Hakuna faida ya kumwondoa dr hossea na kumwacha kikwete ambaye ni mtuhumiwa wa rushwa na ametajwa kwenye kagoda.
Je, ukimwondoa hosea ni nani atateua mtu mwingine????
Rais katuhumiwa na kuwalinda mafisadi na mwaka huu kaingia madarakani kwa nguvu , akimwondoa hosea atamuweka mtu ambaye atatakiwa asiseme ukweli kama alivyo sema hosea
Je, ukimwondoa hosea ni nani atateua mtu mwingine????
Rais katuhumiwa na kuwalinda mafisadi na mwaka huu kaingia madarakani kwa nguvu , akimwondoa hosea atamuweka mtu ambaye atatakiwa asiseme ukweli kama alivyo sema hosea