Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,267
Serikali ya ÇCM ilitarajia kujenga vituo vya afya 10000 lakini hadi sasa hivi vilivyojengwa havizidi 70 hayo yamesemwa na dr Kigwangala mbunge wa Nzega(CCM) katika kipindi cha tuongee asubuhi startv je kweli mipango ya serikali ya CCM inatekelezeka kweli?