waliohamishwa ni ma-directors wa 3 ( dr matheo raphael, dr rose kingamkono na mr eliab chijoriga) wengine ni scientific staff...nao ni dr makene, lambo mayenga (chief accountant), elikira mathew(mhasibu), wengine nao scientific staff ni charles yongolo, enock mpenzwa, jonas kamaleki, PC chuwa, salvatory mushi, rogers alfayo, godlease malisa, jumanne bwamkuu..
Hii thread haitoshi kuongelea mafanikio ya Dr Mshinda..google na utaona hundreds of pages!
Dr Mshinda alipanua IHI toka kuwa na field offices 2 (STILF Ifakara na Rufiji) mpaka kuwa 5 accredited centre (Ifakara, Rufiji, Bagamoyo, Mtwara na Dar es salaam), kufungua demographic surveilance sites 3 Africa (Kilombero, Ulanga, Rufiji) na kaondoka akifungua ya 4 Kigoma (hii ndio iliyompa uwenyekiti wa INDEPTH Africa)...Bagamoyo centre ilifunguliwa chini ya uongozi wake is one of the centres of excellence for clinical research in Africa...IHI has an accredited entomological lab (Ifakara) in Africa, and a very strong entomology team...etc! Ingia hapa uone mafanikio ya IHI Mshinda akiwa DG, na mafanikio ya Mshinda binafsi kama mwanasayansi: www.ihi.or.tz
Riwa,
Kwa mgonjwa anayeugua malaria au mtu aliyefiwa na mtoto, ndugu, e.t.c hayo bolded success kwake hayana maana kabisa!
Haiitaji Phd kumi kupunguza au kuondoa ugonjwa wa Malaria hapa Tanzania ...
Na kama anaenda kufanya hayo hayo hapo COSTECH, kwa mtizamo wangu tutaendelea kuwa taifa la mazuzu!
Sitaki ku koment maeneo mengine ya tuhuma hizi kwa kuwa siyajui. Ila Saidi Mwema asili yake ni Mngazija wa Comoro na mama yake ni mchaga ila Saidi mwenyewe alikulia ujombani kwake Moshi.... hivyo kwa kukiri kama Dr. Mshinda naye ni Mngazija inawezekana kweli kuna uhusiano wa kidugu kati ya Saidi na Hassan.
Kikwebo.
Na kama tunasubiri watu wenye PhD waje kututokomezea Malaria au kuzuia vifo vya watoto wetu kwa Malaria basi na tuendelee tu kuwa mazuzu! Haingii akilini mtu mwenye PhD kafanya tafiti akapublish, akasababisha policy change, strategies zikatengenezwa na zikawa implemented huku donor wakimwaga lot of money....halafu wewe hutaki badili tabia zako hatarishi, unaugua Malaria, mwanao anakufa kwa Malaria, mkeo mimba inatoka kwa Malaria....halafu you blame it on success of Dr Mshinda!
The biggest failure of Malaria control in Tanzania is behavioural change...twende moja baada ya nyingine:
National Malaria Control Program imeweka strategies kadhaa kama mwelekeo wa vita dhidi ya Malaria
- Case management: ALu is one of the best Malaria treatment drugs katika ulimwengu wa leo, watu hawataki kutumia simply tu vidonge vingi na kwa siku tatu. Am a doctor, na simu ninazopata nyingi zinauliza dawa gani atatumia kwa mfupi kutibu Malaria aendelee kunywa pombe, au amekunywa dawa za Malaeria hajamaliza dozi lakini yuko poa kabisa, anaulizia kama anaweza kukatisha dozi ili anywe pombe.
- Vector control:
Vyandarua kila siku vinashushiwa hadithi, mara ukilalia vyeupe unasikia kama sanda, mara vina sumu vinadhuru, mara vinapunguza nguvu ya kiume, mara kuvulia samaki, wengine wanafunikia mchicha ndege wasile...hii ni intervention imethibitishwa na tafiti kuwa inapunguza maambukizi ya malaria.
IRS Lake zone watu wanalalamika kama hapo juu na wanakataa nyumba zao zisipulizwe
Watu nyumba manyasi kibao wanangoja mtu mwenye PhD aje awaambie watoe madimbwi na vichaka kwani ni mazalia ya mbu
Sasa hapo hata ukiwa na honors kwenye Malaria, watu hawabadiliki tabia, unategemea nini? Tuwabeze wanasayansi wetu kisa tu we umegoma kubadilika pamoja na elimu yote inayomwagwa kwa jamii kwa gharama kubwa!
Labda anaiboresha hii COSTECH, kwanza tupe list ya waliohamishwa.
The biggest failure of Malaria control in Tanzania is behavioural change...
Sidhani kama ni sahihi kupambana na malaria kwa ALU hata kama ni dawa nzuri kiasi gani wakati mazalia ya mbu hayajakabiliwa ipasavyo. Na katika hili la kupambana na vyanzo vya malaria kwa maana ya mazalia, wananchi peke yao hawawezi kufanikiwa bila usaidizi mkubwa wa serikali.
mshinda yuko sahihi na kufukuza hao ilikuwa sahihi...ni kichwa hasa na anachofanya ni kusafisha uchafu uliopo costech....by the way huyu si aliteuliwa na rais sasa mambo ya kukwalify yanakujaje....udini ni mdini dana kwa msiojua fba walimuweka chini ya uangalizi maana kuna mtu aliyelipua ubalozi wa usa kenya ana links na mkewe mshinda....ushanifahamu
Na kama tunasubiri watu wenye PhD waje kututokomezea Malaria au kuzuia vifo vya watoto wetu kwa Malaria basi na tuendelee tu kuwa mazuzu! Haingii akilini mtu mwenye PhD kafanya tafiti akapublish, akasababisha policy change, strategies zikatengenezwa na zikawa implemented huku donor wakimwaga lot of money....halafu wewe hutaki badili tabia zako hatarishi, unaugua Malaria, mwanao anakufa kwa Malaria, mkeo mimba inatoka kwa Malaria....halafu you blame it on success of Dr Mshinda!
The biggest failure of Malaria control in Tanzania is behavioural change...twende moja baada ya nyingine:
National Malaria Control Program imeweka strategies kadhaa kama mwelekeo wa vita dhidi ya Malaria
- Case management: ALu is one of the best Malaria treatment drugs katika ulimwengu wa leo, watu hawataki kutumia simply tu vidonge vingi na kwa siku tatu. Am a doctor, na simu ninazopata nyingi zinauliza dawa gani atatumia kwa mfupi kutibu Malaria aendelee kunywa pombe, au amekunywa dawa za Malaeria hajamaliza dozi lakini yuko poa kabisa, anaulizia kama anaweza kukatisha dozi ili anywe pombe.
- Vector control:
Vyandarua kila siku vinashushiwa hadithi, mara ukilalia vyeupe unasikia kama sanda, mara vina sumu vinadhuru, mara vinapunguza nguvu ya kiume, mara kuvulia samaki, wengine wanafunikia mchicha ndege wasile...hii ni intervention imethibitishwa na tafiti kuwa inapunguza maambukizi ya malaria.
IRS Lake zone watu wanalalamika kama hapo juu na wanakataa nyumba zao zisipulizwe
Watu nyumba manyasi kibao wanangoja mtu mwenye PhD aje awaambie watoe madimbwi na vichaka kwani ni mazalia ya mbu
Sasa hapo hata ukiwa na honors kwenye Malaria, watu hawabadiliki tabia, unategemea nini? Tuwabeze wanasayansi wetu kisa tu we umegoma kubadilika pamoja na elimu yote inayomwagwa kwa jamii kwa gharama kubwa!
- Katika TZ kuna mambo mengi yanayofanywa hovyo hovyo na wataalam wetu (technocrats)wakishirikiana na wanasiasa za maji taka haswa pale ambapo wataalam hawa waliopewa dhamana ya kusimamia taasisi nyeti wanapoingiza siasa katika kazi zao kimaslahi.Hili tumeliona kwenye sekta nyingi muhimu(kama madini na nishati and others).Udhaifu huu kiutendaji umeongezeka sana kwasasa kiasi kwamba tunawaona hata baadhi ya hawa wataalam wakijiingiza kwenye siasa za maji taka na kusahau kutumikia fani zao.That said, niseme tu pia wapo wanataaluma wachache ambao kwa kweli wamefanya kazi kubwa kwa taifa na kazi zao zimeonekana ndani na nje ya nchi. Mtafiti (researcher)makini anatambulika kwa vigezo mbalimbali mfano: ubora na wingi wa machapisho/maandiko ya kazi zake(publications),implementation ya kazi zake katika sekta husika na hata kufikia kwenye policy change...na pia matumizi ya kazi zake katika kutengeneza guidelines, na pia kiwango cha innovations kwenye kazi zake (hili laweza kupimwa kwa wingi wa patents za innovations alizofanya mtafiti).Ubora na utendaji wa mtafiti haupimwi kwa mtazamo wake kidini bali kwa kazi zake.
- Kwa kuwa siasa zimeingilia sana fani za wataalamu wetu TZ basi mtu kuwa associate Prof au Prof si kipimo tena cha ubora wa mtafiti TZ(hili tumeliona sana vyuoni).Labda niongeze tu kuwa Professor wa kitanzania nionavyo huwezi kumlinganisha na Professor wa China au US au Europe ukitazama ubora wa kazi zao na jinsi zinavyokuwa implemented na kuleta tija.Niseme tu kuwa inasikitisha sana TZ nimeona....maprofessor wetu wanakaa maofisini wakati ukiwa kwa wenzetu nje wanachapa kazi kwelikweli.Pia niongeze tu kuwa nimeona wanafunzi wa PhD nje wakifanya mambo ambayo maprofessor wetu hawawezi kuyafanya.(hata kama wakipewa nyenzo).
- Kwa mtazamo huo nakubaliana na Riwa kuwa kweli Dr.Mshinda ni kichwa na amefanya mambo ambayo yameonekana kitija na anakubalika kwa kweli.Pale IHI ameacha legacy kama mtendaji makini.Ni kweli TZ tuna wataalam wachache ambao wanaendelea kutetea nfani zao....bila kujiingiza kwenye hizi siasa za maji taka na huyu bwana amejitahidi.Niseme tu hapimwi mtu kwa msimamo wake kidini please.Mabadiliko ya hao jamaa costec yawezekana kabisa yametokana na capacity zao kwani kwa kweli costec ilikua haipo.....na haisikiki zaidi ya kukaa maofisini na kukalia pesa na proposal za watafiti za miradi.Ifike mahali wa TZ tuwe watu wa kukubali mabadiliko........tunadai mabadiliko kila kukicha .....yakifanyika tunalalama....kama kuna fitna za udini i don't know lakini huwezi kuondoa watu 15 eti kwasababu ya udini..
- Nizidi kuongeza tu kuwa tusiharibu jina zuri la taasisi ya Ifakara kwani ni taasisi kati ya chache sana tulizo nazo TZ ambazo ni makini sana....hawa jamaa wana venture kali sana na swiss tropical institute na wanatoa shule za kufa mtu kwa watafiti pale.(Ifakara and swiss tropical institute)...if you are a serious medical researcher ifakara its a good place to be kwa kweli..Hata hizi dawa za malaria mnazosikia zinabadilika kila leo.....haya ni matokeo ya research za IHI (si NIMR please!).Mimi kwa mtizamo wangu IHI ni makini by far kuzidi NIMR. NIMR is just a national body ambapo ethical clearance lazima zipite pale, patent applications lazima zipite pale.....n.k .k lakini kwa research per se......Ifakara is the best my friends.Sasa huwezi kuzungumzia mafanikio ya ifakara bila kumzungumzia Dr.Mshindo....(hicho ndicho kipimo wazee si dini).
- Labda kwa kumalizia niongeze tu kuwa.....ifike mahali siasa za chooni nchi hii zitenganishwe na fani za kitaaluma ili mambo yaende nchi hii.....hakuna nchi duniani iliyoendelea bila matumizi ya research.......zungumzia USA au europe au china zote zimeendelea kwasababu viongozi wao wanajali umuhimu wa research and development.Tanzania imebaki kuwa nchi ya viongozi kuwa ombaomba tu.......hata vyuo vyetu hatuvijali.......yaani imekuwa watu wanataka wawe wanasiasa tu.....i swear we will never develop like this never......wanataaluma wanataka kuwa wanasiasa.............matechnocrats wanafanya kazi kisiasa, sasa nani atajenga nchi???????
- Nimeona mmegusia suala la research za malaria.................imekuwa badala ya viongozi wetu kukazia mkazo kwenye tafiti za malaria haswa kwenye kinga........(ambazo hufanyika pale ifakara)...wao viongozi wamebaki kukimbilia marekani kwa wafadhili kuomba eti nchi ipatiwe vyandarua vya kujikinga na mbu!!!!!!ndugu zangu hatuwezi kamwe kungamiza malaria kwa kutumia vyandarua........unapotumia vyandarua haumwui mbu bali unamkimbia.....na hili kamwe si suluhisho la tatizo la malaria TZ.
Mkuu kinachofanyika hapo COSTECH ndicho kinafanyika UDOM, kuna ubaguzi wa kidini. Ukiwa mtu wa dini amabayo wanailalamikia hupati kazi na walioajiriwa wanatishiwa kufukuzwa. Nasikia fukuza fukuza imepamba moto UDOM. Kwa kweli huu upendeleo utaliangamiza taifa hili. Nasikia hawa jamaa wanajiita wao kwa wao (watu dini moja) na siyo qualification, kupeana kazi zote za senior. Madai yao wao tu ndiyo wawepo chuo kizima.