trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Naililia kura yangu niliyowapa CCM na JK 2005 tutafika 2015 Tanzania iliyochoka sana.
mi JKM sikumpa kura yangu! Nilimstukia ana madeni mengi kwa waliompitisha kuwa mgombea!
Naililia kura yangu niliyowapa CCM na JK 2005 tutafika 2015 Tanzania iliyochoka sana.
Nyami2010 umetumwa kumsafisha Phd faker?
Zungumzia uhalali wa PHD aliyonayo,suala la wivu ni umbea.Ningekuwa foreign affairs ni msomi toka UDSM au chuo chochote kitambulikano,halafu naona mediocre mmoja mwenye Phd feki anakwenda Belgium,hapo ungesema.Nina bahati ya kukaa first class country na kusafiri !Nafikiri Tanzania tutakuwa wa kwanza duania kuwakilishwa na mtu mwenye Phd feki Ulaya.
Tulikuwa wa kwanza EA ,akina Fumbuka na Kamala.
Also tuko wa kwanza kwa bunge letu kuwa na wenye Phd feki duniani!
Sasa ufeki wetu unavuka bahari na kutua ulaya!
Commonwealth Open university wanafurahia hili kuwa kijana wao ni balozi ubelgiji.
Enzi ya mwalimu huu upuuzi haukuwepo kabisa!
Mabalozi walikuwa mabolozi hasa!
Ma Dr wallikuwa ni Dr,tunamkumba dr Wilbert Chagula!!!!!!!