Dr. Hosea: Chenge sio fisadi wa Rada

Source Uhuru

Mkurugenzi wa Takukuru Dr. Hosea kamsafisha mbunge wa Bariadi mh. Chenge na kusema hausiki na ufisadi na dhuruma ya ununuzi wa rada ila kama labda ashitakiwe kwa fedha zake kazipataje na sivinginevyo.

My take

Hivi mpaka leo wanatudanganya juu ya hili mie nadhani tuifutilie mbali takukuru tubaki na polisi sababu hawana maana


Wananifurahisha sana hawa Takukuru ina maana Hosea anafikiri enzi hizi ni sawa na miaka ya 47 Hatudanganyiki heri akae kimya
RADAR-Tanzania.jpg
 
Kama yeye Hosea na TAKUKURU yake hawajapata ushahidi unataka wafanyeje? Kama wewe unao wapelekee!

Naona nyie mlio wengi sijui mnatokea wapi, maana inaonesha hata hamjui vyombo vya kiserikali vinavyofanya kazi!!
 
Yani napata hasira sana tunavyodanganywa kama masokwe,hiv huyo Hosea na hiyo takakuu zina usafi gani wa kumsafisha vijicent,hivi ni nai aliyesahau mapendekezo ya kamati ya bunge iliyoshughulikia kashfa ya EPA?nani aliyesahau madudu yote yaliyotokana na udhaifu mkubwa wa takakuu,kwa nini tunafanywa kama vile sisi tuna akili za kuku.tuchukue hatua kwa kushinikiza vyombo kama hivi vivunjwe kama mawaziri walivyoshinikizwa kujiuzulu
 
Hapa nimeelewa sasa

Sawa Mkuu!

Mwenyewe Dr. Hosea hasemi ukweli just send to him this connection au tutafute Mwanahalisi aichapishe front page halafu Hosea au Vijisenti aibu imshuke. Anyway Hosea na DPP wana undugu pamoja na Chenge as long as Feleshi ni DDP Chenge haiwezekani ashitakiwe? Come sun come rain I bet my neck nisulubiwe pale mwembe Yanga!

Kumbukeni walivyochakachua Yale mashtaka dhidi ya Chenge alipowaua wale warembo aliotoka kujirusha nao. Nilisema atapigwa faini tu na hii ya RADAR is a closed subject.

You ask Hosea hayo mauzauza ya change ya radar yameanzia wapi? To go further hiyo pesa kupelekwa kwenye madawati anayosimamia Dr. Shukuru ndugu yake JK ni kwamba madawati hayatanunuliwa na pesa zitaishia kwenye mradi ya Baba Mwanaisha kwenye Kampuni za Ritz one!,, Kalakabaho?...?
 
Habari hizi zimepitwa na wakati. chenji ya rada tumerejeshewa na sasa tunaielekeza kwenye kuboresha kiwango cha elimu. kurejea suala hili ni kutuongezea hasira wakati tunatakiwa kujielekeza kwenye masuala yenye tija zaidi. historia tuwaachie magwiji wa historia.
 
Source Uhuru

Mkurugenzi wa Takukuru Dr. Hosea kamsafisha mbunge wa Bariadi mh. Chenge na kusema hausiki na ufisadi na dhuruma ya ununuzi wa rada ila kama labda ashitakiwe kwa fedha zake kazipataje na sivinginevyo.

My take

Hivi mpaka leo wanatudanganya juu ya hili mie nadhani tuifutilie mbali takukuru tubaki na polisi sababu hawana maana

huyu Hosea alikua wapi enzi zile za kununua rada? position yake ya muda ule itasema huyu jamaa ana maslahu gani binafsi na hii radar
 
Jamani historia huwa haifutiki usipowajibishwa leo ipo siku naamini watu watawajibishwa, tena bora mtu uwajibishwe sasa hivi ukiwa na nguvu na uwezo wa ku resist magonjwa kuliko pale utakapokuwa mtu mzima umechoka.

Hii hali ya kujisahau ni mbaya mtu anajua akifanya makosa akaliingizia taifa khasara alafu watu wakinyamaza anajua imetoka kumbe sio viongozi wanapaswa kufanya kazi zao kwa umakini sana siasa ni mbaya huwa game halichelewi kukugeukia.

let me stay aside n look.
 
Source Uhuru

Mkurugenzi wa Takukuru Dr. Hosea kamsafisha mbunge wa Bariadi mh. Chenge na kusema hausiki na ufisadi na dhuruma ya ununuzi wa rada ila kama labda ashitakiwe kwa fedha zake kazipataje na sivinginevyo.

Kama Chenge hana hatia change ya rada mlipokea ya nini? Hivi Waingereza ni ndugu zetu waturudishie change kama kulikuwa hakuna mchezo mchafu?!

Dr. Hosea keeping quite will save your face. Afterall ulishatwambia a stumbling block for fighting grand corruption in this country is JK The president of URT (REf Wikileaks).
 
Nitamtetea hoseah mpaka mwisho wa takukuru! Mwenye matatizo nchi hii anajulikana, rushwa anazitetea yeye na hoseah alishasema (wikileaks). Mwambieni acheni kumuonea huyu hoseah bana.

Halafu takukuru ndio taasisi yenye nafuu kuliko zote za serikali hii, unaesema ifutwe ibaki polisi hujui au umesahau madudu ya polisi.

Hapo umenena ukweliii. Dr. Hoshea ni msafi kuliko paka wa kufuga. mchafu anajulikana ambaye hataki maswahiba wapelekwe kwa pilato. **** KURU ni mchezo wa kuigiza.
 
kuna mambo mengi ya kujiuliza kuhusu hili ila la kushangaza ni kwamba kulikua na ulazima gani wa yeye kujump to his defence? ametumwa au amejisikia tu! na la mwisho kabisa je alikua wapi siku zote?
 
Source Uhuru

Mkurugenzi wa Takukuru Dr. Hosea kamsafisha mbunge wa Bariadi mh. Chenge na kusema hausiki na ufisadi na dhuruma ya ununuzi wa rada ila kama labda ashitakiwe kwa fedha zake kazipataje na sivinginevyo.

My take

Hivi mpaka leo wanatudanganya juu ya hili mie nadhani tuifutilie mbali takukuru tubaki na polisi sababu hawana maana
Makosa yalishafanyika hapo awali, haiko sawa hata kidogo kumpa mamlaka Raisi kuteuwa mtu kama mkuu wa TAKUKURU, viongozi wa TUME YA UCHAGUZI, MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA na makundi mengine yanayofanana na hayo. Ni lazima kuwe na hali ya kulindani maana hao wote wameweka kwa maslahi ya utawala uliopo. Nguvu ya wananchi inakuwa ngumu kutengua uteuzi wa hao watu kwani katika inamruhusu huyo mkuu kufanya uteuzi wa hao mabwana. Kwahiyo bwana Hosea pengine sio makosa yake. Ingawa nadiriki kusema ni bora TAKUKURU isingekuwepo kabisa, utendaji wao wa kazi pia hauko kamili kama tulivyotegemea. Mungu ibariki Tanzania.
 
Ndugu zangu, Makosa yalishafanyika hapo awali, haiko sawa hata kidogo kumpa mamlaka Raisi kuteuwa mtu kama mkuu wa TAKUKURU, viongozi wa TUME YA UCHAGUZI, MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA na makundi mengine yanayofanana na hayo. Ni lazima kuwe na hali ya kulindani maana hao wote wameweka kwa maslahi ya utawala uliopo. Nguvu ya wananchi inakuwa ngumu kutengua uteuzi wa hao watu kwani katika inamruhusu huyo mkuu kufanya uteuzi wa hao mabwana. Kwahiyo bwana Hosea pengine sio makosa yake. Ingawa nadiriki kusema ni bora TAKUKURU isingekuwepo kabisa, utendaji wao wa kazi pia hauko kamili kama tulivyotegemea. Mungu ibariki Tanzania.
 
Ipo siku mungu atawaumbua wanamagamba na taasisi zake pale CHADEMA itakapokuwa imechukua nchi,CCM wametutesa sana lakini ifikapo 2015 watakufa kabla ya siku zao
 
huwezi kumlaumu hosea ingawa naye ni sehemu ya matatizo lakini kiini hasa ni katiba yetu mbaya inayompa Rais mamlaka ya kumiliki na kuviendesha vyombo vya kusimamia haki za raia kuanzia takukuru, polisi, ofisi ya DPP na vinginevyo. wahusika akiwemo Hosea wana serve tu for the pleasure of the president kwahiyo hawana mamlaka kamili ya kimajukumu wanaweza
kutaka kuchukua hatua lakini kama Rais hataki basi huwezi kufanya kinyume na bosi wako. kinachotakiwa kufanyika ni kuleta mabadiliko ya katiba ili vyombo vyote vya kusimamia haki za wananchi ziwekwe chini ya bunge hata kama rais atakuwa na madaraka ya kuwateua lakini ni lazima bunge liwathibitishe na kuakikisha ni bunge tu lenye mamlaka ya kuwaondoa hapo ndipo utaona kivumbi kwa sababu si rahisi kwa bunge kukubali kutumiwa kulinda maslahi ya mwizi mmoja tu.

in short wale wenzetu wa WEST wanapenda sana kuimba nyimbo za Good governance, pamoja na kwamba siwapendi kabisa hawa jamaa na ushauri wao haswa wa kiuchumi, ila hapa wanagusa kabisa maslahi ya mataifa yetu wanaposema increase institutional capacity for good governance. wanajua hatuwezi kuagiza na kuipandika demokrasia ifanye kazi bila ya vijisehemu vyake zake vyote-bunge huru, tume huru ya uchaguzi, mahakama huru, DPP, TaKUkuru, CAG n.k hapa hizi taasisi lazima zipewe nguvu ya maamuzi bila ya kuingiliwa na Rais na ndiyo tutaona matunda ya hii ya demokrasia (uongozi wa watu kutokana na watu kwa kutumikia watu) na si vinginevyo.

Napata wakakti mgumu sana kuamini, japokua ni wazo zuri pia, kua demokrasia ifuate mazingira ya jamii husika, wengi haswa haswa hawa viongozi wa kiafrika husema hivi kwa uoga tu wa kuwapa nguvu wananchi wao. Husema hivi kuibua anti-colonial sentiment na kujilimbikizia nguvu za kiutawala katika ofisi ya Rais
 
Kurudishwa kwa chenji ya RADA ni uthibitisho tosha pale mchezo mchafu ulifanyika, na TAKUKURU ya uingereza iilithibisha huo uchafu!

This country@!
Sijui hadi lini watawala wataendelea kuwafanya watu ni useless....(brainless).
 
kuna mambo mengi ya kujiuliza kuhusu hili ila la kushangaza ni kwamba kulikua na ulazima gani wa yeye kujump to his defence? ametumwa au amejisikia tu! na la mwisho kabisa je alikua wapi siku zote?

I am asking myself the same questions!
However, probably we should look at the credibility of the newspaper: Uhuru!
What do you expect out of it?
 
in short wale wenzetu wa WEST wanapenda sana kuimba nyimbo za Good governance, pamoja na kwamba siwapendi kabisa hawa jamaa na ushauri wao haswa wa kiuchumi, ila hapa wanagusa kabisa maslahi ya mataifa yetu wanaposema increase institutional capacity for good governance. wanajua hatuwezi kuagiza na kuipandika demokrasia ifanye kazi bila ya vijisehemu vyake zake vyote-bunge huru, tume huru ya uchaguzi, mahakama huru, DPP, TaKUkuru, CAG n.k hapa hizi taasisi lazima zipewe nguvu ya maamuzi bila ya kuingiliwa na Rais na ndiyo tutaona matunda ya hii ya demokrasia (uongozi wa watu kutokana na watu kwa kutumikia watu) na si vinginevyo.

Napata wakakti mgumu sana kuamini, japokua ni wazo zuri pia, kua demokrasia ifuate mazingira ya jamii husika, wengi haswa haswa hawa viongozi wa kiafrika husema hivi kwa uoga tu wa kuwapa nguvu wananchi wao. Husema hivi kuibua anti-colonial sentiment na kujilimbikizia nguvu za kiutawala katika ofisi ya Rais

Na ndio maana hata matokeo ya uchanguzi wa Uraisi yanayosimamiwa na taasisi hizo leaves a lot to be desired.
 
Back
Top Bottom