kwa kweli Nape amekubali kwa thati kabisa wazo la Dk.Lwaitama kuwa CCM aisadie iwe chama cha upinzani cha mfano.hakumjibu Dokta,badala yake amesema dk ni mzee mwenye busara na huwa anamshauri mambo mengi.
mimi nape nimefanya naye kazi Masasi.Ana akili sana na mchapa kazi.ni mwadilifu vile vile.kwa namna alivyozungumza leo na ukimya wake tangu kikao cha NEC amaanza kuwa na mawazo tofauti juu ya CCM.
alaa kumbe!!!!!ameshastaafu kwa umri, ila anafanya kazi kwa mkataba.
kwa kweli Nape amekubali kwa thati kabisa wazo la Dk.Lwaitama kuwa CCM aisadie iwe chama cha upinzani cha mfano.hakumjibu Dokta,badala yake amesema dk ni mzee mwenye busara na huwa anamshauri mambo mengi.
mimi nape nimefanya naye kazi Masasi.Ana akili sana na mchapa kazi.ni mwadilifu vile vile.kwa namna alivyozungumza leo na ukimya wake tangu kikao cha NEC amaanza kuwa na mawazo tofauti juu ya CCM.
Nape huwa anakuwa na busara akiona wasomi maana anajua itakuwa rahisi wao kuchuja pumba atakazo toa! In short ni mzugaji tu mwenye kusoma mazingira, ingekuwa kauli ya Lwaitama kaisikia kwenye vyombo vya habari halafu nae akawaita waandishi pale Lumumba msidhanie kuwa angeongea the same kama alivyo mjibu Dr palepale!
Angeanza kumtukana mzee wetu kwa kauli za kijinga, lazima tungesikia akisema "mwalimu lwaitama anazeeka vibaya" au " yule ni ccm mfu na ccm kazi yake sio kujibu wafu" Nape! Hana maana sentitano.
Dr Lwaitama akichangia kwenye Kongamano la kumuenzi mwalimu juu ya Jukumu la vijana katika kumuenzi Mwalimu,Akimshukuru Jerry Slaa kwa kuweka hoja ya kiongozi kukubali ukomo wake na kumwachia Mwingine.
Atafurah kama atamuona Nape Nnauye akiongoza CCM kuwa Chama pinzani Makini.
Mods msiunganishe huu uzi ili tuijadiri hii kauli kwa undani zaidi.
kagundua kuwa anakihangaikia chama kilicho kufa 85% hakisikii dawa ya aina yoyote.hakujua kuwa bosi wake huwa hamaanishi kile anacho kisema na ndio maana kwa vitendo ameanza kumjenga EL ili akubalike ndani ya chama kwa nia ya kumfanya aje awe mgombea wa urais wa ccm2015.kama anajua kusoma alama za nyakati ni bora ahame au abaki kimya.kwa kweli Nape amekubali kwa thati kabisa wazo la Dk.Lwaitama kuwa CCM aisadie iwe chama cha upinzani cha mfano.hakumjibu Dokta,badala yake amesema dk ni mzee mwenye busara na huwa anamshauri mambo mengi.
mimi nape nimefanya naye kazi Masasi.Ana akili sana na mchapa kazi.ni mwadilifu vile vile.kwa namna alivyozungumza leo na ukimya wake tangu kikao cha NEC amaanza kuwa na mawazo tofauti juu ya CCM.
CCM kuwa chama pinzani? Acha utani zubedayo_mchuzi! Toka lini kupe akaweza kuishi kwa kujitegemea? CCM bila dola haiwezekani, hizo hela za rushwa, kanga, kofia na chumvi zitoke wapi? Hapo ni kaburi tu linaisubiri CCM mwaka 2015. Hukuwahi kusikia tabia ya manyang'au mzoga unapoisha...ni kutafunana mtindo moja!...Atafurahi kama atamuona Nape Nnauye akiongoza CCM kuwa Chama pinzani Makini.
kwa kweli Nape amekubali kwa thati kabisa wazo la Dk.Lwaitama kuwa CCM aisadie iwe chama cha upinzani cha mfano.hakumjibu Dokta,badala yake amesema dk ni mzee mwenye busara na huwa anamshauri mambo mengi.
mimi nape nimefanya naye kazi Masasi.Ana akili sana na mchapa kazi.ni mwadilifu vile vile.kwa namna alivyozungumza leo na ukimya wake tangu kikao cha NEC amaanza kuwa na mawazo tofauti juu ya CCM.
Lwaitama alitaka kufurahisha watu hana lolote
CCM kuwa chama pinzani? Acha utani zubedayo_mchuzi! Toka lini kupe akaweza kuishi kwa kujitegemea? CCM bila dola haiwezekani, hizo hela za rushwa, kanga, kofia na chumvi zitoke wapi? Hapo ni kaburi tu linaisubiri CCM mwaka 2015. Hukuwahi kusikia tabia ya manyang'au mzoga unapoisha...ni kutafunana mtindo moja!
Hiyo hela ya kuhonga wananume wazima vitenge itatoka wapi? CCM bila dola ni kufa tu...hapo hamna ujanja!
Duh!! Kweli JF ni kiboko. Hii picha ya Mwaka. Munamuona NAPE anavyowasanifu walalahoi? Hii inanikumbusha tajiri mmoja aliyekuwa anafurahishwa na kitendo cha maskini kupigania mikate aliyokuwa anawarushia kama vile anarushia mbwa!!!