Dr. Kapiteni wa TMJ Hospital ni hatari kwa wagonjwa wa kike

We cacico,

Inawezekana ameshakupitia ndo mana unasifia analaptop nne ! eti anaenda kila wqeekend USA ! Usikute hata dawa ya your mum ulizifuata nyumbani kwake ! ndo mana unamsifia !
Kwa hiyo nawe alishakupitia mwanacongo ! ukampelekea na maua ?
 
Na huyo nurse wake ndie kuwadi wenu eti eeh ?! manake ndo atakuwa anajua siri zake zote na hazitoi nje na maneno yake ooh sherry !
 
Mwambie huyo dokta wenu akupe laptop moja basi na wewe uwe nazo nyingi !
 
eti 'I'm grateful' ! hiyo ni kazi yake kutibu.You are grateful kwa kuwa ameshakuna........
 
Wanajamii inabidi mumfahamu daktari wa TMJ Hospital kwa jina la Kapiteni. Huyu ni mkongomani asiye na adabu hata kidogo.

Kila msichana na mwanamke anaeingia katika chumba chake cha udaktari lazima amtongoze kisha anampeleka nyumbani kwake ambako si mbali na hospitali kufanya ngono.

Anatumia advantage yake ya udaktari kuwadanganya kuwa atawasaidia matibabu na wasichana ambao wengine ni sawa na wajuu zake anawadanganya eti ata waoa!

Huyu anatakiwa apewe funzo kwa sababu mchezo huo anaoufanya kulala ovyo wasichana, wachumba na wake za watu hawezi kuuacha.

Hivi toeni mapendekezo daktari huyu tumfanye nini?

we ucjali me ntarifu halafu ntawagandanisha
 
Ilivyo ni kwamba, kama kuna Doctor-patient relationship, daktari haruhusiwi kumtongoza mgonjwa. Doctor-patient relationship ni pale ambapo mgonjwa anakuwa yuko chini ya daktari, iwe kwa uchunguzi, matibabu au follow up. Kipindi hicho chote, daktari akimtongoza mgonjwa, anakuwa ametenda kosa, ni kinyume na medical ethics.
Ila, inapotokea ile Doctor-patient r/ship imeisha i.e mgonjwa kapona na hayuko chini ya uangalizi wake, na hategemei huruma ya daktari tena, hapo daktari anaweza kumtongoza aliyekuwa mgonjwa wake, wakajadiliana km equals, bila m1 kuwa na advantage juu ya mwingne, na wakikubaliana kupeana, hakuna tatizo.
 
Kuna ndugu yangu alilazwa pale akiwa half dead ila Captain alipambana mpaka akapona! Mi nlivyo notice kwa mda mfupi ni kuwa huyo dr ni sharobaro sana na sishangai kusikia tuhuma hizi! Ila sio jambo la kushangaza Wala kuonea huruma maana Dada zetu wengi wako kwenye hii hulka ya mapenzi ni pesa! Otherwise wangekuwa wameshamreport kule wizara ya afya! Hawafanyi hivyo coz kwao ni fursa, although it's unethical!
 
kwa upande wangu sioni kosa la daktari nisawa na kuingilia faragha yake na wahusika wanaodhani ngono itatatua matatizo yao....suala la kuhaidi kuwaoa nadhani hiii n trick inayotumika kupata kitu!
 
HHahaha huyo dokta kna wakati ilisemekana alikuwa ana mgegeda mke wa mfanyakazi biashara mmoja hapa tz tena mkubwa tu...
Ngoja jina lake niliweka kapuni maana hata hivyo sahvi washatengana mke na mme
 
kwani anawabaka? mgonjwa atakubali kugegedwa kweli? tamaa zao tu za kipuuzi mwache ajilie vyake
 
We cacico,

Inawezekana ameshakupitia ndo mana unasifia analaptop nne ! eti anaenda kila wqeekend USA ! Usikute hata dawa ya your mum ulizifuata nyumbani kwake ! ndo mana unamsifia !
Kwa hiyo nawe alishakupitia mwanacongo ! ukampelekea na maua ?
kwa wanawake wakibongo kuwa mcongo ni advantage kubwa kuwatafuna...
 
Too low to be here.....hii post imekaa kimajungumajungu vile na kuna mojawapo kati ya haya mawili
1- mleta mada ni mwanaume na kagongewa mke au kimalaya chake kazidiwa ujanja na kapiteni kaishia kulalama hovyo
2- mleta mada ni mke so kagongwa na dr. Kapiteni kisha kagunduwa hana viwango vya kuwa demu wa kudumu wa dr..so katemwa sasa anakuja kubwaja hapa.

Angalizo:- ingekuwa dr. Kapiteni hajui kutibu wagonjwa au kama yule wa marie stopes anayebaka wagonjwa hapo ningeelewa...zaidi ya hapo naungana na mh. Rostam azziz kuwa hizi nazo ni siasa majitaka au hgutter politics and character assassination at large.
 
Mbona wanaume wote wako hivyo, kinachotofautiana ni fimbo inayotumika, yeye anatumia udaktari, we unatumiaga fimbo ipi?
 
Nakumbuka Sudan khartoum 2010 kulikua na kundi ambalo mtu kama huyu walimkamata na kuukata uume kisha wanampachikia mdomoni mwake wanasepa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom