sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Baraza kuu la Waislamu nchini (Bakwata) limeendelea kumng'ang'ania katibu mkuu mtendaji wa baraza la mitihani Dr.Joyce Ndalichako,likimtaka kujiuzulu ili kulinda heshima ya serikali.
Baraza hilo limesema limepoteza imani na Necta na hivyo kutaka serikali iunde tume huru kuchunguza utendaji kazi wa baraza hilo katika kipindi cha miaka kumi iliyopita.
ya kiislamu (islamic knowledge),ambapo takribani asilimia 70 walifeli kwa kupata daraja F. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapa jana,Sheikh mkuu tanzania Mufti issa shaabani simba alisema hatua hiyo inatokana na waislamu nchini kutoridhishwa na matokeo ya mitihani ya kidato cha sita yaliyotangazwa Mei Mosi mwaka huu katika somo la elimu ya dini.
Kwa habari zaidi soma nipashe la leo tarehe 7/6/2012 ukurasa wa 5.
Baraza hilo limesema limepoteza imani na Necta na hivyo kutaka serikali iunde tume huru kuchunguza utendaji kazi wa baraza hilo katika kipindi cha miaka kumi iliyopita.
ya kiislamu (islamic knowledge),ambapo takribani asilimia 70 walifeli kwa kupata daraja F. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapa jana,Sheikh mkuu tanzania Mufti issa shaabani simba alisema hatua hiyo inatokana na waislamu nchini kutoridhishwa na matokeo ya mitihani ya kidato cha sita yaliyotangazwa Mei Mosi mwaka huu katika somo la elimu ya dini.
Kwa habari zaidi soma nipashe la leo tarehe 7/6/2012 ukurasa wa 5.