Dr. LOVE - Strictly for women...Ask me anything!

Mkandara

JF-Expert Member
Mar 3, 2006
15,772
8,958
Leo mzee mzima nimeingia hapa kutaka kuwasaidia dada zangu kuhusiana na mapenzi kwani nina imani kubwa kwamba hawafahamu mengi kuhusiana na Wanaume... 'cause Men don't Talk..

Sasa basi ili mpate wapenzi na kuyaenzi mapenzi yenu, hamna budi kuwafahamu wanaume zenu, kufahamu wanafikiria nini, wanataka nini wanapendezewa na vitu gani..
Yote haya ili mpate kuondoa dhana potovu ambazo zimejengwa mara nyingi na wanawake wengine au watu wasiopenda mafanikio yako... sifanyi utabiri bali ni mambo ya kawaida kabisa ktk maisha yetu...
Muulize mzee wa bahari nikutonye yanayoajiri badala ya kusoma vitabu vingi vinavyotungwa au kuandikwa na Wanawake, ambao ukifuatilia historia ya maisha yao ktk ndoa au Mapenzi - They have failed..Na ndio sababu iliyowasukuma kuandika vitabu hivyo.. Why not learn from Dr. LOVE na Bureeee!..Lol..
Nitapitia hapa kila mara kukusanya maswali na unaweza kunitumia PM, trust me, U won't be disappointed!
 
Leo mzee mzima nimeingia hapa kutaka kuwasaidia dada zangu kuhusiana na mapenzi kwani nina imani kubwa kwamba hawafahamu mengi kuhusiana na Wanaume... 'cause Men don't Talk..
... Why not learn from Dr. LOVE na Bureeee!..Lol..
Nitapitia hapa kila mara kukusanya maswali na unaweza kunitumia PM, trust me, U won't be disappointed!

Mheshimiwa, karibu sana kwenye jamvi la mahusiano. Naamini kina dada hawatoacha kutumia 'kismati' hicho cha kuwasiliana moja kwa moja na DR. LOVE... ila hilo la PM duh!

Anyway, na sie kina kaka tunahitaji busara zako uzimwage hapa kwenye jamvi 'mchana kweupe' muzee.

Karibu sana.
 
Leo mzee mzima nimeingia hapa kutaka kuwasaidia dada zangu kuhusiana na mapenzi kwani nina imani kubwa kwamba hawafahamu mengi kuhusiana na Wanaume... 'cause Men don't Talk..

Sasa basi ili mpate wapenzi na kuyaenzi mapenzi yenu, hamna budi kuwafahamu wanaume zenu, kufahamu wanafikiria nini, wanataka nini wanapendezewa na vitu gani..
Yote haya ili mpate kuondoa dhana potovu ambazo zimejengwa mara nyingi na wanawake wengine au watu wasiopenda mafanikio yako... sifanyi utabiri bali ni mambo ya kawaida kabisa ktk maisha yetu...
Muulize mzee wa bahari nikutonye yanayoajiri badala ya kusoma vitabu vingi vinavyotungwa au kuandikwa na Wanawake, ambao ukifuatilia historia ya maisha yao ktk ndoa au Mapenzi - They have failed..Na ndio sababu iliyowasukuma kuandika vitabu hivyo.. Why not learn from Dr. LOVE na Bureeee!..Lol..
Nitapitia hapa kila mara kukusanya maswali na unaweza kunitumia PM, trust me, U won't be disappointed!

Ha ha ha ha ha Mkandara alias DR LOVE :) kila la heri katika fani yako mpya hapa JF, lakini usituweke kando akina sie manjemba labda na sisi tunahitaji msaada wako wa kitaalamu katika anga za maluv luv. Kila la heri. ;)
 
Mbu Na Bubu ataka Kusema,
Lol.....shukran wakuu zangu lakini duh.. hapana wakuu zangu, mimi najaribu kuwajenga dada zangu (self esteem) hasa baada ya kusikia malalamiko mengi toka kwa hawa kina dada kuhusiana na Wanaume na ktk kufikiria nimeona kwa nini nisiweze kuwasaidia..

Maswala la Kiume nadhani itakuwa ngumu kwa sababu upeo wangu unakoma kama mwanamme, hata mimi nakutana na mengi toka kwao ambayo huwa natoka mtupu pamoja na kwamba binafsi naelewa fika msimamo wangu kama mwanamme..Na kibaya zaidi nashindwa hata kuchukua ushauri wa mwanamke kwa sababu wengi wao wanatofautiana sana ktk mengi ambayo ni wazi..

Kwa hiyo itaniuwia vigumu sana kuweza kuwashauri wanaume wenzangu hasa nikitambua kuwa vijana wa siku hizi ni wana sayansi, wasanii na wabunifu kuliko elimu niliyokuwa nayo ktk fani hiyo upande huu wa wanaume..
Hivyo basi kwa sababu mimi ni mwanaume na naelewa mengi ya old school, nikachanganya na kuelewa ubunifu wa sayansi zenu, usanii wenu na mengineyo nadhani itakuwa bora kwangu kuwa mjumbe wenu kufikisha salaam zenu..

Kama nilivyosema wanawake hawafahamu kwamba wanaume hawazungumzi mengi sana ambayo huwatatiza na wakashindwa lugha ya kutumia..Na bahati mbaya wanawake wengi hushindwa kuzisoma alama, wakashindwa kufikiria sababu zaidi ya kudhania au kuuliza wanawake wenzao..kitendo ambacho mara nyingi huwa hakiwasaidii kitu isipokuwa kuharibu zaidi..
Hii ndio sababu iliyonisukuma kuweka mada hii na naelewa fika kwamba nina ujuzi, uzoefu na mengi ambayo kwa hakika mwanamme yoyote hawezi kuyasema wazi..
 
Dear Dk,
Kuna tatizo kwa baadhi ya wanawake hawajisikii kufanya tendo la ndoa, je kuna dawa yeyote inayoweza kuwasaidia? Je na wanaume wafanye nn ili kuwezesha wake zao wapate hamu ya tendo?
 
Pretty,
Nitachukulia kwamba wewe ni mwanamke, na unataka kujua sababu za mwanamke kutojisikia kufanya tendo la ndoa..hapo dada yangu siwezi kujua ila tu nafahamu kwamba kutojisikia ni hisia za viumbe wote..
Dada yangu kwanza hili swala la kutojisikia ni swala la wote yaani wanaume na wanawake.. Jinsi usivyoweza wewe kutojisikia hata wanaume hufikia mahala wasijisikie vile vile pamoja na kwamba mwanamme ana ashiki za karibu zaidi ya mwanamke.

1. Mara nyingi hali hii hutokana na akili.. akili ndio kiamsho cha mambo yote ya ashiki na mara nyingi kutojisikia hutokana na hisia zetu za kimwili, iwe kuona, kusikia, kugusa, harufu na kadhalika, sub consciously inapanda kichwani na ndio pale maamuzi hutolewa..Mara zote hali hii hutokana na huyo mshirika wako..Kwa hiyo yawezekana kabisa kuna tatizo na huyo bwana ambalo wewe hutaki kulikubali kiakili isipokuwa unachukuakwamba hujisikii kufanya.

2. sababu ya pili huwa ni uchovu wa akili, na sio mwli.. akili inapochoka mara nyingi huushawishi mwili kutojisikia kufanya tendo hilo..

Mara nyingi sana unapoona hali kama hii inamtokea mwenzako iwe mwanamke au mwanamme na kimwili unajisikia kutotaka kufanya tendo hilo basi jaribu sana kuleta mazungumzo ya mapenzi (matusi) au tazameni sinema za mapenzi au kitu chochote kile ambacho sii physical baina yenu lakini kina alama zote za matusi... mara nyingi inaweza kubadilisha maamuzi ya akili...
Kifupi kutojisikia kufanya mapendi ni swala la akili ya mhusika, mwenza hawezi kufanya lolote asolijua kwani mara nyingi contact zozote zile huongezea hasira na poengine kinyaa kwa mhusika..
Again, sikatazi kujaribu kutomasana lakini kuwa makini sana kwani hii huwa ni hatua ya pili baada ya akili kukabiriwa na ashiki ya tendo hilo...
Sijui kama nimetosheleza..
 
Dear Dk,
...Kuna tatizo kwa baadhi ya wanawake

...Je na wanaume wafanye nn ili

Alah, umekuja kwa mganga mgonjwa hukuja nae? Au weye ndo wasumbuliwa na hizi adha? Mficha ugonjwa guu huota tende ati.

Haya, mweleze dokta love, akungojea, yanayokusibu haswa ni yepi binti Pretty? Zamani ukimpenda huyo bwana? Kakughafirisha ghafla au toka awali yu kero?
 
Pretty,
Nitachukulia kwamba wewe ni mwanamke, na unataka kujua sababu za mwanamke kutojisikia kufanya tendo la ndoa..hapo dada yangu siwezi kujua ila tu nafahamu kwamba kutojisikia ni hisia za viumbe wote..
Dada yangu kwanza hili swala la kutojisikia ni swala la wote yaani wanaume na wanawake.. Jinsi usivyoweza wewe kutojisikia hata wanaume hufikia mahala wasijisikie vile vile pamoja na kwamba mwanamme ana ashiki za karibu zaidi ya mwanamke.

1. Mara nyingi hali hii hutokana na akili.. akili ndio kiamsho cha mambo yote ya ashiki na mara nyingi kutojisikia hutokana na hisia zetu za kimwili, iwe kuona, kusikia, kugusa, harufu na kadhalika, sub consciously inapanda kichwani na ndio pale maamuzi hutolewa..Mara zote hali hii hutokana na huyo mshirika wako..Kwa hiyo yawezekana kabisa kuna tatizo na huyo bwana ambalo wewe hutaki kulikubali kiakili isipokuwa unachukuakwamba hujisikii kufanya.

2. sababu ya pili huwa ni uchovu wa akili, na sio mwli.. akili inapochoka mara nyingi huushawishi mwili kutojisikia kufanya tendo hilo..

Mara nyingi sana unapoona hali kama hii inamtokea mwenzako iwe mwanamke au mwanamme na kimwili unajisikia kutotaka kufanya tendo hilo basi jaribu sana kuleta mazungumzo ya mapenzi (matusi) au tazameni sinema za mapenzi au kitu chochote kile ambacho sii physical baina yenu lakini kina alama zote za matusi... mara nyingi inaweza kubadilisha maamuzi ya akili...
Kifupi kutojisikia kufanya mapendi ni swala la akili ya mhusika, mwenza hawezi kufanya lolote asolijua kwani mara nyingi contact zozote zile huongezea hasira na poengine kinyaa kwa mhusika..
Again, sikatazi kujaribu kutomasana lakini kuwa makini sana kwani hii huwa ni hatua ya pili baada ya akili kukabiriwa na ashiki ya tendo hilo...
Sijui kama nimetosheleza..
ahsante DR Love, nimekuelewa kiasi.
 
Alah, umekuja kwa mganga mgonjwa hukuja nae? Au weye ndo wasumbuliwa na hizi adha? Mficha ugonjwa guu huota tende ati.

Haya, mweleze dokta love, akungojea, yanayokusibu haswa ni yepi binti Pretty? Zamani ukimpenda huyo bwana? Kakughafirisha ghafla au toka awali yu kero?
wala sisumbuliwi na hizo adha, ila kuna baadhi huwa inawatokea hii hali.
 
ahsante DR Love, nimekuelewa kiasi.
Vipi tena kunielewa kidogo?.. kumbuka tu kwamba nakujibu wewe kama mwanamme..na natazama hali zetu sisi wanaume inapofikia hali hiyo..

WomenofSubstanc,
Happily Married...
 
Please! Im woman.

Samahani sana nadhani hukunielewa.. nasema hivi majibu yangu yanatoka upande wa wanaume yaani mimi kama mwanaume ndiko nakotoa majibu yangu..

Hivyo hisia zote nilizoandika hapo nyuma zina base toka fikra na hisia za kiume pamoja na kwamba hili swala ni la wote yaani wake kwa waume..I replied Ur Q from man's point of view..
Madhumuni yangu ktk mada hii ni kuwaelezea wanawake yaliyoko upande huu wa wanaume..samahani tena for any inconivenience..

By the way nitakuwa natumia jina la Dr. LOVE, nasubiri tu kupitishwa na wakuu wa JF.
 
Dr,
Are you married?
.....what if he is not??
WOS kwani ili kuwa na uelewa wa haya mambo ya mahusiano baina ya mwanamke na mwanaume ni lazima uwe umeoa/kuolewa??

Anyway Dr. Love endelea kutoa busara zako kwa kina dada, na mimi nitakuwa napita mara moja moja kujua ni kipi chawasumbua zaidi dada zetu.
 
Back
Top Bottom