miteremko watu wanaenda.

Mie binafsi, rafiki yangu aliwahi kujaribu kupeleka kazi yake tukiwa undergraduate pale UD on behalf of mama mmoja alikuwa anasoma post-graduate diploma katika Chuo kinaitwa sijui Washington tukaambiwa yule mama amefaulu vizuri ana Masters. Tulicheka hadi mbavu zikatuuma. haya an asignment tu mtu kapewa masters sembuse dissertation si mtu atapewa PhD kabisa!!!

Nimesoma maelezo yako.

Lakini tuende specifically in context of the current thread. Je, unazo information ku-clarify mtatizo uliopo au methodology ya kujibu swali langu la msingi? Hii itasaidia mjadala kuliko kuongeza counter ya posts kwenye thread bila input ya maana.
 
Nimesoma maelezo yako.

Lakini tuende specifically in context of the current thread. Je, unazo information ku-clarify mtatizo uliopo au methodology ya kujibu swali langu la msingi? Hii itasaidia mjadala kuliko kuongeza counter ya posts kwenye thread bila input ya maana.

Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi
 
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi

Kaaz kwelikweli.

Bw. Mdondoaji nimeuliza swali na wewe unaniuliza tena swali. Nway nitaanza kupitia posts zako kuona kama umeweka hivo vielelezo na kujibu swali langu la msingi.

Post #48

Sio UD peke yao Standard PhD Degree Duniani inatakiwa ni 3 years to 4 years maximum. US na China wanaanza na MSC one year kujifunza how to do research na baadae wanafanya PhD for 3 years. Inawezekana ukamaliza PhD but it has to an outstanding piece of work ambapo watu wa Agriculture wanaifahamu sasa nawaulizeni mashabiki wa Mathayo je PhD Thesis title yake inaitwaje? Kwasababu kama ipo kuna watu wataifanyia references tu.

Likewise, Ukifanya PhD lazima panakuwapo na supervisor ambaye alikusimamia je supervisor wake nani? Elimu sio complication mzee bali ni principles ambazo zimewekwa ili zifatwe usichezee taaluma za watu mkubwa
Hamna jibu la swali langu.

Hamna kielelezo.

Naendelea kusoma posts zako zilizojaa hekima.
 
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi

Post # 52

Inawezekana akafanya PhD miaka miwili but it has to be an outstanding piece of work mfano paper moja au mbili zilizokuwa publish katika journal za rank ya juu. Sasa hebu tuambieni huyo Mathayo thesis yake title ni ipi au paper gani alizopublish tuzisake tusome alichokiandika otherwise mie naweza kusema amenunua tu PhD, cause one hatujui amefanya PhD ya nini, No one amemreference let alone kupblish, Chuo chenyewe kina wasiwasi. Sasa hapo unadhani conclusion ni nini????

Unadhani mtu akifanya PhD Harvard, Columbia au Oxford au Princeton utamlinganisha na Freetown??? Kwanza accreditation haijulikani ikoje sembuse rankings. Kimsingi Mathayo atupe Title ya thesis, wapi amesoma, watupe supervisor nani (Tukimgoogle tutampata kama yupo), paper alizofyatua genius wetu otherwise this is another propaganda kusafisha waheshimiwa wakagombee kwa amani majimboni mwao!!!

Hapa naona unaongeea meeeengi..unaspeculate tu na furthermore unaeka mawazo yako na kuyafanya kuwa standard procedure ukitegemea au ukidhania hivo ..

Again,

Hakuna jibu

Hakuna kielelezo chochote.
 
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi

Post #54

Plagiarism sio PhD kwasababu Plagiarism is taking someones work and pretend as if it is yours na definition ya Plagiarism ni kubwa sana.

PhD kiukweli hasa ni kuwa independent thinker and researcher na basically you are just learning how write your ideas into practice. Sasa usidhani hiyo ni kazi rahisi au kama kusoma units 50 au 20 kwani ukisoma units 50-20 unaweza kuspecialise (kwani sidhani kama unaweza kumaliza zote). Wengine tulipokuwa tunachukua masters tulifanya hivyo hivyo but when it comes to a PhD it is a different issue kwasababu unatengeneza idea zako mwenyewe, unajisomea mwenyewe, unatest ideas zako mwenyewe na findings zako ulizozipata mwenyewe without the help of anyone (That is the definition of an independent thinker).

Sasa kimsingi hilo linawezekana in 2 years but it has to be an outstanding piece of work. Tunaomba title tuwape watu wa agriculture wataijua tu otherwise kawadanganyeni watu wa nyumbani but wengine sisi hatuko pamoja nanyi TCU

Mawazo yako and the way u think things should be.

Again,

Hakuna jibu

Hakuna kielelezo
 
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi

Post # 61,

Ukiangalia hiyo site inasema 2001-2003 sasa nikuulize alianza 1 Jan 2001 au June 2001 na akamaliza Dec 2003 au June 2003 to me sidhani kama ni relevant kudiscuss muda ishu ni kwamba if you finish early utakuwa umeifanya kazi nzuri na ikakubalika tupe title ya thesis basi

Hapa unadai upewe thesis.??

Again,

Hamna kielelezo,

Hakuna jibu la hoja yangu
 
Rudia posts za nyuma nimetoa vielelezo vyangu tupatieni majibu basi

Post # 62.

Haya unaona wadanganyika tukijaribu kuwapa picha halisi wanahisi tunausongo na Mathayo. Basi bwana sawa ana PhD na kafanya 2 years yaishe maana sometimes mkifunuliwa ukweli mnaona tunataka kumkosoa mtu wacha tuwaache na ukungu wenu mwishoe mtakuja kuambiwa mtu alifanya PhD miezi sita tu!!! Lijamaa ni lijenius bwana!!!!! Kalagabao

Hapa bado unalazimisha mawazo yawe manual inayotumika ku-calibrate PhD worldwide.

Again,

Hamna vielelezo wala majibu ya hoja.
 
Back
Top Bottom