Dr. Magufuli usiombe radhi!!!

Kwa kuwa ni wabunge wa vijiweni, hawajui kuwa swala la kuuza nyumba za serikali lipewa baraka na baraza la mawaziri, ambalo Mkapa ndio alikuwa mwenyekiti.

Ndio shida ya kuchagua wabunge wa vijiweni, wenye upeo mdogo na wasio jua hata serikali inafanyaje kazi.
Poleni sana.
 
Kwani Phd ya Nchimbi ikoje?Hivi kwa nini hamjifunzi kuaprreciate vitu vya wenzenuk?Hiyo ni Roho mbaya na inaelekea huna Amani na maisha yako.

sasa mtu appreciate hata upuuzi,wizi na degree fake?acheni unazi usio na maana sometimes
 
Hakuna kuomba radhi hapa, hili ndio moja ya majembe machache yaliobaki CCm, watu tunalupa sh300 just for parking ya dk 10, madala dala sh450, public toilet sh200 na makodi kiba leo balaa liwe kwa jembe tu
Bado Ubungo Bus Treminal watu tunalipia
 
Ishu sio nauli bali ni kauli zake chafu alizozitoa.
Nimemshusha sana Magufuli, kumbe ni wale wale tuu!!
brother umekosea sana kusema hivyo we ukizomewa na umati utafanya nini?mbona zamani ulivyokuwa ukikojoa kitandani ukichekwa kindumbwendumbwe ulikuwa unapanic walimprovoke lets them pay stupid, we told them magamba they will change nothing once cdm is there and these gold tonage we have, bridge will be there
 
CCM mkoa walitakiwa waishauri CCM kwa ujumla ndio iwaombe radhi kwa mantiki kwamba yenyewe ndio imetengeneza huu ugumu hadi watu wanaona sh 200 ni mzigo hadi kumzozomokea DR Pombe!Pombe hana sababu ya kuomba radhi.FULL STOP!
 
Una uhakika ni fake?au jwa vile tu ni CCM
CCm ndio wanaongoza kwa PhD feki. Mtu mwenye PhD ya ukweli hujastify kwa hoja na matendo yake. Mtu mwenye PhD feki hukimbia MIDAHALO na wenzake wenye PhD za ukweli. Na akitaka kuongea hukimbilia wazee fulani ambao mara nyingi huenda kulala na kupiga makofi na vigelegele. Sijamsikia Nchimbi akichambua hoja ila nasikia ya kwanza ilikuwa feki ila nilisoma gazetini kuwa kapata sasa ya ukweli. Tutaona
 
CCm ndio wanaongoza kwa PhD feki. Mtu mwenye PhD ya ukweli hujastify kwa hoja na matendo yake. Mtu mwenye PhD feki hukimbia MIDAHALO na wenzake wenye PhD za ukweli. Na akitaka kuongea hukimbilia wazee fulani ambao mara nyingi huenda kulala na kupiga makofi na vigelegele. Sijamsikia Nchimbi akichambua hoja ila nasikia ya kwanza ilikuwa feki ila nilisoma gazetini kuwa kapata sasa ya ukweli. Tutaona

kitu kikishaanza kuwa feki katu hakiwi real
 
Wanasiasa na hasa wabunge wa dar na CCM dar walivyo wa ajabu hawapingi tena kuongezeka kwa nauli. Wameshupalia Pombe aombe radhi kama vile hilo litapunguza nauli. UNAFIKI MTUPU, Mtenvu, Guninita wote wamejaa kashfa, wanadhani wanaweza kijitakasa kwa kupitia kwa Magufuli. Mtenvu ana hasira ya kupoteza fedha walizozoea kuchota kutokana na kodi za mabango yaliyoko kwenye barabara za TANROAD.

NAUNGANA NA WENZANGU KUSEMA MAGUFULI USIOMBE RADHI. ANAYETAKA KULIPA NAULI YA SH.100 KATIKA KIVUKO CHA UMMA APIGE MBIZI AU AZUNGUKE KONGOWE.HII NDIO NJIA NYEPESI YA KUWAONYESHA WATZ UKO SERIOUS KIASI GANI MAANA NGUVU NA MDA ULIOPOTEZA KUELIMISHA SABABU ZA KUONGEZA NAULI NI MWINGI NA WATU WANAJIFANYA KUTOKUELEWA.
 
Dr Magufuli hana kosa yuko sahihi kwani mkumbuke wananchi wa Kigamboni ndio walianza kumzomea kabla ya kuwajibu hivyo wao ndio waanze kumuomba radhi Dr Magufuli!tusiwe washabiki kabla ya kufuatilia chanzo.
 
msije tu kusikia ooh kwa kulinda heshima ya chama sijui nini.. ngoja tusubiri tuone please hii thread isifutwe tuje kuziunganisha siku hiyo..

RIP tz..
 
Sijui kwa nini linajadiliwa jambo ambalo limesemwa kiukweli tu, nahisi watu wengi hawapendi ukweli! Ni kama kusema huna nauli ya Posta - Ubungo basi tembea kwa mguu kuna baya lipi? ama kwa vile ni maji,ukweli utabaki pale pale. Tuaangalia yale ambayo hakika kwa sasa ni tatizo kwa jamii!! na hakuna anayesema lolote japo wahusika wapo. Mchangiaji mmoja kayataja hapo juu.
Mheshimiwa songa mbele hii ni issue ndogo, viongozi wengi wanaopinga ni kwa ajili ya maslahi ya kisiasa zaidi.
 
Ishu sio nauli bali ni kauli zake chafu alizozitoa.
Nimemshusha sana Magufuli, kumbe ni wale wale tuu!!
..........kupiga mbizi mbona ni kauli ya kawaida tu mkuu kuliko hata ile ya "makalio ya sufuria hayaogopi moto"
 
Amwombe radhi nani? hahhahah ccm bana wajanja sana wanampiga vita Magufuli kwa hofu ya 2015. Hakuna kuomba radhi. Kazi yako waifanya vyema. Tupo nyuma yako. kama si Magufuli Wajapan wasingerudia kutengeneza barabara ya Kilwa.
 
Kwani Phd ya Nchimbi ikoje?Hivi kwa nini hamjifunzi kuaprreciate vitu vya wenzenuk?Hiyo ni Roho mbaya na inaelekea huna Amani na maisha yako.

Roho Mbaya kusema kuwa PhD ni fake? Have you asked yourself how come the so called Dr. Nchimbi was given this title even before graduating with the same status at Mzumbe University, November last year?
I do not need the 4th. degree to smell that that kind of Doctor of Philosophy degree is a .................!!!

Mtamsema Magufuli na yote, lakini hakuna aliyena wasi wasi na his Doctor of Philosophy degree. No winder, hata kwenye msafara wa mamba, hata kenge wamo.....
 
Back
Top Bottom