Dr. Kapiteni wa TMJ Hospital ni hatari kwa wagonjwa wa kike

Wanawake wa zama hizi wanapenda mtelemko sana. Ukiwa na nafasi yoyote ya kutoa sevice wanawake watakufanyia visa mpaka ukome na ukíwa mkware watakuvu chupi wote bila kujali umri wao. By the way hii tabia ya kuvua chupi wanawake wa hadhi na rika lolote ni kila kona. Pitia mashuleni,vyuoni,usafiri,polisi,mahakama,höspitali,jeshini hata makanisani.
 
kuna dada yuko bima hapo TMJ, mnene mfupi, mweupe ana pimples usoni huyu amekuwa na majibu mabaya sana kwa wateja wanaofika kupata huduma pale TMJ hospital . Ana majibu ya dharau sana,
 
Kama muuza chipsi,fundi cherehani,bodaboda,muuza genge anatafuna mtaa mzima, iweje docta tena mkongoman? Kusema ukweli hawa wanawake wa kiswahili hakuna mjanja kwa bana kongo.
 
kapiteni my mums dr!! ana laptops nne na zote zina-oparate at a tym! alimwambia mamangu kuwa kila ijumaa anakwea pipa kula weekend US, na hurudi j3 asubuhi kazini!! alifiwa na mkewe, ndio maana anaendekeza uzinzi! ana nurse assistant wake pale ambaye huwa ndiyo anapima pressure na ku-admit kama mgonjwa yupo suposed to b admitted, ana makucha marefuuuuu huwa najiuliza ni nurse wa aina gani yule!! ila kumbe kapiteni hamtaki nurse yeyote pale except huyo tu anapokuwa zamu!!

pamoja na haya yote, aliokoa maisha ya my mum, I WILL ALWAYS BE GRATEFUL KWAKE!!
Ki ukweli he is the good Doctor...i apreciate the Man,ninavyomsikia na nilipompelleka my Mama.Lap top 4,mobile phone3,Tablet 1 pete 3,etc,
CASICO Miss you jamani...
 
Sioni uhusiano kati ya taaluma ya udaktari na technic ya mtu kutongoza...nadhani hao anaowatongoza ni watu wazima na wanaweza/wana haki ya kukubali au kukataa. Kujaribu kusema hawawezi kukataa kwa sababu tu ni daktari si sahihi. Kam mtu ana nia ya kukataa mbona kuna hospitali nyingi tu ambazo anaweza kwenda si lazima TMJ, na pia kuna madkatari weengi tu sio lazima Kapiteni.

Mlaumu Kapiteni kama Kapiteni kwa tabia yake, na si taaluma yake...tena unapost JF Doctor habari za udaku ukijaribu kuipa image ya kitaaluma.

Mkuu kuna hii kitu inaitwa, medical ethics" which refers to a philosophical studyof moral values of human conduct governing therules and principles in the practices of medicines, humo ndani wameeleza mambo mengi yahusuyo adabu za hii tasnia ya utabibu, mojawapo ni kukataza kutumia medical professionalism for personal gain /advantages, sasa ukichambua hapo unagundua yafuatayo: 1. dr. anatumia mazingira ya kazi kinyume na lengo( hakuwekwa hapo kutongoza bali kusaidia watu 2.anatumia nafasi yake kuwa-exploite wagonjwa (maana kama si hayo mazingira na shida zinazowaleta wagonjwa hapo hospitali labda asingelikutana nao, hiyo ni unfair personal gain). hata ukisema kwamba wanaotongozwa ni watu wazima, lazima ufikirie kwamba hawa watu wana shida tayari ndio maana wapo pale , natumai wajua thamani ya afya ndio mtu yu tayari kusaula mbele ya dr. ili apate uzima wake.Mwisho, pana mengi ya kuchungua hapa na hili ni miongoni mwa suala sugu yanayoikabili sekta ya fya hapa kwetu nyumbani na afrika kwa ujumla.Just review your comment bro, Idon't think that you would dare to post like you did if the wife of your own had undergone the same catastrophe.
1)Philosophical study of moral valuesof human conduct or behavior, governing rules, and principles in the practiceof medicine.
1)Philosophical study of moral valuesof human conduct or behavior, governing rules, and principles in the practiceof medicine.
l study of moral
1)Philosophical study of moral valuesof human conduct or behavior, governing rules, and principles in the practiceof medicine.
valuesof human conduct or behavior, governing rules, and principles in the practiceof medicine.
 
Japo Ni Thread Ya Zamani Niliona Acha Niibue
Kuona Kama Watu Bado Wana Cha Kusema.
 
Mbuzi hula urefu wa kamba yake jamani! Yeye yuko hosp na ndiyo mazingira anayoshinda sana hivyo ni possible kutongoza wagonjwa kwani ndio anaoonana nao sana! Na nyie wenzetu msiwe warahisi kukubali mnapotongozwa kwani mkikataa mtashtakiwa? Acheni uasherati!
 
Mbuzi hula urefu wa kamba yake jamani! Yeye yuko hosp na ndiyo mazingira anayoshinda sana hivyo ni possible kutongoza wagonjwa kwani ndio anaoonana nao sana! Na nyie wenzetu msiwe warahisi kukubali mnapotongozwa kwani mkikataa mtashtakiwa? Acheni uasherati!

mmmmmmh, contradicting ^^
 
🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
 
Nipo hapa TMJ hospital, wakati naingia nikaona parking iliyohifadhiwa kwa ajili yake.Nemevutiwa na jina lake nkaona nimsake JF... duh kumbe ndio ana tabia za kifirauni hivi!!
 
Riwa, nakubaliana na wewe juu ya authenticity ya hii habari (imekaa kidaku!).

Lakini kama unajaribu kuashiria kuwa daktari hana priviledged position juu ya mgonjwa-mtongozwaji hapo natofautiana na wewe. Kumtongoza mtu kwa kawaida unahitaji kujua baadhi ya information zake (jina, anaishi wapi, contacts etc) na pia kupata opportunity ya kuwa mahali penye privacy na unayekusudia kumtongoza...vyote hivi kwa maoni yangu daktari anaweza kuvipata kutokana na taaluma/position yake. Daktari pia kwa taaluma yake anaweza kuwa na access na tupu za mgonjwa (kwa baadhi ya mogonjwa anaweza kumwambia mgonjwa wake avue nguo kwa mfano!). So kama tunalinganisha daktari na mtongozaji mwingine asiye daktari wa mgonjwa, ni wazi kuwa daktari ana kitu cha ziada katika hiyo process ya kutongoza na yatokanayo.

Kwa kweli mimi binafsi naona ni unethical kwa daktari kumtongoza mgonjwa. pamoja na kwamba ni kweli pia sio lazima mwanamke akitongozwa akubali...anao uhuru wa kukataa! Ndio sa zingine tunasikiwa daktari kabaka mgonjwa wake!
Upo sahihi mkuu, kwakua anawatongoza kupitia kazi yake tena akiwa amekaa kwenye kiti cha Daktari, wagonjwa wengine wakiwa kwenye benchi wakisubiri mwenzao atoke na waingie kumbe watu wanatongozona kwanza. Na dawa hapa haitaandikwa kwanza mpaka wamalize kutongozana, dada zetu kwa kuzani ye ndiyo wa kwanza, ajiweke karibu na Daktari ili akienda yeye au familia yake ipate huduma mzuri hutoa rushwa hiyo ya ngono.
 
HUYU NYOKO SITAKAGI HATA KUMSIKIA KABISA..NILIENDAGA NA DADANGU MMOJA AKAMLAZA MTOTO AKAWA POA KABISA BADAE AKAANZA PIGA AKIMULIZA M N MUMEWE NKAMWAMBIA DOGO ANAUMWA HUYO ACHANA NAE KABISAA KABISA

BAADA YA MIEZI SITA TUKAENDA MTOTO ALIUMWA MISTAKE NILIOFANYA NILIRUDI NA SIS WAKATOA NAMBA KWAMNAOJUA MDAWAKE NA NAMBA MNAELEWA NILIVYOTESEKA BAADAYA MDA WAKAINGIA WATOTO KAMA WATANO WAKAINGIA WATU WAZIMA TULIPOINGIA ALIPOMKUMBUKA AKAMWITA RECP AKAMWAMBIA PELEKA KULE JUU WATOTO SITIBU TENA NILICHOMJIBU ANAELEWA NARECEPT WALIELEWA NKAKUTANA NA MAMAMOJA AKASHAURI NENDA KWA MASAWE ACHANA NA HUYO MHUNI NKAENDAKAAKWA MASAWE SHIKAMOO BABA SANA..NKAOMBA NAMBA KWA MTU NKAMLILIA AKASEMA NIKUKUTE MDA FULANI..AISEE MWACHENI MUNGU SINCE THE. SITAKAGI HATA KUIKARIBIA..NINAMADA YAKE HUMU KABLA YAKO TAFUTA UTAIONA
 
Back
Top Bottom