WanaJF Waziri wa Zamani wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Mazingira dr. Batilida Buriani yupo live TBC1 akinena kuhusu mazingira. Ukiweza na ukitaka msikilize
Alifanya nini huyu Batilda wakati akiwa waziri wa mazingira? Specifically alifanya nini kuhusu issue ya mto Tigithe kule North Mara kuwa na sumu na kusababisha magonjwa na hata vifo vya binadamu na wanyama? Mwanamke huyu hana aibu kuongelea mazingira wakati hana record ya kutenda lolote la maana mbali na kuomba misaada kwenye mashirika ya kimataifa kwa maslahi binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.