Rais ajaye atakuwa either mzanzibari (nakubaliana na Gosbert kwamba anaweza kuwa Dr. Hussein Mwinyi) au anaweza kuwa mwanamke, na hapa Dr Rose Migiro anaweza kupeta!
My Take: Dr Rose Migiro ana-stand chance nzuri zaidi ya kuwa Rais kwa sababu already kulikuwa na maneno wakati Amani Karume alipogombea kwamba inakuwa kama "usultani" vile, kwa sababu baba yake aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar .... hivyo nadhani logically, kuna watu (walioko kwenye maamuzi) wataona ni afadhali mwanamke achukue kuliko mtoto wa Rais mstaafu!
wakuu kuna dalili kwamba hussein ali hassan mwinyi ndiye chaguo lijalo maana ndo zamu ya zanzibar. La sivyo tunavunja muungano
Heshima kwenu wadau,
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafakari yanayoendelea katika medani ya kisiasa hapa nchini hasa katika CCM, ikiwa pamoja na mabadiliko ya uwongozi ndani ya chama, pamoja na msimamo wa CCM kuhusu katiba mpya.
Katika kuunganisha kwangu "dots" nimepata maono kwamba Kama katiba mpya itafuata matakwa ya CCM (uwezekano wa hili ni mkubwa kwasababu Serikali itasimamia mchakato mpaka kura ya maoni) basi Raisi ajae wa 2015 ni Hussein Mwinyi na 2025 ni Ridhiwani.
Nimefunguka baada ya kusikia maoni ya wanaojiita vijana wapenda Amani. mnaonaje wadau maono yangu?
Ingrates!!!!!!
Tuliwapa nchi wameifanya soko la unga. Tufyakwa
Mkuu usipende kuokota habari za kwenye vijiwe vya mbege na kuleta JF.
JF siyo sehemu ya porojo.
kuna sehemu moja nimeona wanasema ndio mmiliki wa kiwanda cha kubangua korosho kule Kibaha Picha ya Ndege!!Mzanzibari kua Raisi wa JMT sahau kabisa