Heshima mbele mkuu, hapa sijakuelewa vizuri unaweza kufafanua?Mkandara yuko so weak like our President. Yaani wanafanana katika mambo mengi sana. Kama alivyo Kikwete ndivyo alivyo mkandara hata katika mambo yetu yaleeeee......
Heshima mbele mkuu, hapa sijakuelewa vizuri unaweza kufafanua?Mkandara yuko so weak like our President. Yaani wanafanana katika mambo mengi sana. Kama alivyo Kikwete ndivyo alivyo mkandara hata katika mambo yetu yaleeeee......
Unamaana alikuwa anabaka? Au ulitaka kusema ana rap !!!?... mkuu jamaa alikuwa ana rape kama LLCooJ,na hesabu ndio zilikuwa zinamgonga sana....
Ameula kivipi? Toa data hapa basi.Jamani nani ana taarifa zaidi nasikia Dr. Kasoga ameula serikalini?
Kwa hiyo Kasoga ana bahati na watoto wa wakubwa. Kwani hata mke wake wa sasa ni mjukuu wa Baba wa Taifa.Kichuguu,
Ni huyo huyo mtoto wa Mwinyi ambaye sasa anaandaliwa kuwa rais wa Zanzibar.
Tapeli nambari wani.