dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source Uhuru
Mkurugenzi wa Takukuru Dr. Hosea kamsafisha mbunge wa Bariadi mh. Chenge na kusema hausiki na ufisadi na dhuruma ya ununuzi wa rada ila kama labda ashitakiwe kwa fedha zake kazipataje na sivinginevyo.
My take
Hivi mpaka leo wanatudanganya juu ya hili mie nadhani tuifutilie mbali takukuru tubaki na polisi sababu hawana maana
Mkurugenzi wa Takukuru Dr. Hosea kamsafisha mbunge wa Bariadi mh. Chenge na kusema hausiki na ufisadi na dhuruma ya ununuzi wa rada ila kama labda ashitakiwe kwa fedha zake kazipataje na sivinginevyo.
My take
Hivi mpaka leo wanatudanganya juu ya hili mie nadhani tuifutilie mbali takukuru tubaki na polisi sababu hawana maana