kikahe
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 1,350
- 282
Hivi Said Mwema ni ******!!!?????
Namaanisha anatoka Bwagamoyo? Kwenye kabila moja na JEY KEI? Mi nilifikiri anatoka kaskazini
Hivi Said Mwema ni ******!!!?????
Kwa wafahamu IHI - Ni yapi MAFANIKIO yake dhidi ya Malaria? Maana mpaka sasa Malaria ni ugonjwa unaoua sana especially under 5!
Mshinda has to go. Tatizo lake sio Udini. ni jina lake. Ni Uislam.
Baada ya Dr Idrisa Rashid kuondoka Tanesco nadhani huyu anafaa kuwa next target. Kuna Dr Dau pia ila naona kawa mgumu licha ya makelele!
Unajua problem ya wagalatia wengi wa nchi hii hawataki kuamini kwamba wapo waislam waliosoma. Na ilivyo Muislam akipewa post ya juu anafanya kuweli. Maana hadi anafika hapo ujue kaingia kwa sifa. Hakuna kubewa huko. Tafakari kidogo.
Kibaya zaidi wagalitia hamuwahamasishi hao jamaa zenu kufanya kazi. Hebu angali huo mzigo uliowekwa pale Tanesco baada ya Dr Idrissa kuondoka. Tazama uharo aliofanya Balali pale BoT baada ya kuondoka Dr Idrissa. Tengeneza list ya mafisadi wa nchi uone imejaa kina nani!
Acheni kilialia wagala, fanyeni kazi!
Shame on you wavivu wa kufanyakazi na kufikiri. Mmeiua nchi kwa ubinafsi na sasa mnajenga chuki na wachapakazi kwasababu ya majina yao tu!!
NJiwa taratibu. Mwakimbila wangapi? Ni akina nani hao? Angalia usije ukawa wewe ndo mdini zaidi!popote alipoa muislam mwakimbilia udini .. hehehehhe
Huyu DG amewafanyia fitna wakurugenzi wote waliopo chini yake mpaka wamehamishwa COSTECH. Yaani wakurugenzi wote waliopo chini yake na baadhi ya senior employees ambao aliona wanamwekea kiwingu amewafanyia zengwe mpaka wizara ikawaondoa COSTECH.
Ninazungumzia wafanyakazi wa COSTECH 15 wameondolewa pale kwa wakati mmoja. Hawa ni watu ambao walimkaribisha Dr. Mshinda pale COSTECH na kumfundisha kazi miaka 3 iliyopita. Leo hii ameota mapembe na kuwafanyia fitna. Na sasa wakurugenzi hawa wameenda kupewa "desk" tupu katika wizara nyinginezo.
Sasa sijui amefanya hivyo kwa kusudio gani?....Kwa sababu, kuwafukuza wakurugenzi 15 kwa mpigo kuna walakini!! Isitoshe huyu jamaa aliingia COSTECH akiwa ha-qualify kabisa na hiyo post a U-DG. Alipachikwa kwa kupitia memo tu...
By the way, Dr Mshinda ni cousin (au nephew) wa IGP Said Mwema, ambaye ni Shemeji wa Kikwete go figure !!
Mshinda angekuwa kichwa angeishakuwa hata associate professor. namfahamu sana mdini huyu. Na sijui team kama hiyo aliyoiondoa hapo costech ataipata kirahisi jinsi anavyowaza. Kwa wakurugenzi sawa sikatai kuondolewa kwao sababu ndo walikuwa kikwazo kikubwa mmoja wapo akiwa yeye sababu ya udini wake na kufananisha costech na IHI.
Nasikia kati ya waliofukuzwa muislam ni mmoja tu.
costech wamekuwa wakitangaza kazi za watu wenye phds takribani mara mbili hivi na hawapatikani. Sasa yeye anatimua seniors wenye phds na good background kama wale sijui atawapata wapi!
Hii issue ya dini naisikia sana, kama ndo inashika kasi hivi basi waislam wanajitengenezea wakati mbaya kwani wao wengi sio wasomi ukilinganisha na wakristo.
Mshinda angekuwa kichwa angeishakuwa hata associate professor. namfahamu sana mdini huyu. Na sijui team kama hiyo aliyoiondoa hapo costech ataipata kirahisi jinsi anavyowaza. Kwa wakurugenzi sawa sikatai kuondolewa kwao sababu ndo walikuwa kikwazo kikubwa mmoja wapo akiwa yeye sababu ya udini wake na kufananisha costech na IHI.
Nasikia kati ya waliofukuzwa muislam ni mmoja tu.
costech wamekuwa wakitangaza kazi za watu wenye phds takribani mara mbili hivi na hawapatikani. Sasa yeye anatimua seniors wenye phds na good background kama wale sijui atawapata wapi!
Hii issue ya dini naisikia sana, kama ndo inashika kasi hivi basi waislam wanajitengenezea wakati mbaya kwani wao wengi sio wasomi ukilinganisha na wakristo.
Nenda kwenye vyuo vikuu vyote (UDSM, MUHAS, UDOM, IMTU, HKMU, SAUT, Tumaini etc) cheki kama hao ma-Associate Professors wana profile kama ya Dr Mshinda. Wakati niko chuo kikuu Muhimbili kulikuwa na mtu anaitwa Professor Mtui (Guru wa Neuroanatomy), by then UDSM-MUCHS walikuwa hawana Neuroanatomist, huyu jamaa alikuwa anakuja kwa gharama yake toka Marekani alipokuwa akifundisha kuja Muhimbili ikutoa lectures kama guest lecturer....MUHIMBILI HAS NEVER WANTED TO RECOGNIZE HIM AS 'PROFESSOR'! Wakamfrustrate mpaka akaacha, na sasa sijui kama MUHAS wana Neuroanatomist!
Kuwa Associate Professor siyo lazima kutokane na profile yako, siasa nyingi tu zimeingia kwenye fani, hata wasiostahili ni maProfessor! Kuna Dr Muhimbili kapewa uProfessor simply kwa kuwa Daktari wa JK (jina tunalo), ana profile ya kumshinda Dr Mshinda?
mtoa mada umesema wakurugenzi waliotimuliwa ni 15: Then ukasema muislam ni mmoja tu. Sasa hapo udini unauzungumziaje? Kwenye wakurugenzi 15 muislamu awe mmoja?
Huo sio mfumo kristo? Afadhari mtoa mada kwa kutufumbua macho
waliohamishwa ni ma-directors wa 3 ( dr matheo raphael, dr rose kingamkono na mr eliab chijoriga) wengine ni scientific staff...nao ni dr makene, lambo mayenga (chief accountant), elikira mathew(mhasibu), wengine nao scientific staff ni charles yongolo, enock mpenzwa, jonas kamaleki, PC chuwa, salvatory mushi, rogers alfayo, godlease malisa, jumanne bwamkuu..
Mshinda has to go. Tatizo lake sio Udini. ni jina lake. Ni Uislam.
Baada ya Dr Idrisa Rashid kuondoka Tanesco nadhani huyu anafaa kuwa next target. Kuna Dr Dau pia ila naona kawa mgumu licha ya makelele!
Unajua problem ya wagalatia wengi wa nchi hii hawataki kuamini kwamba wapo waislam waliosoma. Na ilivyo Muislam akipewa post ya juu anafanya kuweli. Maana hadi anafika hapo ujue kaingia kwa sifa. Hakuna kubewa huko. Tafakari kidogo.
Kibaya zaidi wagalitia hamuwahamasishi hao jamaa zenu kufanya kazi. Hebu angali huo mzigo uliowekwa pale Tanesco baada ya Dr Idrissa kuondoka. Tazama uharo aliofanya Balali pale BoT baada ya kuondoka Dr Idrissa. Tengeneza list ya mafisadi wa nchi uone imejaa kina nani!
Acheni kilialia wagala, fanyeni kazi!
Shame on you wavivu wa kufanyakazi na kufikiri. Mmeiua nchi kwa ubinafsi na sasa mnajenga chuki na wachapakazi kwasababu ya majina yao tu!!
Tatizo ni jina au dini? Hili jina ni la dini gani JAKAYA KIKWETE ?