Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
ha ha ha...mchawi mlifanikiwa kumkamata???....:doh:
huyu c nliskia alishaaga!? Af waganga njaa wengne.na haya magazeti ya kina dar live nayo.lol cyasomi tena
ha ha ha...mchawi mlifanikiwa kumkamata???....:doh:
Sasa mkuu hukuchukua hata picha tuone Nyau wa mtaani wanavyopungua statistically. na hilo kundi lote lilikuwa linauga tu, na shugukli walizoacha nazo ni vipi? Maana wabongo ni kama hatujambo kwa hilo. sawasawa na mdundiko ukipita, kila mtoto huyooo.
ONYO: If you like your cat, don't let him near daktari 'catcat'
Ningepata chanzo cha habari hii ningeendelea kuchangia.
muulize kupitia manyaunyau@yahoo.com au mpigie simu 0755631291. Mi nimeongea naye kaniambia siku saba alizo toa hazija isha, halafu kaniambia yeye hafufui watu waliyo kufa na kuzikwa makaburini bali anarudisha watu walipelekwa misukule. nimemuuliza kuhusu kanumba akasema kazi ndo anaendelea nayo ikikaa vizuri ndani ya siku saba atajulisha vyombo vya habari vikashuhudie.
We dubu kwani ni msaidizi wake? Maana mmh!
Atoa siku 7 asema waliohusika kuumbuka vibaya.
Ufufuo manyau nyau.
We dubu kwani ni msaidizi wake? Maana mmh!
hapana, mimi sio msaidizi wake nakanusha. ila mtaani nasikia habari zake mtaani hasa kinondoni.
huyo manyaunyau kama ni hodari amfufue Nyerere kwanza aje aone nchi ilivyoharibika
huyu kijana muongo sana,nakumbuka enzi zile za mnyamala ilikuwa balaa anawapa wabibi wa watu laki anawaharibia maisha kwa kuwatangaza uchawi na kuwanyoa nywele,mshenzi sana huyu!ya kweli hayo au ndi zile zile redio mbao?