Eric Ongara
Senior Member
- Sep 19, 2006
- 165
- 8
kizazi cha kina Kaborou,Hiza na Kasaka ni kizazi chakavu hakina uwezo tena wa kuleta mabadiliko.Wamefikia ukomo wao wa kufikiri na kubuni.
Kizazi kipya kinapaswa kutafsiri mauzauza haya kama filimbi ya kuwaita waingia ulingoni.Maana sasa badala ya kujadili hoja tutakuwa tunajadili fulani katoka CHADEMA kaenda CCM,siasa zinachukua sura za watu badala ya hoja.Tunataka ushindani wa hoja ambazo hatimae zitaleta maendeleo badala ya kujadili watu!
Nimesikia jana kwenye vyombo vya Habari,anadai eti CCM ina sera nzuri,sasa hakuzisikia hizi sera wakati wa kampeni?
Makamba nae anachekelea galasa! Hakika wamejichokea! Tunataka siasa zitakazo sababisha mruko,siasa zitakazo chochea maendeleo sio hizi za kizamani!
Cha kuchekesha ni namna Habari ilivyoripotiwa kwenye gazeti la Mtanzania la Tarehe 20 septemba! Wanasema moja ya sababu ya kujitoa ni kwa kuwa Freeman ameonyesha upendeleo kwa wanasiasa vijana na wasomi! Hainingii akilini kuchukuziwa na jambo chanya kama hili! Chama chochote makini kinahitaji vijana wasomi!
Hu ni wakati wa kizazi kipya kuchukua nafasi yake!
Kizazi kipya kinapaswa kutafsiri mauzauza haya kama filimbi ya kuwaita waingia ulingoni.Maana sasa badala ya kujadili hoja tutakuwa tunajadili fulani katoka CHADEMA kaenda CCM,siasa zinachukua sura za watu badala ya hoja.Tunataka ushindani wa hoja ambazo hatimae zitaleta maendeleo badala ya kujadili watu!
Nimesikia jana kwenye vyombo vya Habari,anadai eti CCM ina sera nzuri,sasa hakuzisikia hizi sera wakati wa kampeni?
Makamba nae anachekelea galasa! Hakika wamejichokea! Tunataka siasa zitakazo sababisha mruko,siasa zitakazo chochea maendeleo sio hizi za kizamani!
Cha kuchekesha ni namna Habari ilivyoripotiwa kwenye gazeti la Mtanzania la Tarehe 20 septemba! Wanasema moja ya sababu ya kujitoa ni kwa kuwa Freeman ameonyesha upendeleo kwa wanasiasa vijana na wasomi! Hainingii akilini kuchukuziwa na jambo chanya kama hili! Chama chochote makini kinahitaji vijana wasomi!
Hu ni wakati wa kizazi kipya kuchukua nafasi yake!