Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Mpambano wa Dr Kigwa na Bashe katika kinyanganyiro cha uwakilishi wa wilaya ya Nzega kwenye halmashauri kuu ya CCM umechukua sura mpya jioni hii baada ya Dr Kigwangalla kumtishia kwa bastola bwana Bashe ili asirudishe fomu.
Habari ndo hiyo, more to come.
wanasiasa wa CCM Tabora kwa matumizi ya bastola mnatisha.
Habari ndo hiyo, more to come.
wanasiasa wa CCM Tabora kwa matumizi ya bastola mnatisha.