DR. Jakaya Kikwete: Mnyonge Mnyongeni!

It depends on how you define middle class.

Kuna kundi la wezi na wanao ibiwa.

Hakuna clear formula ya kumove forward kimaendeleo zaidi ya kuiba.

Wizi ulianza taratibu, kwa kundi dogo la watanzania kugushi na kuiba.
Badaaye ikaonekana kwa nini tugushi wakati tunaweza kupindisha mambo na kufumba macho kisha tutakomba kila kitu??

Sasa hivi watu hawaibi tena. Bajeti ya Wizara ikipita wanagawana bila aibu kwani wanaamini kabisa kwamba fedha ni yao.
 
duuuh!

tuli assume a "classless society" lakini haikuwa na maana "there weren't no classes" ! Tunaongea viswahili, tunasomeshwa viingereza na tunafikiri vichwani kwa lugha zetu za asili za vichagga, basi huo mkorogo ukitoka hapo... sumu tupu!

Kama tuli assume a "classless society" ina maana unasema hakukuwa na classes!
Acha ujinga!Akili yako ni tope.
Kwani niki assume wewe ni "asshole" ina maana kuwa ni kweli?
 
Huwezi kulinganisha hali ya maisha ya watu wanaoishi kwenye mifumo tofauti ya kiuchumi kwa kutumia mshahara.

Maisha ya mbeba box wa $10/saa ana maisha ya masaibu na adha za ajabu kuliko daktari wa Tanzania anaelipwa mshahara mdogo zaidi. Mbeba box huyo wa $20,000 kwa mwaka kwa nchi kama US ni fukara wa kutupwa, anaishi hundi kwa hundi, hawezi kumfikia daktari, hawezi kumiliki au kujenga nyumba kama daktari wa Tanzania, mbeba box hawezi kuajiri shamba boy, mbeba box hawezi kuleta ndugu kijijini kuwatunza bure, mbeba box hawezi kusomesha wanae kwa mshahara wa $20,000/yr, ye mwenyewe kujisomesha kakwama, hawezi hata kumudu pango inabidi waishi watatu watatu, wawili wawili, ushasikia Tanzania daktari wawili wanaishi pamoja kwa saab hawana hela ya kutosha pango?

Semeni Tanzania ni masikini lakini msiende huko kabisa kwenye kumlinganisha mbeba maboxi na daktari wa Tanzania...
Watu wametumia mfano kama "metaphor"
Wote wanaofanya kazi marekani na UK huwa mnawaita "wabeba box" na wewe unameza mazima mazima, fikiri kidogo, shugulisha ubongo.
 
Watu wametumia mfano kama "metaphor"
Wote wanaofanya kazi marekani na UK huwa mnawaita "wabeba box" na wewe unameza mazima mazima, fikiri kidogo, shugulisha ubongo.
Kama watu wote wanaofanya kazi UK na US wanaitwa wabeba box basi ina maana hata daktari wa kitanzania anaefanya kazi UK na US ni mbeba box, ambayo inamaanisha unalinganisha mshahara wa daktari wa UK au US na daktari wa Tanzania, na kuhitimisha kwamba wa TZ kapitwa kwa hiyo hali yake mbaya, ridiculous! UK is a developed country.

Lazima uwe specific, mbeba box yupi unaesema analipwa kuliko daktari wa Tanzania?

Mbeba box wa $10/saa kimaisha hamfikii daktari wa Tanzania hata kidogo.

Acha ujinga!Akili yako ni tope.
Kwani niki assume wewe ni "asshole" ina maana kuwa ni kweli?
Ukisema Tanzania ili assume classless society maana yake kulikuwa hakuna classes. Tofautisha na "Tanzania ili assume kwamba kuna classless society" ambayo ndio inaweza kuwa classes zipo ama hazipo.

Ndo nikasema tunaongea kiswahili, tunalazimishwa masomo ya kiingereza, tunafikiri vichwani kwa vichaga ... ndio matokeo yake hayo
 
Kama watu wote wanaofanya kazi UK na US wanaitwa wabeba box basi ina maana hata daktari wa kitanzania anaefanya kazi UK na US ni mbeba box, ambayo inamaanisha unalinganisha mshahara wa daktari wa UK au US na daktari wa Tanzania, na kuhitimisha kwamba wa TZ kapitwa kwa hiyo hali yake mbaya, ridiculous! UK is a developed country.

Lazima uwe specific, mbeba box yupi unaesema analipwa kuliko daktari wa Tanzania?

Mbeba box wa $10/saa kimaisha hamfikii daktari wa Tanzania hata kidogo.

Ukisema Tanzania ili assume classless society maana yake kulikuwa hakuna classes. Tofautisha na "Tanzania ili assume kwamba kuna classless society" ambayo ndio inaweza kuwa classes zipo ama hazipo.

Ndo nikasema tunaongea kiswahili, tunalazimishwa masomo ya kiingereza, tunafikiri vichwani kwa vichaga ... ndio matokeo yake hayo
Unajuwa maana ya ku assume?Unajidhalilisha bure, kama huelewi uliza kistaarabu utaeleweshwa, everytime huwa unataja maneno ya kijinga na wakati huelewi.

Tuli assume, means "supposed to be the case", ndivyo itikikadi za ujamaa zilivyotuongoza, tuli assume a classless society.

Hivi ni kweli hujaelewa?Ama ni vijembe tu na kutaja uchagga all the time?Usiwe kama nunda mkuu.btw what the is "vichagga"?

Kama tuli assume kuwa hakuna classes, haina maana ni kweli kwamba hazikuwepo.

Wewe usiye mchagga na mwelewa lugha, tatizo lako ni neno assume or classless?wewe ni zao la elimu ya kata?
 
Kama tuli assume kuwa hakuna classes, haina maana ni kweli kwamba hazikuwepo.
Vizuri sana, sasa umeanza kuelewa na umenyoosha maelezo, hapo sasa una make sense.

Uliposema "tuli assume a classless society" maana yake ni kwamba kwa hakika kabisa kulikuwa hakuna classes. Ni sawa na kusema Mizengo Pinda assumed the position of prime minister, yani kwa hakika kabisa inasemwa Pinda alifanyika waziri mkuu. Hakuna guessing hapo.

Umeelewa kinaga ubaga? Usikasirike mkuu, hizi zote, kiswahili, kiingereza si lugha zetu za asili, kusaidiana kumo. Kiutamaduni, kama sio kiasili, we are hard wired kufikiri na kuongea kichagga au kimakonde n.k. n.k.
 
Vizuri sana, sasa umeanza kuelewa na umenyoosha maelezo, hapo sasa una make sense.

Uliposema "tuli assume a classless society" maana yake ni kwamba kwa hakika kabisa kulikuwa hakuna classes. Ni sawa na kusema Mizengo Pinda assumed the position of prime minister, yani kwa hakika kabisa inasemwa Pinda alifanyika waziri mkuu. Hakuna guessing hapo.

Umeelewa kinaga ubaga? Usikasirike mkuu, hizi zote, kiswahili, kiingereza si lugha zetu za asili, kusaidiana kumo. Kiutamaduni, kama sio kiasili, we are hard wired kufikiri na kuongea kichagga au kimakonde n.k. n.k.
Ndiyo maana nikakuuliza shida yako iko kwenye "classless" ama "assume"?

Sasa umehamia kwenye classless kama nilivyofikiri,sasa niambie wewe tofauti kati ya "classless" na "hakuna classess"

Nili "assume" unalifahamu neno hilo lakini i was wrong.Kumbuka pia maneno mengine, maana yake hutegemea na sentensi.

Got it? Ama still kichagga?
 
- Bob mimi nimefika Colombia, huko ukiisema Serikali vibaya au matajiri, unapigwa risasi mchana na inakubalika na jamii, sisi hapa magazeti yetu sio tu yanashambulia ila yanafika mahali yanatukana mpaka matusi ya nguoni, lakini hakuna lolote wanalofanyiwa, sasa kwa maoni yangu kulinganisha sisi na nchi kama Colombia, tunanafuu sana na isingewezekana kama sio Rais wa sasa.

- Hapa bongo ninajionea vijana wadogo sana kiumri ambao wanaendesha mashirika ya private na ya serikali, wanalipwa mahela makuwba sana, wanaishi vizuri sana sawa sio wengi sana kulinganisha hesabu yetu ya wananchi ya taifa, lakini please sisi tulioishi Awamu ya kwanza tunaheshimu sana hii new generation power, sina namba za kitafiti of where we are kitaifa na namba, lakini hata mikoani nimeona hawa vijana wakiishi vizuri, sasa hii imeondoa ile gap ya umasikini kabisa na matajiri, kwa maoni yangu kwa ninayoyaona hapa bongo, kwenye hizi Club za starehe hukuti wazee siku hizi kama zamani unakuta vijana tu inatia moyo sana kwa sisi tulioisho under Awamu ya kwanza! Siku hizi kwenda majuu imekwua mchezo tu, kwenda South Africa ndio usiseme, I mean kuna wakati haya yote yalikwua ni ndoto wka vijana!

- NDIO NINASEMA MNYONGE MNYONGENI!
eti huyu ndiye anataka kuwa mbunge..kwa mgongo wa baba yake.uwiii.
 
eti huyu ndiye anataka kuwa mbunge..kwa mgongo wa baba yake.uwiii.

- kila mwananchi wa taifa hili ana haki ya kuwa mbunge au anything, na kila mwananchi anaweza kuandika viroja ila one thing sio kila mwananchi anaweza kuandika hoja, kama huamini tizama post yako! ha! ha! ah! ah! ha!

Es!
 
Back
Top Bottom