Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Mh Dr Magufuli ameamuru ofisi ya RC Lukuvi na ya manager mkuu Tanroads - dar zimepewa siku 5 kubomolewa maana zinatajwa kujengwa ndani ya 'road reserves'. pia kagundua malipo feki ya fidia ambayo yangelipwa kwa watu zaidi ya 60, ambayo ni zaidi ya milion 600. salaale CCM na serikali yake! finish!
source: RFA reporters.
my take:
hili lijamaa halikutakiwa liwepo bado ktk chama hiki cha wezi. alitakiwa awe CDM ili kazi zake zikamilike ktk mikono safi.
source: RFA reporters.
my take:
hili lijamaa halikutakiwa liwepo bado ktk chama hiki cha wezi. alitakiwa awe CDM ili kazi zake zikamilike ktk mikono safi.