mafiakisiwani
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 833
- 616
We nawe nini wewe! Kha! Yaani suti ndio vazi unaloliona wewe la maana sio? Kanzu vazi kama vazi jingine lolote. Mie ningekuunga mkono labda angekwenda u chi. We endelea na misuti yako muache Dr na Mikanzu yake.Thanks for the videos
tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.
Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?
whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?
mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha
amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais
leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima
the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu