CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
mkuu wa takukuru dr HOSSEA, jana alitinga kwa babu kunywa dawa. baada ya kunywa dawa, babu akachukua kipaza sauti na kuutangazia uma kwamba kuna mgeni toka dar na kisha akampatia dr hossea, dr. Hossea akajitambulisha na kuaga.
Dr Hossea yupo arusha kuhudhuria kikao cha ofisi yake kinachofanyika huko arusha
Dr Hossea yupo arusha kuhudhuria kikao cha ofisi yake kinachofanyika huko arusha