Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF haya ni maoni yangu, nimechekecha na kuchuja nakaona mpaka sasa sina Rais. Nakawaza saaana nikaona kati ya Dr Slaa au Dr Pombe ndo wangefaa na wanafaa kuwa Rais wangu kwa wakati huu na wakati ujao. Hapa siangalii mtu anatoka chama gani these are my President
WanaJF mnasemaje kuhusu hawa wawili HIZI NI HISIA ZANGU TU
WanaJF mnasemaje kuhusu hawa wawili HIZI NI HISIA ZANGU TU