only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Waziri wa uchukuzi Dr Mwakyembe ameagiza kamati ndogo aliyoiunda ichunguze mikataba ya TICTS na bandari kuona kama bado ina tija kwa taifa au la. Kumbuka kuwa moja ya wanahisa na wamiliki wa TICTS ni Karamagi aliyejiudhuru uwaziri wa nishati na madini baada ya kamati ya bunge iliyokuwa inaongozwa na Mwakyembe kugundua madudu makubwa sana kwenye mikataba mbalimbali.
Source: ITV habari
Source: ITV habari