Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Habari zilipatikana sasa hivi zinaleza kwamba mwanasiasa na mtumishi wa zamani serikalini, Dr. Laurence Gama ameaga dunia katika Hospitali ya Agakhan, Dar es Salaam. Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi Ameen.