DR Kamala Amefikiria hutuba yake? (Slaa atupiwa makombora) Habari leo

jamani naomba tu nimcheke kamala maana hata wananchi wake wameonesha kuwa ni kilaza. poleni wana jamii forum haya naanza.....hahhahaha hahahha mbembbebembebe mmbahahajkkkssks manaa a mbuuuaa hahahahaahahahahhaaaaaaaaa. Poleni kwa makelele wana jf.

POLE wewe ambaye unasikia maandishi yanakupigia kelele!!!! Mwe! pombe za mchana hizi!!!!
 
Akili yake kamala na ya jk zinafanana, kwa sababau hii hakuna la kushangaa
 
Kamala anajipendekeza kwa JK angalau asisahaulike kwenye serikali ijayo maana anaona kibarua kimeota nyasi na hataitwa ten Mh baada ya Mwezi mmoja. Hatahivyo hajui anayoyaongea... EA protocal is not a bible, if it is not on our favour inaeza kuvunjwa na maisha yakaendelea bila shaka yoyote... What's so special for TZ to be EAC Member if Tanzanians are suffering ???
 
Jamaa kapauka kichwani balaa. Kamalaaaaaa Advanced Diploma in Economic Planning, Masters ya Uchumi na PhD fake kumbe ni fake kiasi hiki?
1. Nani alimdanganya kinachopandisha bei ya bidhaa ni ushuru wa forodha tu?
2. Hizo tax relief, incentives wanazotoa kwa wachumia tumbo (wawekezaji) na kodi bambikizi kwa watanzania zikirekebishwa kwa viwanda vya ndani bei haishuki?
3. Kwani ameambiwa kila bidhaa lazima itoke nje ya nchi anakoongelea ushuru wa forodha?

Poor Kamala. Rest in Political Peace. Rudi ukashike chalk. Lakini uanzie shule ukasome mwenyewe kwanza maana utaaibishwa kama ndiyo haya utakwenda kufundisha

cHUO ATAKACHOENDA KUFUNDISHA KAMA UNAYE ndugu bora umhamisha atachakachuliwa sana
 
Tatizo hata Kamala mwenyewe hana uelewa, kodi ambazo hatuwezi kubadili viwango vyake ni kodi za forodha, lakini mgombea Dr Slaa anazungumzia kodi za uzalishaji (ili bei ishuke kuna mambo mengi, umeme, kodi za mali ghafi nk.)

Mbona cement ya bamburi inauzwa hapa kwetu kwa bei ya chini zaidi ikilinganishwa na yetu?? Kamala hilo hulioni?? au Kenya wanapitishia wapi hiyo cement yao na wanatumia viwango vya wapi? Tatizo hawa jamaa wa ccm wote wako enzi za ujima, usomi wao unawahadaa kwamba wa-Tanzania wengi wanadanganyika.. sio kweli hata kidogo.

Hatudangayiki ng`o.....
 
Dr Kamala, you need to simulate your idea before speaking, Tanzanians are different now not the same anymore. hata kama mtashinda lakini ujumbe umefika, mjihadhali na matendo yenu kwani muda si mrefu mnaweza kujikuta jera wotee baada ya kiongozi mzalendo kuingia hata kama ni 2020.
 
kumbe Slaa yuko sahihi eh?
hatujajiandaa kuingia kwenye jumuia,yaani hadi tuulize majirani?
 
Dr Kamala arudi Nkenge akamsaidie yule Mama Mlinzi wa wake wa Viongozi (Asumptha) ili walichuke jimbo hilo....akifanya hivyo ni wazi kwamba Mkuu anaweza kumpa Ukuu wa Mkoa Kagera maana Mzee Mohamed Babu anastaafu!
 
udocta wake wa kununua hawezi kuwa na hoja za maana huyo na ndo maana wanachi wa jimbini kwake wamemwaga...
 
These are the Docs who never understand national interest and concern!!!! wher did we get from thse hopeless folks
 
Asante mheshimiwa Kamala kwa kutusaidia kutell the difference kati ya pihechidiii na PhD. Nakutakia kila la kheri kama utaenda kusoma ya ukweli sasa. Za kuambiwa tumeshaziona sasa CHANGANYA NA ZA KWAKO.
 
EAC ni moja kati ya mikataba ya kifisadi, haina tofauti na Buzwagi.Dr.slaa akiingia lazima umoja huo uangaliwe upya.Ndiyo maana juzi juzi Makamu wa Rais wa kenya kadai bado wanamhitaji Kikwete aendelee ili alinde mkataba tata wa EAC.Ni wizi mtupu

Kweli Bro! wanajua kuwa sisi niwajinga, Embu fikiria tunaviwanda gani mpaka tuekeane mikataba na Kenya kuhusu Viwanda.
 
Serikali: Bei za saruji, nondo zishushwe




Na Richard Makore



20th October 2010


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni








Mapunjo%20Joyce%281%29.jpg

Katibu Mkuu wa Wizara Viwanda, Biashara na Masoko, Joyce Mapunjo



Serikali imeviagiza viwanda vya saruji na nondo nchini kuhakikisha vinapunguza bei ya bidhaa hizo kwa kuwa hakuna sababu yoyote ya msingi inayochangia zipande mara kwa mara.
Agizo hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara Viwanda, Biashara na Masoko, Joyce Mapunjo, alipozungumza na NIPASHE kuhusu upandaji holela wa bidhaa hizo.
Alisema uzalishaji wa saruji na nondo ni mkubwa lakini hajui kwanini wazalishaji hao wanazipandisha na kuwafanya wananchi wa kawaida kushindwa kuzinunua.
Aliahidi kufuatilia kwenye viwanda hivyo ili aelezwe sababu zinazowafanya wazidi kupandisha bidhaa zao kwa mauzo ya jumla na hivyo kuwafanya wauzaji wa rejareja nao kupandisha bei.
Bei ya nondo yenye milimita 10 yenye urefu wa futi 40 kwa sasa ni Sh.10,000 kutoka Sh. 8,000 milimita 12 Sh. 13,000 badala ya Sh. 12,000 na bei ya mfuko mmoja wa saruji hivi sasa ni Sh. 13,000 badala ya Sh. 12,000.
Na katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa Wakala wa Serikali Biashara na Leseni nchini (Brela), Esteriamo Mahingila, aliwataka wazalishaji na wakulma kujiwekea malengo ili kuhakikisha wanaziwekea nembo bidhaa zao zote wanazozalisha.
Mahingila alikuwa akizungumza na wadau mbalimbali wakiwemo wataalamu wa masuala ya hakimiliki duniani ambao wanahakikisha bidhaa zinakuwa na nembo na alama kabla ya kuuzwa.




CHANZO: NIPASHE


0 Maoni | Kuwa wa kwanza kutoa maoni
Hii ndo serikali ya CCM. Haina ushirikiano..... Katibu mkuu anasema vishuke bei..... waziri wa ushirikiano wa Afrika mashariki anasema haiwezekani kushusha bei viwanda vitakufa!!! ......." Tumwamini nani kati yao"???? Hatuna Serikali.... CHAGUA DK SLAA atupe serikali ya uhakika.
 
Huyo Kamara nadhani anatafut wa kuteuliwa!

Kweli kamala kachemsha, hata Malaria sugu anaona aibu kumsaidia ktk hili ingawa lengo ni kumdhoofisha slaa.

Breaking news:

Kwenye ile mechi kati ya Slaa na Kikwete, mpaka sasa kikwete kafungwa bao 9 bila na hii ni dk ya 88, mshangiliaji "DR" Kamala kaamua kuingia uwanjani kusaidia, bahati mbaya alikuwa hajui lango la timu yake (kikwete) la la la kamala apiga shuti kali kuelekea kwenye timu yake la la la la gooooooo! kikwete kaongezwa la 10 na mpira unakaribia kuiiiiiiiiiiiiiiiiii..........!
 
Serikali: Bei za saruji, nondo zishushwe




Na Richard Makore



20th October 2010


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni








Mapunjo%20Joyce%281%29.jpg

Katibu Mkuu wa Wizara Viwanda, Biashara na Masoko, Joyce Mapunjo



Serikali imeviagiza viwanda vya saruji na nondo nchini kuhakikisha vinapunguza bei ya bidhaa hizo kwa kuwa hakuna sababu yoyote ya msingi inayochangia zipande mara kwa mara.
Agizo hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara Viwanda, Biashara na Masoko, Joyce Mapunjo, alipozungumza na NIPASHE kuhusu upandaji holela wa bidhaa hizo.
Alisema uzalishaji wa saruji na nondo ni mkubwa lakini hajui kwanini wazalishaji hao wanazipandisha na kuwafanya wananchi wa kawaida kushindwa kuzinunua.
Aliahidi kufuatilia kwenye viwanda hivyo ili aelezwe sababu zinazowafanya wazidi kupandisha bidhaa zao kwa mauzo ya jumla na hivyo kuwafanya wauzaji wa rejareja nao kupandisha bei.
Bei ya nondo yenye milimita 10 yenye urefu wa futi 40 kwa sasa ni Sh.10,000 kutoka Sh. 8,000 milimita 12 Sh. 13,000 badala ya Sh. 12,000 na bei ya mfuko mmoja wa saruji hivi sasa ni Sh. 13,000 badala ya Sh. 12,000.
Na katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa Wakala wa Serikali Biashara na Leseni nchini (Brela), Esteriamo Mahingila, aliwataka wazalishaji na wakulma kujiwekea malengo ili kuhakikisha wanaziwekea nembo bidhaa zao zote wanazozalisha.
Mahingila alikuwa akizungumza na wadau mbalimbali wakiwemo wataalamu wa masuala ya hakimiliki duniani ambao wanahakikisha bidhaa zinakuwa na nembo na alama kabla ya kuuzwa.




CHANZO: NIPASHE


0 Maoni | Kuwa wa kwanza kutoa maoni
Hii ndo serikali ya CCM. Haina ushirikiano..... Katibu mkuu anasema vishuke bei..... waziri wa ushirikiano wa Afrika mashariki anasema haiwezekani kushusha bei viwanda vitakufa!!! ......." Tumwamini nani kati yao"???? Hatuna Serikali.... CHAGUA DK SLAA atupe serikali ya uhakika.

Hakuna hata wa kumwamini hapo naona wote wamechanganyikiwa tu, madai yao wako kwenye mapambano na Dr slaa kumbe wanajichanganya tu
 
Back
Top Bottom