Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
- Huku bongo yaani Ground Zero, pamoja na mapungufu ya Awamu ya nne, kuna mambo mawili muhimu mazuri sana nimeyaona kama legacy ya Rais, Dr. J. Kikwete, nayo:
1. MVUMILIVU WA DEMOKRASIA na 2. CREATION OF MIDDLE CLASS.:
- kwa haya mawaili ni matumaini yangu kwamba historia itamuhukumu kwa haki.
FMEs: ni WAZEE WA SAUTI YA UMEME & DATAZ!
Maisha bora kwa kila Mtanzania au bora maisha kwa kila mtanzania???!!!!
Kuna Gap kubwa sana kati ya matajiri na masikini.....Middle class ya Tanzania ndio ipi?